Kwanini Rais Uhuru hajahudhuria uapishwaji wa Rais Magufuli?

Kwanini Rais Uhuru hajahudhuria uapishwaji wa Rais Magufuli?

Hakuna siku ata moja utasikia ati mashetani wawili wamesikizana.
 
Umeshindwa kuanzisha uzi wa balozi?

Acha sisi tuendelee kupambana na mkoloni mweusi.

Wewe endelea kudanga! Ufanye nini kingine Mr. Delicious wa ukweli?
Rudisha ushoga mombasani huku hatutumii
 
Hajaalikwa.
Na ni sherehe club wanao juana
 
Hajakaribishwa! Na kama angekuwa amekaribishwa angetuma hata special delegation!
Msimtee sana huyu jiwe wenu ana matatizo makubwa na mahusiano na jamii ya kimataifa, kenya ni jirani zetu hakuna sababu yeyote ya msingi ya kutowaalika kwenye dhifa za kitaifa, kama wewe wewe una hafla nyumbani kwako halafu unamuacha jirani yako unaenda kualika mtu anaeishi nyumba ya kumi kutoka hapo kwako, huo unakuwa ni uzwazwa, msimtetee huyu mhutu muambieni ukweli ajirekebishe
 
Msimtee sana huyu jiwe wenu ana matatizo makubwa na mahusiano na jamii ya kimataifa, kenya ni jirani zetu hakuna sababu yeyote ya msingi ya kutowaalika kwenye dhifa za kitaifa, kama wewe wewe una hafla nyumbani kwako halafu unamuacha jirani yako unaenda kualika mtu anaeishi nyumba ya kumi kutoka hapo kwako, huo unakuwa ni uzwazwa, msimtetee huyu mhutu muambieni ukweli ajirekebishe
Kukosekana Uhuru kumekupunguzia nini wewe?
 
Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba Rais Magufuli bado ana machungu kwa sababu Rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti Corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta Corona huku. Rais Magufuli naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali Corona kwa maombi pekee
Siyo kila jambo ni la kujadili tu,mnapoteza muda wa kazi za kutafuta maisha kwa maisha ya wengine
 
Msimtee sana huyu jiwe wenu ana matatizo makubwa na mahusiano na jamii ya kimataifa, kenya ni jirani zetu hakuna sababu yeyote ya msingi ya kutowaalika kwenye dhifa za kitaifa, kama wewe wewe una hafla nyumbani kwako halafu unamuacha jirani yako unaenda kualika mtu anaeishi nyumba ya kumi kutoka hapo kwako, huo unakuwa ni uzwazwa, msimtetee huyu mhutu muambieni ukweli ajirekebishe
Umesahahu Kenya walivyotuzuia kuingia nchini mwao na kuruhusu nchi kutoka mbali, au wakati ule sisi hatukua majirani?.

Kama hata ndugu wa kuzaliwa tumbo mmoja mnafikia hatua ya kutokuelewana, jambo gani linakushangaza kwa jirani?.

Jirani gani ambaye anaongoza dunia katika lukushambulia na kukutakia mambo mabaya yakufike kila mara?, umesahahu Kenya jinsi ilivyoongoza dunia kuitenga Tanzania na ilivyotudhalilisha kwa kila aina katika kipindi cha mapambano dhidi ya Corona?
 
Mkuu hii sikuisikia, kuna wageni waliokatazwa kutua hapa nchini wakati wa maziko ya Mkapa?
Wajumbe kutoka Kenya waliokuja kutoa rambi rambi zao na pole zao ikiwemo seneta na wakuu wengine wa serikali waliotumwa na rais Kenyatta kumwakilisha walirudishwa wakiwa bado angani kabla ya kutua katika airport ya Tanzania.
 
Wajumbe kutoka Kenya waliokuja kutoa rambi rambi zao na pole zao ikiwemo seneta na wakuu wengine wa serikali waliotumwa na rais Kenyatta kumwakilisha walirudishwa wakiwa bado angani kabla ya kutua katika airport ya Tanzania.
Safii sana na jana waziri Aden alifikaje? Nadhani alipanda punda!
 
Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba Rais Magufuli bado ana machungu kwa sababu Rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti Corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta Corona huku.

Rais Magufuli naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali Corona kwa maombi pekee
Criminal wa ICC aje kufanya nn kwenye nchi inayojitambua?
 
Toeni maoni yenu. Yangu ni kwamba Rais Magufuli bado ana machungu kwa sababu Rais Uhuru alifuata maagizo ya wanasayansi kuhusu njia za kudhibiti Corona ikiwemo kupima madereva wa Tanzania waliokuwa wanaleta Corona huku.

Rais Magufuli naye akaamua kufutilia mbali urafiki na Kenya kama vile alifutilia mbali upinzani au kama vile alifutilia mbali Corona kwa maombi pekee.
Alifanya vizuri kutokuhudhuria, na yeye angekuwa sehemu ya mchakato kupata madaraka kupitia wizi wa kura.
 
Duh! Hivi Tanzania mlikosea wapi, naona kwa dunia yote na Afrika, ni marais wa nchi mbili tu waliohudhuria, Uganda na Zimbabwe, yaani hata huko SADC yote waliwakwepa.

Yaani mlishaangukia pua kidiplomasia, japo huwa hamtaki kuambiwa. Hivi hivi ndivyo mlikwepwa kwenye mazishi ya Mkapa.
It's not easy to get popular support where your victory is through fraudulent ways.
 
JPM amempiga 3 bila so hana hamu naye, hasa akikumbuka SGR, HOSPITALS, AIRPORTS, PIPELINE, FREE EDUCATION, BRT, HIGH CLASS FLYOVERS, AGRICULTURE, INDUSTRIAL REVOLUTION, HAHAHAAA.
Industrial revolution! Wewe itakuwa si mzima.
 
Back
Top Bottom