KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Jmn mtatuua
Mbona kpnd cha JK ilikua fair sana
Mbona kpnd cha JK ilikua fair sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulipolitumia hilo neno pale haikuwa sahihi; kwa hiyo wewe ndio usiyejua matumizi ya neno hilo.Mh? Kama jaji anatoa maamuzi ya haki si ndio atakuwa mfano wa kuiga. Au hata neno precedence hujui?
Riz 1 anakusikia kwa pembeni.Hamjui kuwa Makongoro ni askari Jeshi? Kapigana vita ya Kagera huyu sio sawa na haya makinda yanalelewa kama mayai hata ubunge yanapata kwa nguvu za baba zao!!
Yuko dakika mbili mbele!
Kastaafu mwaka hani ikiwa sasa ana umri wa miaka 62?Ni captain mstaafu wa JWTZ
Kwani haki ipo kwa waajiriwa tuu?Mh? Kama jaji anatoa maamuzi ya haki si ndio atakuwa mfano wa kuiga. Au hata neno precedence hujui?
Siyo unafiki. Hiyo ndiyo mbadala wa saluti kama mhusika anayetoa heshima hiyo hajavaa sare ya jeshi. Makongoro ni ofisa mstaafu wa JWTZ katika cheo cha Captain.Duuuh wabongo kwa unafiki hawajambo aise
Sawa tumeelewa
Rais nae akikatiza mbele ya IGP na CDF huwa anakunja ngumi na kunyoosha mikono kama alivyokuwa anafanya hayati JPM. Wale makamanda wanamtazama kiaina, nadhani kimoyomoyo watakuwa wanacheka sana.Kwa msiojua hiyo ni aina ya salute yani unainuka kidogo unasimamia vidole. Mimi niliijua kipindi nikiwa scout.
Kitu gani cha kuchekesha hapo? Acha unafikiRais nae akikatiza mbele ya IGP na CDF huwa anakunja ngumi na kunyoosha mikono kama alivyokuwa anafanya hayati JPM. Wale makamanda wanamtazama kiaina, nadhani kimoyomoyo watakuwa wanacheka sana.
ztakuwa ni text zenye kileviInakua kama umelewa pia alcohol text ni nini?
Wa kunielewa watakuwa wamenielewa.Kitu gani cha kuchekesha hapo? Acha unafiki
Ukimwekea mbawa si anaruka Kama spider manHaha jamaa kasimamia kucha aisee,
Ila wife wake alikua Judge mzuri sana,
Ilibakia kidogo tu apige sarakasi kabisa.