Wamelala ndio. Ilitakiwa wazuie yote haya kabla, ila kulala kwao wamelazwa tu maana nao ni CCMWizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja
Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?
Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Jambo la Ovyo sana, alafu anakiri Kabisa, Et hata dhamana alizoweka ni fake , so what??.Wizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja
Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?
Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Billion 50 mkuuHizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.
Wakisikia jina la huyo mfanyabiashara wataamini ingefaa atajwe na majina yeye ni Nani akwibe akimbie bila kulipa ?Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha??
Umesema kwamba ?Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??
Emu fafanua kidogo mkuu umesema ?Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo ya yasofaaa
Sijamsikia kule nyuma punguzeni kelele mkuu sijamsikia umesema kwamba ?Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini
Oo ho kwa hio ndio unamaanisha nini ?huongei na Familia yako
Aisee kwa hio ndio hoja yako hii mkuu ?Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!!
Basi mkuu amekusikia umeongea kwa uchungu mwingi sanahukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia
Kwa hio umesema nini kifanyike emu rudiaBasi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu?
Basi tuliza mukhari mkuu najua imekuuma Ila tuliza jazbaKama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuona Mahali zimehifadhiwa ??.
Basi mkuu amekusikiaRais Samia, acha mambo ya ajabu, Yaan RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi??
Basi tuliza mukhari mkuu inauma kweli Ila na yeye huko aliko amejifungia ndani analia peke yake kwa wanachomfanyia hawa wahuni aliowaamini mkuu kua na huruma hata kidogo basiAlafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? ACHENI mambo ya ajabu, mnatia hasira sana
Basi mkuu imetosha amekusikia zitarudi hizo Billion 50 na huyo mfanyabiashara ataswekwa rupango na zile walizoenda kuzificha China pia za nini bargain sijui nazo atahakikisha nazo zinarudishwa sawa mkuu,Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.
Kipo kwa ajili ya watu ambao hawana connection na Msoga Enterprises.Si wanasema BoT Ina intelijensia Kali kiasi ukichukua kuanzia milioni Tano benki yoyote nchini wanakuwekea kakibendera kwenye akaunti yako na bank yenyewe inakuwa flagged!
Hicho kitengo ilikuwa myth ama ukweli kipo?
Duuuh kweli hii ni Silent OceanMsoga Enterprises
Aisee, naomba hii isiwe kweli! Nimekupata Mkuu.Kipo kwa ajili ya watu ambao hawana connection
Ndio anajua ziliko si anawajua waliotoa hizo pesa aanze na hao kuwabana mapumbu mpaka waseme wameziweka wapi wasituletee michezo michafu billion 50 sio ndogo shule na zahanati kadhaa inajengwa,kwann nisiseme anajua Pesa ziliko?.
Isiwe kweli wakati ushaambiwa kweliAisee, naomba hii isiwe kweli! Nimekupata Mkuu.
Ushoga unafanya tupigwe jua kwenye tosi zetu.Kipo kwa ajili ya watu ambao hawana connection na Msoga Enterprises.
Kweli mkuu ngoja funga ipite uone watu wanavyotembezewa mikwaju maana wanafanya yeye kudharauliwa na wananchi wake anaonekana km nyoka wa kufugwa na M mdomo koma sina mwanasheria Mimi oohoHata Ivo, Ngoja nisubiri tuone huo Mfungo kuisha, utamleta akiwa na yapi mapya !!.
Mwanasheria .... USITHUBUTU !!.Kweli mkuu ngoja funga ipite uone watu wanavyotembezewa mikwaju maana wanafanya yeye kudharauliwa na wananchi wake anaonekana km nyoka wa kufugwa na M mdomo koma sina mwanasheria Mimi ooho
Samia AKIMTUMIKIA Kamala.Shamba la bibi
HakikaaaUkitaka kuwehuka nchi hii kuwa mfuatiliaji wa ama siasa, michezo au manabii...
Kanyenyekeaa, cheki body language yakeeeSamia AKIMTUMIKIA Kamala.View attachment 2571278
Ni Lissu huyoUkiona hivyo ni m CCM, mlamba asali au mhuni. Almaarufu ukikomaa nao nchi itatikisika.
Anaonekana sio mtu wa kutajwatajwa ovyo mkuu inabidi atajwe kwa umakini ndio maana raisi amekua na tahadhari kwenye kutaka jina na sio kwamba hawezi kutaja mbon amelitaji lile shirika linalokula pesa tangu Nchi inapata Uhuru watu wamelala wamekaa pale wanakula pesa tu wenyewe wanaita kuiingizia Serikali hasara Ila ndio kula pesa huko kawataja bila kigugumiziwakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Watu wa protokali...jamani!!! nini tena hii.....AKIMTUMIKIA...