wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Kwa hio mkuu ulitaka amvimbie mtu anaempa cheque ya Trillion 11 zinazopelekwa kuliwa na wahuni ulitaka anune kabisa? Maana wahuni mate yanawatoka wanazisubiri kwa hamu waanze kuzitafuna hizo Trillion 11 za uwekezajiKanyenyekeaa, cheki body language yakeee
Aliyechukua mikopo hiyo hawezi kurudi labda arudishwe. Zingatia msingi wa mada.Ni Lissu huyo
Mikipo ambayo inakuja kulipa Pesa ambazo Hili kijamaa lao limechukua, alafu Mtanzania ndio wakulipaKwa hio mkuu ulitaka amvimbie mtu anaempa cheque ya Trillion 11 zinazopelekwa kuliwa na wahuni ulitaka anune kabisa? Maana wahuni mate yanawatoka wanazisubiri kwa hamu waanze kuzitafuna hizo Trillion 11 za uwekezaji
Ndiyo maana aliondoka kimya kimya kurudi ubeljijiAliyechukua mikopo hiyo hawezi kurudi labda arudishwe. Zingatia msingi wa mada.
Sasa huyo mwizi ana ukaribu nae unataka ampake kinyesi mkuu yaan yeye rais pia yupo na ukaribu na huyo mwizi, nimekuja kuchukua billion 10 Nani kakuagiza SSH wanaiangalia kweli jamaa ana ukaribu nae walikua pamoja kwenye Royal Tour utagoma kumpa? Kakomba pesa hakuna biashara hakuna nini kasepa huku nyuma bi mdashi anashtuka pesa hazipo anauliza anaambiwa yule Bwana kazichukua anaanza kuwaka na kubwata kwamba wamemuibia nyumbani kwake kumbe alieiba ana ukaribu nae kwanini asimtaje sasa?Ni kweli nchi kama Marekani wakimtafuate awe bosi wa TIK TOK, HUWAEI, FACEBOOK, Boss wa Benki au tapeli wa fedha kimataifa n.k huwa hawaogopi kutangaza jina la mtuhumiwa
Ikifika mahali kuna kutikisika kwa nchi kisa sheria za nchi hiyo zinatekelezwa...hiyo nchi lazima uwekee alama ya kuuliza......nchi itatikisika.
Ndiyo maana aliondoka kimya kimya kurudi ubeljiji
Kakomba pesa hakuna biashara hakuna nini kasepa huku nyuma bi mdashi anashtuka pesa
Nchi ngumu hiiWizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja
Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?
Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Mh, mkuu angalia hiyo kauli uliyoikoleza hapo juu, URAIS NI TAASISI. Nakushauri tumia lugha nzuri yenye staha na heshima. Kwa kifupi, jaribu kupunguza munkari na jazba.Kila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake.
Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???
Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??
Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ??.
Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??
Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo ya yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.
Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.
Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuona Mahali zimehifadhiwa ??.
Rais Samia, acha mambo ya ajabu, Yaan RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? Mbona unatuletea mambo ya ajabu kabisa haya.
Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? ACHENI mambo ya ajabu, mnatia hasira sana
Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.
Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.
Taifa limerudi Enzi za Jakaya, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.
mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.
Usalama wa Taifa Mpoo !!! .
TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga .Mh, mkuu angalia hiyo kauli uliyoikoleza hapo juu, URAIS NI TAASISI. Nakushauri tumia lugha nzuri yenye staha na heshima. Kwa kifupi, jaribu kupunguza munkari na jazba.
Usidanganywe na uhuru wa kujieleza uliopewa kikatiba. Miongoni mwa mapungufu makubwa kwenye katiba ni kukupa uhuru wa kujieleza mkono wa kulia na kukunyang'anya kupitia mkono wa kushoto.
Kwa kifupi hatuna uhuru wa kujieleza!!!!!!!!!!!
Umesema ?Ni kweli akiwa anaongea anaongea kama vile anaongea na familia yake
Ndio kumaanisha kwamba ?Mambo ya ajabu yakifanywa na Rais, aaibiwe kua anafanya mambo ya ajabu Kwa lugha ilonyooka.
Kwa hio hua anaongea na nani pale ?Hamna MANENO mengine yanayoweza chukua nafasi ya Wizi, Rushwa, mambo ya ajabu ajabu yanayofanyika Sasa
Sawa mkuu umeeleweka kwa hio wewe sio muoga ?anaongea na Taifa lenye watu Waume na Wanawake zaidi Ya Milion 60
We kwa hio sasa itakuaje ?Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga
Hii maana yake nini ?Hizo Kinga walojiwekea, wameweka Mtu, sio Taasisi
Basi sawa mkuu,Rais aanawajibika kwa madhaifu yake na kushindwa kwake, na sio kusingizia Taasisi
Mimi nakuomba usiendeshwe na mhemko, hisia, munkari na jazba unapoikosoa TAASISI YA URAIS.Haya mambo ya Et Rais ni Taasisi, na hivo Iheshimiwe, ni mambo yanayofanya tuendelee kua waoga .
