Kwanini Rais Samia Suluhu anasafiri?

That totally nonsense.
Tusiendelee kupigia chapuo safari za kipurure kama hizi.
Mtangulizi wake(JPM) hakuwa na tabia ya kusafiri ovyo ovyo kama hivi lakini ndo Rais pekee aliyeweza kufanya mambo makubwa sana katika Nchi kwa kipindi kifupi.
Hapo utatumbia nini?
Kwa kifupi, Nchi yetu imepatwa.
 
Watanzania wanakwambia tuna kila kitu ni wajibu wetu kujitegemea. Kwamba mikopo ikiwa mingi itatusumbua kuilipa.

Wapiga domo wapo wengi sana hapa TZ, lakini kubadilisha hayo maneno kuwa vitendo ndio mtihani ulipo.
 
Kushindwa kusafiri kwa JPM hakukuwa eti ni kwa sababu ya kukataa ule ushawishi wa mataifa ya kigeni, hakuwa na uwezo katika masuala ya kimataifa. Na aliujua udhaifu wake akatafuta akina Kabudi na hayati Mahiga ili wamsaidie.

Alikuwa ni mchapa kazi sana hilo halina ubishi lakini huwezi kujitegemea mwenyewe pasipo kushirikiana na mataifa mengine.

Wakati mwingine media zetu zinao mabingwa wa propaganda wanaitengeneza habari mpaka inaonekana ni ya kweli huku rais akipambwa lakini ndani kabisa ni sehemu tu ya yeye mheshimiwa kuwa na mkono mzito ndani ya vyombo vya habari.
 
Hata akikaa hapa nchini ana kazi gani anayoifanya ya maana..mana kila uchwao maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu naye yupo kimya..aende tu akazurure mana ndio kitu anachokiweza.

Tunajua rimoti zote ziko msoga...yeye ni ceremonial leader tu.


#MaendeleoHayanaChama
 
Wtz wengi wajinga hawalioni hili.
 
Mara mia huyu kuliko yule mwendakuzimu,kila mtu aliishi kwa hofuna mashaka yakuuliwa
 
Tumuache aende aisee maana inaonekana mambo ndio yako hivyo.

Mimi aniajiri kupaki nguo na kufunga mabegi ya msafara wake.

I am Ready for my new role as long as napanda ndege na kuzunguka ulimwengu.

Tukiwa angani huko tunawacheki tu namnanavyopambana na tozo.
 

Kusema safari Zina tija au kufanya safari ni jambo moja, safari kuleta tija au wananchi kufaidika na hizo safari ni jambo lingine.
 
Inawezekana abawashwa miguuni au ameambukizwa na JMK.
 
Safari nyingi ni za kiwaki tu.
Hazina tija Hadi ifike 2025 safari zitafiki 5000


Wiki nchini wiki nje ya nchi

Akili zangu za kawaida tu
Hivi Baba akikaa ndani tuuu!! kucheza na mkewe na watoto mtakula kweli? nini? lazima aende kazini! akirudi mmpokee!! Dhahabu mnachimbiwa ili mle

hakuna mtanzania anae jua matumizi ya dhahabu zaidi ya mikufu! sasa akikaa tu wachimabaji watajuaje kuwa Mama ardhini kwake ana dhahbu?? Mafuta, Nickel, Almasi nk lazima atembee huko!!

watoto hamana dawa sasa mama lazima atoke akaitafute dawa ya homa!! siyo mtoto ana homa mna kaa tuuu humo ndani km jiwe!...........Jiwe aliwasusa wa nje nao wakamsusa mpaka akajifia humo Bongo lile jamaa halikuwa na Rafiki!

Mnataka Mama nae asiwe na marafiki yeye km Rais akiumia nani atamsaidia na nyie mmechoka mbaya!!! Mama laima asaidiwe kwa level ya uRais! nyambaf
 
Mbali na uwezo mdogo alionao & akili za kitegemezi...Eneo analomudu vizuri ni safari za hapa na pale.
 
Dah....eti mikopo yenye masharti nafuu halafu hamsemi ni masharti gani.....halafu riba nafuu hamsemi ni kiasi gani......Hivi hamuoni Kama mnaandika upuuzi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safari nyingi ni za kiwaki tu.
Hazina tija Hadi ifike 2025 safari zitafiki 5000


Wiki nchini wiki nje ya nchi

Akili zangu za kawaida tu
Safari nyingi ni za kiwaki tu.
Hazina tija Hadi ifike 2025 safari zitafiki 5000


Wiki nchini wiki nje ya nchi

Akili zangu za kawaida tu
Maskini bana? mnaona Rais akisafiri ni anakula rahaaaaa!! Ni Km mnachukulia mkulima kupanda basi la kijiji ni kwa nadra sana......ile ya mama kwa ma-born town sisi ndo tunaona ni shida mnoo.. Gujidege....lile ni km bus tu air msae!!!
Acheni ushamba banaaa....nyie lazima tuwape polisi hela wavi gonge! gonge vichwa ivo na virungu.. muelewega....shida zooote zile anazo kumbana nazo safarini.....mara Mam alale stand..akisubiri usafiri mwingine usiku... kazi ndogo hiyo??? Wkt huo wewe umelala na mwajuma ndala ndefu!!
Hapa nilipo nawaza jinsi ntakavyo kwenda Australia..Newzealand
.japani halafu nimalizie Canada.asa nawauliza kazi ndogo hiyo??? Mwezi mzima sioni tako la mke wangu..hivi hamuoni??? Haya yoote ni ili mle.....Mama kaza kamba tu hawa ni vilaza hawajijui.
 
Baby yasamehe tu...haya matoto ya maskini shida sana...ni zigo hasaa...hayaelewagi somo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…