Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

Haha jamaa kasimamia kucha aisee,

Ila wife wake alikua Judge mzuri sana,

Ilibakia kidogo tu apige sarakasi kabisa.
Unamanisha nn ukisema Ni alikuwa mzuri je kwa sura au kutenda haki nakusamehe waahalifu
 
Unamanisha nn ukisema Ni alikuwa mzuri je kwa sura au kutenda haki nakusamehe waahalifu
Kutenda haki sana sana kwa wafanyakazi walioachishwa kazi na waajiri wao kimakosa.
 
Kumbe Ni mlevi ndio makamu wa rais alikuwa anamuonga
 
Mzuri kivipi? Weke precedence hata moja inayompa heshima kuwa jaji mzuri.
Usikariri kuwa jaji Mzuri sio kuacha precedence ni kutoa maamuzi yenye haki, alikua akifanya hivyo Kwa waajiriwa ndio maana walimwamini kuwa In charge pale.
 
Usikariri kuwa jaji Mzuri sio kuacha precedence ni kutoa maamuzi yenye haki, alikua akifanya hivyo Kwa waajiriwa ndio maana walimwamini kuwa In charge pale.
Mh? Kama jaji anatoa maamuzi ya haki si ndio atakuwa mfano wa kuiga. Au hata neno precedence hujui?
 
Back
Top Bottom