Kwanini Rais Samia Hassan hadi sasa hajatoa tamko rasmi kuhusu mkataba wa DP World

Kwanini Rais Samia Hassan hadi sasa hajatoa tamko rasmi kuhusu mkataba wa DP World

Prof Griff

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2008
Posts
6,772
Reaction score
5,258
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?

Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
 
Simply kwa sababu ni mhusika mkuu, hawezi kutoa tamko analojua litamfunga mwenyewe, zile safari zake za kwenda Dubai kila siku huo ndio mchezo wa hovyo aliokuwa akienda kuwafanyia watanganyika.

Akitegemea ungekuwa siri, bahati mbaya siri imefichuka, sasa hana ujanja, hajui la kufanya, anasubiri msaada wa chawa na wafia dini waje kumsaidia, amefeli, hafai kutuongoza.
 
Labda ujamsikia

Si alishasema alisaini fasta kisa aliogopa jirani yetu angetuwahi
 
Ningelikuwa Mimi ndiyo rais samiah, simple tu,
Ningetoa hotuba fupi tu,

Ndg watanzania wenzangu kumekuwa na sintofahamu na maneno mengi juu ya mkataba wa bandari,nathubutu KUSEMA baadhi ya paragragh zimeshindwa kueleweka na walio wengiwetu HIVYO serekali YETU imeamua kusitisha kwa muda mkataba huu mpaka utakapowekwa sawa kwa msaada wa wanasheria wetu hapa nchini na kwa ushirikiano na wanasheria wa kimataifa, ili hatimaye utakapomalizika uletwe upya bungeni kwa kuridhiwa,mawashukuru sana watanzania kwa michango yenu,SEREKALI yenu imeyapokea maoni yenu.

Nawashukuru sana watanzania wote, kwani mmeonyesha umoja katika kuona mambo yanakaa sawa,KITAALUMA MIMI SIYO MWANASHERIA.

Nawashukuru sana,
Aksanteni!

°HOJA ZA BANDARI ZINGEFUTIKA TOTALY,
Wanasiasa waropokaji wangebaki na hoja yao ya katiba mpya....
CASE CLOSED!
 
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Jibu zuri la mpumbavu ni kumnyamazia kimya. Pengine
ndio maana ameona anyamaze.
 
Simply kwa sababu ni mhusika mkuu, hawezi kutoa tamko analojua litamfunga mwenyewe, zile safari zake za kwenda Dubai kila siku huo ndio mchezo wa hovyo aliokuwa akienda kuwafanyia watanganyika.

Akitegemea ungekuwa siri, bahati mbaya siri imefichuka, sasa hana ujanja, hajui la kufanya, anasubiri msaada wa chawa na wafia dini waje kumsaidia, amefeli, hafai kutuongoza.
🎶🎶🎶 Messenger kaleta balaa nyumbani kwa meneja bilakufahamuuuu🎶🎶🎶🎶
 
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Hana majibu mkataba ulivuja. Hawakutegemea hili litokee.

Kama vipi watuambie na ile mingine 29 ilyobaki inasema nini.
 
Tafakari...
 

Attachments

  • F3CttmWXYAAgbNo.jpg
    F3CttmWXYAAgbNo.jpg
    18.2 KB · Views: 2
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Hakuna mtanzania mwenye akili anayepinga. Sema nyie mapopoma ambao hamna knowledge ya investment kama alivyosema Asad ndo mnajichetua. Ndo mana mama kawapuuza
 
Waliopinga walienda mahakamani..
Mahakama imebariki na kujibu hoja zote...
Unataka Rais aseme nini kingine?
Au hukuielewa mahakama?
comte ..anazo threads za hukumu zipitie
 
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Atasema nini wkti keshatuuza kwa mahabib
 
Back
Top Bottom