Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu akienda kule atawaonyesha nani haters wake?!!!Kwanini hajaalikwa?
Daddie nakupigia hupatikaniFuraha kwa chadema
Anakupenyeza ukachote taarifa wanamzungumziajeNamwakilisha vipi bila mwaliko? Angealikwa tungemtuma hata Nyani Ngabu au Bufa kutuwakilisha.
sio tu samia,wengi tu hawajaalikwa na hakuna rais wa nchi yoyote afrika aliyealikwaKwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Trump hataki ombaombaNamwakilisha vipi bila mwaliko? Angealikwa tungemtuma hata Nyani Ngabu au Bufa kutuwakilisha.
Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa?
Gentleman,Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.

Siasa inaweza kuwa na athari kubwa kwenye akili za watu, na katika hali fulani, inaweza kuchangia matatizo ya kisaikolojia kama vile psychosis.Nimegundua siasa pia ni chanzo cha psychosis
Hiyo takataka iende USA kwa wenye akili zao, kufanya nini! Kujamba!Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Samia alipoenda kuzindua Royal Tour alipokelewa na mtoto aliyebeba ua na baadhi ya madiaspora.Hivi ni kweli raisi wa Afrika akienda America kwenye uwanja wa ndege anapokelewa na waziri?
5 tenaKwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Inawezekana kumejaa...Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.