Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

Yajayo, yanafurahisha.
 
Waulize tume ya uchaguzi, wanadhani Chadema wamo.
 
Ni Kuchanganyikiwa au ni Upumbavu wa Waandaaji? Acheni kuwa Wanafiki tafadhali Upuuzi huu haukupaswa Kufanyika kwa Watu kutoka Ikulu na Wanaosaidiwa vyema Kiuratibu na Idara zetu Kuu ( Nyeti ) mbili za Ulinzi na Usalama.
kwn usalama na unyeti ndo makosa hayatokei..?
 
Mapungufu ya kawaida ya kibiadamu hayo hasa ktk jambo kubwa kama hili,unaweza msalimia asikusikie tumvumilie mama
Hata imani yake ya kidini pia haimtumi hivyo. Kiislam, hivi leo Magu angeshakuwa udongoni. ..

Anayekosea sio mama bali watendaji. MATAGA wamwache mama afanye kazi, wasianze kumwona anakosea.... aftaroo sio kazi ya Rais kusimamia misiba...
 
Mi nimeshangaa pia. Miili ya Nyerere na Mkapa haikupelekwa Zenji kuagwa. Na kuna sababu yoyote maalum ya kuaga miili?

Basi upelekwe Moshi pia wachaga wauage...
Na Mimi All - Rounder naomba uletwe hapa nchini Herzegovina nilipo Siku nyingi sana Kimakazi ( Kimaisha ) nami niuage peke yangu ndipo muupeleke huko Kwao Chato Mkoani Geita kwa Maziko.
 
Tupe kwanza iyo ratiba alaf nitakuja kukujibu kwanini imeenda dodoma then zanzibar
 
Izo mbona zinatokea tu mzee kwani wewe kusahau kwako ni baba mkwe
 
Yaan upungufu wa ratiba za mazishi ndio uone kuwa RAIS ana mapungufu makubwa? Mbona NYERERE HATA HUKO ZANZIBAR hakupelekwa. TUMSIFIE KIDOGO KWA UJASIRI HUO.
Yani wa bongo wana mihemko sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…