Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Lucas Mwashambwa kwanini ikulu ya marekani haijamwalika rais wenu?Muulize Mbubujikwa machozi ya furaha, Lucas
Sio waziri bali wakuu wa majimboHivi ni kweli raisi wa Afrika akienda America kwenye uwanja wa ndege anapokelewa na waziri?
Hahahahahàa kuna kipindi walialikwa sijui wapi kule, nadhani ilikua msibani, wakakusanywa wote kwenye daladala. Ruto ndio alikua kondaKwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Lucas Mwashambwa kwanini ikulu ya marekani haijamwalika rais wenu?
Lissu atamwalika MAANA ndio mshindi.Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Tangu lini CIA wakawa na urafiki na rafiki wa kiuchumi was waarabu na wachina!!?tangu lini!!?Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Trump atakuja Mwenyewe hapa Nchini kujitambulisha na kuomba ushirikianoLucas Mwashambwa kwanini ikulu ya marekani haijamwalika rais wenu?
Uko kwenye hali ya juu ya kiburi na majivuno maskini jeuri wewe.Trump atakuja Mwenyewe hapa Nchini kujitambulisha na kuomba ushirikiano
Kule hamna chawa, isitoshe nyie ni koloni, tafuteni pesa kwanza mkae viti vya wakuuKwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Vipi kiongozi wa ufaransa kaalikww?Kwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.
Tumuuliza Lucas Mwashambwa et all wenye funza kichwani ambao walikua wanasema tuvae turban la mama Rais kama vazi la taifaIssue ni mwaliko, kwanini wamemkaushia?
Baba ako mwashambwa anasemaje piaKwanini Marekani haijampa mwaliko kabisa? Ni bora hata ingemwalika akatae kuliko hiki walicho mfanyia.
Hawajui kuwa huku tumempa mi5 tena? Kwa taarifa yenu wamarekani nasisi hatumwaliki Trump kwenye sherehe za kumwapisha rais Samia baada ya uchaguzi.
Pia nashauri ikulu ya Marekani iombe radhi.