Kwanini RC wa Morogoro anang'ang'ania kupewa Barakoa za Devota Minja ili azigawe yeye?

Kwanini RC wa Morogoro anang'ang'ania kupewa Barakoa za Devota Minja ili azigawe yeye?

Sioni tofauti ya Chadema na CCM kimatendo na kimikakati.
Wote ni wapenda madaraka na umaarufu na kuweka mbele maslahi binafsi.

Chadema mpaka sasa hakijainyesha utofauti na CCM katika kuwaunganisha watanzania bila kujali itikadi zao.

Hivi Devota Minja angepungukiwa na nini kama angemkabidhi Mkuu wa Mkoa Barakoa hizo akiwa na waandishi wa habari ,tena kwa kumwambia azigawe mkoani humo bila kujali itikadi za kisiasa?

Ni lazima mgao kama huo upitie serikalini mana serikali ndiyo kiunganishi kati ya wananchi na wizara ya afya katika kudhibiti magonjwa.
Lakini pia ingewezekana kabisa kumshirikisha hata kiongozi wa CCM mkoa ili washirikiane kuzigawa . Hii ingetupa ladha mpya ya siasa za kizalendo na kistarabu lakini zenye kujali Taifa kuliko vyama vyetu na madaraka yetu.

Chadema fanyeni siasa tofauti na za CCM ili tuone sababu ya kuwachagua .
Kwa sasa hakuna tofauti kati ya CCM na Chadema. Wote wanalipa visasi ,wote wanajenga chuki za kisiasa na mfarakano baina ya vyama.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa na yeye kwa nini aweke jina lake kwenye hizo barakoa??
Lengo la kuandika jina lake nadhani ili kupata recognition na kudhibiti zisiuzwe. Kwenye hilo amefanya poa tu japo kisiasa pia inamsaidia.
 
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Hakuna kitu ambacho sikipend kama kutoa msaada na kujianika...........!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.

Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.

Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.

Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Una akili timamu wewe?? Ulimsikiliza mwenyekiti wako wa ccm Taifa akiwqhutubia wakuu wa vyombo vya dola?? Alisema Ni Bora watanzania wajishonee barakoa zao kuliko hizo unazozitaka wewe, acha roho ya kike ya wivu au wewe ni wema sepenga Nini?😜
 
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Kwa hiyo wewe ni mfuatiliaji mbishi! Alafu kama mkuu wa mkoa anataka kuzuia ugawaji ambao hauzingatii social distancing? Kuna tatizo gani? Sababu wewe ni mbishi basi muda wote ni kubisha tu!
 
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .

Ukileta jambo wewe mwandishi usichague upande kuipa habari yako iwe na nguvu, Sisi wasomaji tuone nani mwenye makosa hapo
 
Ila Devotha nae ndion
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Ila Devotha naye ndio nini kuzichorachora hizo barakoa kwa jina lake? Kwani angegawa ambazo hazina jina ingekuwaje? Siasa hizi, msaada na matangazo meeeengi!
 
Kwani yamekuwa ni mashindano?? Mimi naona wote hao ni wapuuzi, huyo Mbunge pamoja na Mkuu wa mkoa..
 
Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.

Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.

Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.

Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Shida ya Chadema huu ugonjwa wanaufanyia siasa. Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu..

Rostam ametoa mabilioni na vifaa kinga alikabidhi Mamlaka, kwani alishindwa kusimama Mnazi Mmoja au Ofisini kwake akawa anagawa barakoa??

Huyo Mbunge ni mpuuzi na hata huyo Mkuu wa Mkoa nae mpuuzi..
 
Tatizo hili swala la Corona linachukuliwa kisiasa sana yaani mimi inafikia muda siamini kabisa wanasiasa hii inawahusu CCM, CHADEMA na wengine
Hivi hizi barakoa usipo print jina lako zinapungukiwa na nini hichi kitu kina kera sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu wanasiasa wote ni wapuuzi na wajinga tu, sio CCM, CDM, CUF, ACT wote ni wabinafsi na wachoyo. Hata wanaopiga kelele za siasa humu kila siku nao wapuuzi hawana kazi za kufanya..

Mtu unashangaa kila ukiingia humu wanaoanzisha mada ni wale wale na ligi zao ni zile zile. Watu wa ovyo ovyo sana wajinga wajinga wengine ndio hao wanajiita sijui minyoo wengine bia yetu wote ni malofa tu..
 
Halafu
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Halafu ukizingatia alikuwa ni mwenyekiti wa mkoa chama cha kijani na njano kabla ya uteuzi .
 
Back
Top Bottom