Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa mbona anajifanyaga chizi au mi ndio huwa simuelewiLuten General mstaafu huyo.
Wajeda ndo zao hizo.Sa mbona anajifanyaga chizi au mi ndio huwa simuelewi
Haha jamaa kasimamia kucha aisee,
Ila wife wake alikua Judge mzuri sana,
Ilibakia kidogo tu apige sarakasi kabisa.
Wangemwekea kile kidude chakupimia alcohol
Ndio nadhani ilikua 2019 kama sikosei,Kwani Jaji Aisha Nyerere kaisha staff?
Unamanisha nn ukisema Ni alikuwa mzuri je kwa sura au kutenda haki nakusamehe waahalifuHaha jamaa kasimamia kucha aisee,
Ila wife wake alikua Judge mzuri sana,
Ilibakia kidogo tu apige sarakasi kabisa.
Kutenda haki sana sana kwa wafanyakazi walioachishwa kazi na waajiri wao kimakosa.Unamanisha nn ukisema Ni alikuwa mzuri je kwa sura au kutenda haki nakusamehe waahalifu
Mzuri kivipi? Weke precedence hata moja inayompa heshima kuwa jaji mzuri.Ndio nadhani ilikua 2019 kama sikosei,
Alikua jaji mzuri sana pale Labour Court.
Mwanajeshi huyo!
Usikariri kuwa jaji Mzuri sio kuacha precedence ni kutoa maamuzi yenye haki, alikua akifanya hivyo Kwa waajiriwa ndio maana walimwamini kuwa In charge pale.Mzuri kivipi? Weke precedence hata moja inayompa heshima kuwa jaji mzuri.
Mh? Kama jaji anatoa maamuzi ya haki si ndio atakuwa mfano wa kuiga. Au hata neno precedence hujui?Usikariri kuwa jaji Mzuri sio kuacha precedence ni kutoa maamuzi yenye haki, alikua akifanya hivyo Kwa waajiriwa ndio maana walimwamini kuwa In charge pale.