Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Nimemshuhudia akiwa huko Glasgow, Scotland na mwenyekiti wa mabenki ya standard chartered
Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaida
Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tunajambiana sana bila mpangilio hivyo Barakoa zinamsaidia kupunguza Ukali wa Hewa zetu za Ukaa kutokea Makalioni mwetu kama alivyoagizwa Mkutanoni huko Scotland alikokuwa zisije Kumdhuru Kiafya na asiione 2025 anayoisubiri kwa hamu awe Rais wa Kuchaguliwa na siyo wa Deiwaka Kikatiba kama alivyo sasa.Nimemshuhudia akiwa huko Glasgow, Scotland na mwenyekiti wa mabenki ya standard chartered View attachment 2000109
Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaidaView attachment 2000110
Wacha uongo wewe matagaNimemshuhudia akiwa huko Glasgow, Scotland na mwenyekiti wa mabenki ya standard chartered View attachment 2000109
Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaidaView attachment 2000110
Kwanza kama hujachanja hukanyagi hapo.Wacha uongo wewe matagaView attachment 2000479
Ni kweli alipiga picha na Raisi wa Marekani na waziri mkuu wa uingereza akiwa kavaa barakoa wakawa wanamshangaa huyi vipi wakati social distance imezingatiwa kwenye kupiga picha? Walimuona mshamba Fulani hivi au limbukeni wa barakoa.Lakini baadaye naona alinnote kitu maraisi Wengi wa Afrika Kama wa Nigeria nk walikuwa hawavai barakoa ndio akajirekebisha kwenye upigaji picha baadaye akipiga na wengineWacha uongo wewe matagaView attachment 2000479
Hapa ni ndani ya Nchi? 👇Nimemshuhudia akiwa huko Glasgow, Scotland na mwenyekiti wa mabenki ya standard chartered View attachment 2000109
Lakini akiwa Tanzania anavaa kama kawaidaView attachment 2000110