Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Picha mnato, tbt itakuja wafariji wajukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama wewe unajua ?Mh? Kama jaji anatoa maamuzi ya haki si ndio atakuwa mfano wa kuiga. Au hata neno precedence hujui?
Hivi kwa nini watoto wa MWALIM huwa mnawakandia Sana ,akuna binadam asiekua na mapungufu, ila nafikili uwa mwawakandia kimkakati ili familia ya MWALIM isipate kiongozi mkubwa wa kitaifa.Daaah huyu comedian
Kaa kimya we mwanasheria uchwara.Sidhani kama wewe unajua ?
Google Kwanza nini maana ya Precedence.
Wewe unayejua umetoa somo gani kuwaelimisha wasiojua? Wewe usiye shabiki nini Cha maana au tofauti umeandika? Au Ni majivuno tu ya ujuaji wakati HUNA ujualo! Kosoa halafu onyesha njia!Sasa sio kushabikia tu hata Bila kujua maana ya mambo.wakati mwingine kujidai wajuaji Sana kuna shida zake.
Kasimamia ukucha🤣🤣🤣 Amesimamia kidole gumba!
Ndugu This is toa maoni yako na sii kukasirika kwa kuambiwa ukweliWewe unayejua umetoa somo gani kuwaelimisha wasiojua? Wewe usiye shabiki nini Cha maana au tofauti umeandika? Au Ni majivuno tu ya ujuaji wakati HUNA ujualo! Kosoa halafu onyesha njia!
Umekosoa kwamba hawajui,Je,umewaelimisha? Ndiyo tatizo liko hapo,kukosoa bila kuonyesha njia nafuu kukaa kimya.Ndugu This is toa maoni yako na sii kukasirika kwa kuambiwa ukweli
Askari wa zamani huyo....
Inakua kama umelewa pia alcohol text ni nini?Hivi pale Ikulu,hawana alcohol text?? Nina Imani kabisa,kama wangeweka hicho kifaa,asingekula kiapo kabisa huyu Mwamba! Hapo alikua kelolo hatari! Uncle Mako! Pale kwao Msasani ana geto lake upande wa kushoto ukiwa unaingia pale kwao!
Ujumbe wa pombeInakua kama umelewa pia alcohol text ni nini?
What is gonzo you kidampaGongo hizo.