Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Angelihutubia taifa kuhusu huu mkataba, na mara moja ingetoshaUnataka aseme mara ngapi? Na kwa staili ipi?
Jibu zuri la mpumbavu ni kumnyamazia kimya. PengineNingependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
🎶🎶🎶 Messenger kaleta balaa nyumbani kwa meneja bilakufahamuuuu🎶🎶🎶🎶Simply kwa sababu ni mhusika mkuu, hawezi kutoa tamko analojua litamfunga mwenyewe, zile safari zake za kwenda Dubai kila siku huo ndio mchezo wa hovyo aliokuwa akienda kuwafanyia watanganyika.
Akitegemea ungekuwa siri, bahati mbaya siri imefichuka, sasa hana ujanja, hajui la kufanya, anasubiri msaada wa chawa na wafia dini waje kumsaidia, amefeli, hafai kutuongoza.
Hana majibu mkataba ulivuja. Hawakutegemea hili litokee.Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Hakuna mtanzania mwenye akili anayepinga. Sema nyie mapopoma ambao hamna knowledge ya investment kama alivyosema Asad ndo mnajichetua. Ndo mana mama kawapuuzaNingependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Amesema NCHI haijauzwa akijibu hoja ya Jobu Ndugaikutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW
Mjomba ni MamaHapo kijiweni vijana wanasema eti ni dili la familia; nimeshikwa na butwaa!
Atasema nini wkti keshatuuza kwa mahabibNingependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Mkataba una vifungu kichaa ndo anaweka sahihi kuukubaliHakuna mtanzania mwenye akili anayepinga. Sema nyie mapopoma ambao hamna knowledge ya investment kama alivyosema Asad ndo mnajichetua. Ndo mana mama kawapuuza
Na yawwzekana kwel mbona nanilii aongei chochote.Hapo kijiweni vijana wanasema eti ni dili la familia; nimeshikwa na butwaa!