Anayegombea Urais ni mtu, sio Taasisi, Rais ana Washauri, ambao wanaweza mshauri viaba au vizuri au vizuri lkn akawapuuza.
Hizo Kinga walojiwekea, wameweka Mtu, sio Taasisi, na Rais aanawajibika kwa madhaifu yake na kushindwa kwake, na sio kusingizia Taasisi.
Hamna MANENO mengine yanayoweza chukua nafasi ya Wizi, Rushwa, mambo ya ajabu ajabu yanayofanyika Sasa.
Ni kweli akiwa anaongea anaongea kama vile anaongea na familia yake, kumbe anaongea na Taifa lenye watu Waume na Wanawake zaidi Ya Milion 60 .
Mambo ya ajabu yakifanywa na Rais, aaibiwe kua anafanya mambo ya ajabu Kwa lugha ilonyooka.
Uzi ni mzuri. Upumbavu upo kwenye kumsifia MagufuliKila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake Kama alivyofanya Hayati John Joseph Pombe Magufuli !! ... Hivi Kwa JPM ungeanzia wapi kukopa na kutokomea?. Mbona Huu Uhuni Kwa JPM haukwepo?.
Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???
Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??
Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ? Kwann anshindwa kumtaja?.
Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??
Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.
Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.
Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuna Mahali zimehifadhiwa ??.
RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? na Una Mamlaka .
Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? Mnatia hasira sana
Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.
Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.
Taifa limerudi Enzi za JK, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.
mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.
Usalama wa Taifa Mpoo !!! .
TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Sawa Mkuu!!Mimi nakuomba usiendeshwe na mhemko, hisia, munkari na jazba unapoikosoa TAASISI YA URAIS.
Hujakatazwa kuikosoa na kuishauri ila KUMBUKA ina TARATIBU ZAKE. Mojawapo ni kutumia LUGHA YENYE STAHA. Haimainishi kuwa ukitumia lugha yenye staha utaonekana wewe ni muoga.
Nb 1: URAIS NI TAASISI yenye nguvu kuliko zote ndani ya nchi.
Nb 2 :Kumbuka huna uhuru huo unaouringia bali ni kiini macho tu!!!!!!!!!!!!
Ni ushauri tu unaweza kuuchukua ama kuuacha.
mzee suti imemvaaTuendelee kupinga ushoga maana ushoga ndio chanzo cha ukame na jua kutuchoma tosi zetu.
BRIGEDIA MABWANGA atuongoze kwenye fita hii.View attachment 2571269
Kwani Yusuf Manji hizo mabilioni alikopa lini?Kila siku nawaambia, Rais Samia, hafai kua Rais, Nchi hii inahitaji mtu anayejitoa Maisha yake Kwa ajili ya kupigania Taifa lake Kama alivyofanya Hayati John Joseph Pombe Magufuli !! ... Hivi Kwa JPM ungeanzia wapi kukopa na kutokomea?. Mbona Huu Uhuni Kwa JPM haukwepo?.
Rais analalamika, yaan RAIS Mwenye Mamlaka na Kila kitu unalalamika?? Kwahiyo unalalamika ili Mtanzania alokosa hata Bima ya Afya ndio aende kumtafuta huyo Mfanyabiashara???
Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??
Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha?? Kama tuliwah kua na wafanyakazi hewa, Huyo Mfanyabiashara atakuwepo?? Huyo Mfanyabiashara nikisema ni Wewe/Kikundi chako ndio umezichukua ila umejificha Kwa Mfanyabiashara ? Kwann anshindwa kumtaja?.
Mpaka Rais anasema ametokomea, inamaana wamejiridhisha huyu mtu Hana Nia ya kulipa, Inamaana Wanashindwa hata kumtangaza kwenye Vyombo vya Habari ??
Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo yasofaaa , Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini, huongei na Familia yako, Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!! hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia.
Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.
Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu? Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuna Mahali zimehifadhiwa ??.
RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi?? na Una Mamlaka .
Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? Mnatia hasira sana
Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.
Ninajua Kuna mijizi mikubwa ambayo imekuhakikishia Urais kwa mashariti ya kutulia wao wafanye yao, ila si Kwa stahili hii !!.
Taifa limerudi Enzi za JK, Wizi Wizi Rushwa Rushwa !!.
mnatia sana Hasira !!! . Ndio sababu Kila kukicha mnamtukana Hayati JPM !!.
Usalama wa Taifa Mpoo !!! .
TUNAMUHITAJI HAYATI MAGUFULI MPYA !!.
Samia AKIMTUMIKIA KamalaKwani Yusuf Manji hizo mabilioni alikopa lini?
Pili ni sababu gani zilizomfanya awe nje ya Tanzania.? Naomba tuanzie hapo