Kwanini Rais Samia asiitake Wizara za Mambo ya Nje na Ndani zihakikishe zinamrejesha aliyekopa Mabilioni?

Kwanini Rais Samia asiitake Wizara za Mambo ya Nje na Ndani zihakikishe zinamrejesha aliyekopa Mabilioni?

wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje

Ni kweli nchi kama Marekani hawasiti kutoa warrant au wito wa kuhojiwa mtu mkubwa yeyote awe bosi wa TIK TOK, HUWAEI, FACEBOOK, Boss wa Benki au tapeli wa fedha kimataifa n.k Serikali ya Marekani huwa hawaogopi kutangaza jina la mtuhumiwa


Department of Justice (.gov)
www.justice.gov
Cryptocurrency Fraudster Sentenced To 15 Years For Money Laundering ...

8 Jul 2021 — According to court documents, Karlsson ran an investment fraud scheme from 2011 until his arrest in Thailand in June
 
Kwa hio mkuu ulitaka amvimbie mtu anaempa cheque ya Trillion 11 zinazopelekwa kuliwa na wahuni ulitaka anune kabisa? Maana wahuni mate yanawatoka wanazisubiri kwa hamu waanze kuzitafuna hizo Trillion 11 za uwekezaji
Mikipo ambayo inakuja kulipa Pesa ambazo Hili kijamaa lao limechukua, alafu Mtanzania ndio wakulipa
 
Ni kweli nchi kama Marekani wakimtafuate awe bosi wa TIK TOK, HUWAEI, FACEBOOK, Boss wa Benki au tapeli wa fedha kimataifa n.k huwa hawaogopi kutangaza jina la mtuhumiwa
Sasa huyo mwizi ana ukaribu nae unataka ampake kinyesi mkuu yaan yeye rais pia yupo na ukaribu na huyo mwizi, nimekuja kuchukua billion 10 Nani kakuagiza SSH wanaiangalia kweli jamaa ana ukaribu nae walikua pamoja kwenye Royal Tour utagoma kumpa? Kakomba pesa hakuna biashara hakuna nini kasepa huku nyuma bi mdashi anashtuka pesa hazipo anauliza anaambiwa yule Bwana kazichukua anaanza kuwaka na kubwata kwamba wamemuibia nyumbani kwake kumbe alieiba ana ukaribu nae kwanini asimtaje sasa?
 
Kakomba pesa hakuna biashara hakuna nini kasepa huku nyuma bi mdashi anashtuka pesa

Mheshimiwa Rais atoe dokezo kwa taasisi na rasilimali nyingi watu na fedha zilizo chini ya ofisi ya DPP kutoa warranti ya kumsaka awe mtuhumiwa yupo ndani ya nchi au hata nje

MKURUGENZI WA MASHTAKA

Mkurugenzi wa Mashtaka ni mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Mkurugenzi wa Mashtaka ndiye msimamizi mkuu wa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Wakurugenzi, Wakurugenzi Wasaidizi, Mawakili wa serikali na Waendesha Mashtaka katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Majukumu ya Mkurugenzi wa Mashtaka yatakuwa ni:

  • (i)Kuamua kushtaki au kutoshtaki kwenye makosa ya jinai;
  • (ii)Kuanzisha, kuendesha na kusimamia mashtaka ya makosa ya jinai katika mahakama zote isipokuwa mahakama za kijeshi;
  • (iii)Kutwaa na kuendelea na mashtaka ya kesi yoyote ya jinai iliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine;
  • (iv)Kufuta mahakamani mashtaka yoyote ya jinai yaliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine katika hatua yoyote kabla hukumu kutolewa;
  • (v)Kutoa maagizo kwa jeshi la polisi au vyombo chunguzi vyoyote kuchunguza taarifa yoyote ya kijinai na kutoa taarifa kwake haraka inavyowezekana;
  • (vi)Kuchukua hatua muhimu kwa jambo lolote lenyetija katika mashtaka ya jinai;
  • (vii)Kutoa miongozo inayohusu uratibu wa upelelezi na uendeshaji mashtaka;
  • (viii)Kuteua na kutenguamamlaka ya waendesha mashtaka wa umma;
  • (ix)Kumshauri waziri mwenye dhamana katika masualaya mashtaka yanayohitaji sera au hatua za kibunge;
  • (x)Kuteuwa maafisa maalum ndani ya taasisi za serikali kusimamia mali zilizozuiliwa au kutaifishwa na mahakama katika mazingira ambayo ni vigumu kuteua wasii;
  • (xi)Kufanya kazi nyingine ambayo zinahusiana na mashtaka ya umma;
  • (xii)Kuwasimamia maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine walioteuliwa au kuajiriwa na ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiii)Kusimamia shughuli zote zinazofanywa na maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiv)Kuita afisa yoyote wa umma kutoa maelezo au taarifa kuhusiana na jambo lolote ambalo linahusu mashtaka ya umma;
  • (xv)Kuandaa na kuwasilishakwa waziri taarifa ya nusu mwaka na nakala kwa mwanasheria mkuu wa serikali kuhusu utekelezaji wa majukumu ya ofisi ya taifa ya mashtaka; na
  • (xvi)Kuteua au kuajiri na kuwajibisha maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka
Source : NPS | Mkurugenzi wa Mashtaka
 
Wizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja

Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje

Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?

Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Nchi ngumu hii
Mheshimiwa anaweza akataja alafu haohao waliomletea umbea wakaja tena kusema walikosea na yeye ameshatamka hadharan 😄
 
Kila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake.

Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???

Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??


Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ??.

Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??


Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo ya yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.


Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.


Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuona Mahali zimehifadhiwa ??.



Rais Samia, acha mambo ya ajabu, Yaan RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? Mbona unatuletea mambo ya ajabu kabisa haya.

Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? ACHENI mambo ya ajabu, mnatia hasira sana


Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.


Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.


Taifa limerudi Enzi za Jakaya, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.


mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.

Usalama wa Taifa Mpoo !!! .


TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Mh, mkuu angalia hiyo kauli uliyoikoleza hapo juu, URAIS NI TAASISI. Nakushauri tumia lugha nzuri yenye staha na heshima. Kwa kifupi, jaribu kupunguza munkari na jazba.

Usidanganywe na uhuru wa kujieleza uliopewa kikatiba. Miongoni mwa mapungufu makubwa kwenye katiba ni kukupa uhuru wa kujieleza mkono wa kulia na kukunyang'anya kupitia mkono wa kushoto.

Kwa kifupi hatuna uhuru wa kujieleza!!!!!!!!!!!
 
Mh, mkuu angalia hiyo kauli uliyoikoleza hapo juu, URAIS NI TAASISI. Nakushauri tumia lugha nzuri yenye staha na heshima. Kwa kifupi, jaribu kupunguza munkari na jazba.

Usidanganywe na uhuru wa kujieleza uliopewa kikatiba. Miongoni mwa mapungufu makubwa kwenye katiba ni kukupa uhuru wa kujieleza mkono wa kulia na kukunyang'anya kupitia mkono wa kushoto.

Kwa kifupi hatuna uhuru wa kujieleza!!!!!!!!!!!
Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga .

Anayegombea Urais ni mtu, sio Taasisi, Rais ana Washauri, ambao wanaweza mshauri viaba au vizuri au vizuri lkn akawapuuza.


Hizo Kinga walojiwekea, wameweka Mtu, sio Taasisi, na Rais aanawajibika kwa madhaifu yake na kushindwa kwake, na sio kusingizia Taasisi.


Hamna MANENO mengine yanayoweza chukua nafasi ya Wizi, Rushwa, mambo ya ajabu ajabu yanayofanyika Sasa.


Ni kweli akiwa anaongea anaongea kama vile anaongea na familia yake, kumbe anaongea na Taifa lenye watu Waume na Wanawake zaidi Ya Milion 60 .


Mambo ya ajabu yakifanywa na Rais, aaibiwe kua anafanya mambo ya ajabu Kwa lugha ilonyooka.
 
Ni kweli akiwa anaongea anaongea kama vile anaongea na familia yake
Umesema ?
Mambo ya ajabu yakifanywa na Rais, aaibiwe kua anafanya mambo ya ajabu Kwa lugha ilonyooka.
Ndio kumaanisha kwamba ?
Hamna MANENO mengine yanayoweza chukua nafasi ya Wizi, Rushwa, mambo ya ajabu ajabu yanayofanyika Sasa
Kwa hio hua anaongea na nani pale ?
anaongea na Taifa lenye watu Waume na Wanawake zaidi Ya Milion 60
Sawa mkuu umeeleweka kwa hio wewe sio muoga ?
Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga
We kwa hio sasa itakuaje ?
Hizo Kinga walojiwekea, wameweka Mtu, sio Taasisi
Hii maana yake nini ?
Rais aanawajibika kwa madhaifu yake na kushindwa kwake, na sio kusingizia Taasisi
Basi sawa mkuu,
 
Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga .

Anayegombea Urais ni mtu, sio Taasisi, Rais ana Washauri, ambao wanaweza mshauri viaba au vizuri au vizuri lkn akawapuuza.


Hizo Kinga walojiwekea, wameweka Mtu, sio Taasisi, na Rais aanawajibika kwa madhaifu yake na kushindwa kwake, na sio kusingizia Taasisi.


Hamna MANENO mengine yanayoweza chukua nafasi ya Wizi, Rushwa, mambo ya ajabu ajabu yanayofanyika Sasa.


Ni kweli akiwa anaongea anaongea kama vile anaongea na familia yake, kumbe anaongea na Taifa lenye watu Waume na Wanawake zaidi Ya Milion 60 .


Mambo ya ajabu yakifanywa na Rais, aaibiwe kua anafanya mambo ya ajabu Kwa lugha ilonyooka.
Mimi nakuomba usiendeshwe na mhemko, hisia, munkari na jazba unapoikosoa TAASISI YA URAIS.

Hujakatazwa kuikosoa na kuishauri ila KUMBUKA ina TARATIBU ZAKE. Mojawapo ni kutumia LUGHA YENYE STAHA. Haimainishi kuwa ukitumia lugha yenye staha utaonekana wewe ni muoga.

Nb 1: URAIS NI TAASISI yenye nguvu kuliko zote ndani ya nchi.

Nb 2 :Kumbuka huna uhuru huo unaouringia bali ni kiini macho tu!!!!!!!!!!!!

Ni ushauri tu unaweza kuuchukua ama kuuacha.
 
Kila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake Kama alivyofanya Hayati John Joseph Pombe Magufuli !! ... Hivi Kwa JPM ungeanzia wapi kukopa na kutokomea?. Mbona Huu Uhuni Kwa JPM haukwepo?.

Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???

Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??


Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ? Kwann anshindwa kumtaja?.

Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??


Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.


Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.


Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuna Mahali zimehifadhiwa ??.


RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? na Una Mamlaka .

Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? Mnatia hasira sana


Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.


Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.


Taifa limerudi Enzi za JK, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.


mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.

Usalama wa Taifa Mpoo !!! .


TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Uzi ni mzuri. Upumbavu upo kwenye kumsifia Magufuli
 
Mimi nakuomba usiendeshwe na mhemko, hisia, munkari na jazba unapoikosoa TAASISI YA URAIS.

Hujakatazwa kuikosoa na kuishauri ila KUMBUKA ina TARATIBU ZAKE. Mojawapo ni kutumia LUGHA YENYE STAHA. Haimainishi kuwa ukitumia lugha yenye staha utaonekana wewe ni muoga.

Nb 1: URAIS NI TAASISI yenye nguvu kuliko zote ndani ya nchi.

Nb 2 :Kumbuka huna uhuru huo unaouringia bali ni kiini macho tu!!!!!!!!!!!!

Ni ushauri tu unaweza kuuchukua ama kuuacha.
Sawa Mkuu!!


Wacha iwe Taasisi yenye Nguvu kuliko zote Ndani na nje lakini yenye Kupigwa na kuibiwa na kuchezewa na kugeuzwa kua shamba la bibi !!.

Wacha iwe Taasisi yenye Nguvu, uku Mtanzania wa chini aliendelea kuumizwa na makodi na matozo ambayo kazi yake ni kwenda kulipia haya mamikipo yanayobebwa ovyo


Wacha iwe Taasisi yenye Nguvu kuliko zote, huku mtoto wa Masikin akiendelea kukaa chini darasani miaka 62 ya uhuru Sasa

Hongera yao sana sana sana ,hakika ni Taasisi yenye Nguvu kuliko zote Ndani na nje !!.
 
Watanzania hawajazoea kujadili vitu vinavyowagusa hapo siku mbili tatu watajadili hili suala halafu wataletewa "connection" watasambaziana wiki mbili nzima story inakuwa imefungwa namna hiyo.
 
Kila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake Kama alivyofanya Hayati John Joseph Pombe Magufuli !! ... Hivi Kwa JPM ungeanzia wapi kukopa na kutokomea?. Mbona Huu Uhuni Kwa JPM haukwepo?.

Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???

Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??


Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ? Kwann anshindwa kumtaja?.

Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??


Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.


Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.


Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuna Mahali zimehifadhiwa ??.


RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? na Una Mamlaka .

Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? Mnatia hasira sana


Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.


Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.


Taifa limerudi Enzi za JK, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.


mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.

Usalama wa Taifa Mpoo !!! .


TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Kwani Yusuf Manji hizo mabilioni alikopa lini?

Pili ni sababu gani zilizomfanya awe nje ya Tanzania.? Naomba tuanzie hapo
 
Kwani Yusuf Manji hizo mabilioni alikopa lini?

Pili ni sababu gani zilizomfanya awe nje ya Tanzania.? Naomba tuanzie hapo
Samia AKIMTUMIKIA Kamala
FB_IMG_16801912876257438.jpg
 
Back
Top Bottom