passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Bado mnasubiri Watanzania tufe Kwa korona?
Corona mkuu. Wewe hujasikia phase 2 imeanza!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corona mkuu. Wewe hujasikia phase 2 imeanza!?
Duh! Hivi Tanzania mlikosea wapi, naona kwa dunia yote na Afrika, ni marais wa nchi mbili tu waliohudhuria, Uganda na Zimbabwe, yaani hata huko SADC yote waliwakwepa.
Yaani mlishaangukia pua kidiplomasia, japo huwa hamtaki kuambiwa. Hivi hivi ndivyo mlikwepwa kwenye mazishi ya Mkapa.
Ndio angetuma special delegation ila mngewakataza kuland kama vile mlifanya katika mazishi ya Mkapa.
Be careful with JPM as he does not beat around the bush when he doesn't fancy u, remember a month back i said even Raila is no more a friend of JPM n many of u argued!Ndio angetuma special delegation ila mngewakataza kuland kama vile mlifanya katika mazishi ya Mkapa.
Hivi mtu ambaye anawapiga risasi na kuwaua raia wake kwa mamia kila kunapifanyika uchaguzi, utamuita mwana demokrasia?,
Be careful with JPM he does not beat around the bush! when he doesn't fancy u, remember a month back i said even Raila is no more a friend of JPM n many of u argued!
raisi wetu tena mkuu sio wako na ww piaHajaalikwa kwa sababu ya mijungu ya rais wenu
Mkuu hujui kuwa shetani hana rafiki wa mileleDoes what you said make Magufuli a democrat or less of a thief... Ama unaamini ktk kifo cha wengi ni harusi?
Wala si corona wala nini.Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba Rais Magufuli bado ana machungu kwa sababu Rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti Corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta Corona huku. Rais Magufuli naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali Corona kwa maombi pekee
Museveni kiherehere sana, huyu wa Burundi amehudhuria uapisho wa Nina my yake wa damu. Mnanangwa ni walewale.
JPM hatakuwa rais milele. Tumeona wengi wakija na kuenda zao.
JPM amempiga 3 bila so hana hamu naye, hasa akikumbuka SGR, HOSPITALS, AIRPORTS, PIPELINE, FREE EDUCATION, BRT, HIGH CLASS FLYOVERS, AGRICULTURE, INDUSTRIAL REVOLUTION, HAHAHAAA.Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba JPM bado ana machungu kwa sababu rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta corona huku. JPM naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali corona kwa maombi pekee
Mpuuze Bro huyo JamaaHivi mtu ambaye anawapiga risasi na kuwaua raia wake kwa mamia kila kunapifanyika uchaguzi, utamuita mwana demokrasia?
Only two dictators attendedDuh! Hivi Tanzania mlikosea wapi, naona kwa dunia yote na Afrika, ni marais wa nchi mbili tu waliohudhuria, Uganda na Zimbabwe, yaani hata huko SADC yote waliwakwepa.
Yaani mlishaangukia pua kidiplomasia, japo huwa hamtaki kuambiwa. Hivi hivi ndivyo mlikwepwa kwenye mazishi ya Mkapa.