Sasa mbona hili takataka lenu linalialia huko mitandaoni hovyo na kumtishia maisha balozi wa watu?
Hivi ninyi mnafikiri kuna kiongozi dunia hii ataacha kuongea na Magufuli aje pale kwenye zile mbavu za mbwa ufipa jalalani kumtafuta mbowe? 😅😅😅
You no body saivi, mlikua mnadeserve kidogo kipindi cha campaign, saivi ni proved failures typically
Nadhani umechanganya madesa.
Huu uzi subject na contents zake hata ume mind kuzielewa?
Wapi pana neno balozi? Kwenye uzi huu?
Mbona mnajidhalilisha bila sababu jombi?
Kama unataka kujadili kuhusu mabalozi anzisha uzi wako wenye mada hiyo.
Ukiwa na mashiko tutachangia.
But so far to tell you the truth you keep on writing out of point and very typical utopolo!