Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Abood hakufanya siasa kwenye afya za watu. Ametekeleza wajibu wake kwa wananchi waliomchagua.Abood kafanya siasa kwenye Afya za ng’ombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abood hakufanya siasa kwenye afya za watu. Ametekeleza wajibu wake kwa wananchi waliomchagua.Abood kafanya siasa kwenye Afya za ng’ombe?
View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Andiko duni sana !Minja katekeleza wajibu upi? Amechaguliwa na nani Morogoro?
Abood alitoa msaada wake kupitia mamlaka. Minja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu hamtapata kitu kudadeki ! twishagundua kwamba mnakula misaada , tutawapelekea walengwa tu .Kufuata sheria bila shuruti ni shida kwa wengi hapa nchini. Kuna wadau wenye mamilioni kama siyo mabilioni wametoa msaada kwa kupitia channels zinazohusika. Sasa wengine ili wapate KIKI wanajifanya kufanya yao. Acha wauone mkono wa sheria..
HakikaCcm wacheni kuingiza udwanzi kwenye mambo ya msingi
Roho zenu mbaya zitajibiwa hapahapa duniani
Wakati Mangula analishwa sumu kwenye vikao vya ccm alipelekewa barakoa za Chadema ?Kama waliopulizia dawa jijini Dar wanachunguzwa hawawezi kuachwa wagawa barakoa wagawe hovyo. Tusijesikia kesho watu Waliambukizwa kwa njia ya barakoa Za wanasiasa.
Wapelekewe wahusika wazigawe kadiri inavyofaa kuondoa Lawama mbeleni. Kikubwa nikutoa msaada, niliona wadau kadhaa wamekabidhi msaada kwa wahusika na wahusika ndio wanaogawa kadiri ya mahitaji. Shida ya wanasiasa Kwenye kila Kitu wanatafuta kiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM NAO WATATENGENEZA ZAO WAZIGAWE NCHI NZIMAView attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
kuna wasiwasi kwamba wanagawa za AlibabaCCM NAO WATATENGENEZA ZAO WAZIGAWE NCHI NZIMA
Wapuuzi sana hawa jamaa, ugonjwa washaufanya fursa ya kisiasakuna wasiwasi kwamba wanagawa za Alibaba
Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Mabingwa wa kula rambirambi na misaada wamekaukiwa hoja. Mvuto huletwa na imani ya wananchi ambayo hujengwa juu ya haki sio na Polisi wala vitisho.Mtahangaika sana.Kufuata sheria bila shuruti ni shida kwa wengi hapa nchini. Kuna wadau wenye mamilioni kama siyo mabilioni wametoa msaada kwa kupitia channels zinazohusika. Sasa wengine ili wapate KIKI wanajifanya kufanya yao. Acha wauone mkono wa sheria..
Ndio wale wanaounga miguu juhudiMbunge wa Chadema anayeogopa Selo ni bora ajiuzulu tu
Mimi huwa naona akili za aina hii ni za kipumbavu sana kuanzia anaye kataza kugawa barakoa hadi wanao muunga mkono maana wao hawajali watu wanajali siasa ni WAPUMBAVU Akwa herufi kubwa.Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Mambo ya kisiasa yanashughulikiwa kisiasa ...abood hakuandika jina la kampuni kwenye barakoa... So hapati faida kisiasaMbona Abood anagawa barakowa & sanitaiza na hakamatwi? Huu uonevu utaisha lini? Hawa Ccm bila msaada wa polisi ni wepesi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app