Kwanini Rais Uhuru hajahudhuria uapishwaji wa Rais Magufuli?

Kwanini Rais Uhuru hajahudhuria uapishwaji wa Rais Magufuli?

Duh! Hivi Tanzania mlikosea wapi, naona kwa dunia yote na Afrika, ni marais wa nchi mbili tu waliohudhuria, Uganda na Zimbabwe, yaani hata huko SADC yote waliwakwepa.
Yaani mlishaangukia pua kidiplomasia, japo huwa hamtaki kuambiwa. Hivi hivi ndivyo mlikwepwa kwenye mazishi ya Mkapa.
Ingawa hawajahudhuria lakini Raisi wetu Magufuli aka jiwe kashaapishwa tayari, na hata hao maraisi wawili wasingehudhuria angeapishwa pia.
 
Uhuru anajitambua. He is a democrat. Hawezi kuunga mkono what happened in Tanzania. Kuna marafiki wengine ni bora kutokuwa nao karibu. Why would you like to be associated with a thief, a dictator?
Wakati wewe unaandika hizo hekaya:

Uhuru (pengine) ndiye Rais pekee aliyempongeza Magufuli kwa ushindi mara tu baada ya matokeo kutangazwa.

Chama chake kikiongozwa na Raphael Tuju walikuwa na ziara rasmi pale makao makuu Lumumba Dar last year kupata darsa.
 
JPM amempiga 3 bila so hana hamu naye, hasa akikumbuka SGR, HOSPITALS, AIRPORTS, PIPELINE, FREE EDUCATION, BRT, HIGH CLASS FLYOVERS, AGRICULTURE, INDUSTRIAL REVOLUTION, HAHAHAAA
Kama hayo yote yanafanyika mbona bado mna uchumi mdogo kutushinda?
 
Mzee baba sio mtokaji huwa anatuma wawakilishi tu na wao wamegoma kuja inawezekana,si kitu lakini sisi tunachapa kazi.Pia kipindi hiki cha Corona vitu vile ambavyo havina tija ya moja kwa moja kwa taifa watu hawaoni sababu ya msingi ya kusafiri tena kwny mikusanyiko ya watu toka mataifa tofauti tofauti bora kuuchuna tu.
 
Yaani wengine wana hasira wakifikiria miaka 5 mingine tz inakwenda kuwaje ukanda huu[emoji16]. Kama huamini kamuulize PLO jr utaelewa.
 
Hatujali sisi hyo tunajali ustawi wa taifa letu Kwanza mda wa kubembelezana hatuna kabisa

Tatizo bado mnategemea misaada ya mabeberu, hivyo haiwi rahisi kutunisha misuli huku mkiwa bado maskini wa kutupwa, mataifa yenye utajiri kama Iran ndio huwa na jeuri ya kutengwa na bado wanatusua japo kwa mbinde, huwa wanapitia cha moto licha ya utajiri wa mafuta, ila nyie ambao mnaagiza hadi sindano inabidi mhurumiwe sana.
 
Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba Rais Magufuli bado ana machungu kwa sababu Rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti Corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta Corona huku. Rais Magufuli naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali Corona kwa maombi pekee
Unataka aje alete korona?
 
Only two dictators attended

Lkn Uhuru Kenya ndiyo Raisi pekee Dunia hii aliyedhalilishwa na kushitakiwa Hague kwa Muzungu, haijawahi kutokea tangia Dunia ianze, sitting head of state anashikwa na kuhudhiria Mahakama ina foreign country, labda demokrasia ya Kenya imezidi sana, Duh!

Raisi wa Kenya kama guiney pig kwenye Mahakama ya Muzungu in a Muzungu kantri!

1604584422361.png
 

Attachments

  • 1604584733225.png
    1604584733225.png
    57.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom