Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?