Na job alisema tunapo enda nchi itauzwa hii.Amesema NCHI haijauzwa akijibu hoja ya Jobu Ndugai
Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi? Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Ni mmoja waoNingependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Si mlisema wananchi walipewa muda mdogo kujadili DPW. Sasa amewaachia wananchi wajadili mpaka waseme imetosha ndio mkuu atatoa tamko lake. By the way, nilimsikia akiwashangaa baadhi ya watanzania wakirumbana wakati Kenya wakiwapa DPW bandari zote mpaka za mito na visimani.Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Anajibu hoja ya Ndugai baada ya mwaka na nusu kupita? Tumekwisha .....Amesema NCHI haijauzwa akijibu hoja ya Jobu Ndugai
Alisha waagiza chawa wake watoe elimu Kwa wananchi juu ya mkatabaSimply kwa sababu ni mhusika mkuu, hawezi kutoa tamko analojua litamfunga mwenyewe, zile safari zake za kwenda Dubai kila siku huo ndio mchezo wa hovyo aliokuwa akienda kuwafanyia watanganyika.
Akitegemea ungekuwa siri, bahati mbaya siri imefichuka, sasa hana ujanja, hajui la kufanya, anasubiri msaada wa chawa na wafia dini waje kumsaidia, amefeli, hafai kutuongoza.
1. Haki ya kisiasa imemchanganyaNingependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Kwanza anajua kuwa kuna makosa kwenye mkataba huo. Pili yeye hana uhakika na ukweli wa mkataba huo kwamba ni makubaliano au mkataba, uhalali wa Dubai kuingia mkataba, nk.Ningependa kujua sababu za msingi za Rais Samia Suluhu Hassan kutowajibika kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba tatanishi wa DPW ambao kwa kiasi kikubwa unapingwa na Wananchi waliyo wengi?
Nini sababu ya ukimya wa Rais Samia Suluhu Hassan?
Bandari imebinafsishwa milele. Huu ni mkataba wa ovyo ambao haujawi kutokea milele. Kwa maana hiyo imeuzwa bandari.