Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hilo nalo limawezekana piaAu wewe ndiyo chizi[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo limawezekana piaAu wewe ndiyo chizi[emoji16]
Nyelele kadanganya wengi sana huo unausema ni uongo angeshakufaUko sahihii mkuu Tena baba yake aliwaambia wampange msitari wa mbele
MatakoKuna kimoja pia lazima ubane na hujakizungumzia mkuu[emoji41][emoji41]
Kwahiyo sisi tuliopokelewa na Makongoro keshini mwanzoni mwa miaka ya 90s alitudanhanyaNyelele kadanganya wengi sana huo unausema ni uongo angeshakufa
Mitoto ya kufikia.captain wa mavi
SijakuelewaMitoto ya kufikia.
nyumba ndogo ya baba. Ndo km hivi
Sababu tu Baba aliwagharamia watoto wakubwa sana na wanajulikana.
Mitoto hii huwaga ina roho za kutu.chuki.uchawi uchawi na visasi sanaaaa!hairidhiki.
Ukiangalia sababu kubwa Mama yao aliachwa na Baba.
nyumba kubwa wakasomea Mikoani kwa kupanda ndege kila likizo.
Nasema na badoo kaka Mako piga kazi mpaka wafeeererr!!! Kwa kinyongo!!!.
Kwamba mwanae alikuwa frontlineKwahiyo sisi tuliopokelewa na Makongoro keshini mwanzoni mwa miaka ya 90s alitudanhanya
Nini maana ya kupiga saluti? Au mpaka mtu atumie viganja ndiyo ijulikane kuwa ni saluti? Makongoro alipiga sauti. Saluti maana yake ni salaam na alichofanya Makongoro alisalimia kijeshi. Hiyo ni saluti. Unless kama mimi nimesahau maana ni siku nyingi sana zimepitaHakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
Mhuuu ya kweli haya? Au mdogo wake? aliekuwa pilot?Makongoro ni mwanajeshi wa akiba.
Alipigana vita vya Kagera!
Aliyekuwa pilot wa jeshi alikuwa anaitwa JohnMhuuu ya kweli haya? Au mdogo wake? aliekuwa pilot?
Wote wawili ni wanajeshi! sema mwenzie alishafariki.Mhuuu ya kweli haya? Au mdogo wake? aliekuwa pilot?
Yeep ukiwa kiraia unatakiwa kubana mikono kikakamavu na kuinua visigino vyote km ishara ya salamu ya heshima kijeshiHakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
Hakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
Hahahahaha, hivi mkuu salute ni nini kwa kiswahili sanifu??[emoji13][emoji13][emoji3][emoji3]yess!! wewe umeenda shule kiukweli mleta mada ni mtoto hata salute hajui.
Tuna kazi kubwa mbili
1. Tumfundishe maana ya salute..
Kivipi na kwa nini...wapi...nani..lini..
2 Maana ya kitendo alicho fanya Makongoro!! sasa hii ni kz kum-elimisha mtu km huyu.ndo hasara za utoro drsani na kukacha waalimu!!
Hivi na polisi nao wanatumia salamu hio?Yeep ukiwa kiraia unatakiwa kubana mikono kikakamavu na kuinua visigino vyote km ishara ya salamu ya heshima kijeshi
Heshima kwa Mkuu wa kazi.Hahahahaha, hivi mkuu salute ni nini kwa kiswahili sanifu??[emoji13][emoji13][emoji3][emoji3]
Colonel jakaya mrisho kikwete.Narudi kukwambia JK aliondoka Jeshini akiwa Lieutenant Colonel
Kinana ndio alikuwa Colonel
😂 😂 😂 😂 😂 😂Majungu hayo
Aliacha jeshi akiwa na cheo cha kapteni na alishiriki Vita ya Kagera.Makongoro ni mwanajeshi wa akiba.
Alipigana vita vya Kagera!
I really like listening to him.Nadhani alimaanisha anapenda wanawake akiwemo Rais Samia.
Sema Makongoro ni muongeaji sana kwahiyo maelezo yake yalikuwa marefu, hayakufika mwisho.
Makongoro ni mtu wa comedy sana.