Kwanini RC wa Morogoro anang'ang'ania kupewa Barakoa za Devota Minja ili azigawe yeye?

Kwanini RC wa Morogoro anang'ang'ania kupewa Barakoa za Devota Minja ili azigawe yeye?

Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.

Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.

Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.

Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Kama mheshimiwa anavyoua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.

Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.

Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.

Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Akili kama hizi ndizo zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu!!!!
 
View attachment 1431642

Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?

Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .

Wanatafuta kusema barakoa zilikuwa na maambukizi ya corona baada ya uchunguzi.
 
Kama waliopulizia dawa jijini Dar wanachunguzwa hawawezi kuachwa wagawa barakoa wagawe hovyo. Tusijesikia kesho watu Waliambukizwa kwa njia ya barakoa Za wanasiasa.
Wapelekewe wahusika wazigawe kadiri inavyofaa kuondoa Lawama mbeleni. Kikubwa nikutoa msaada, niliona wadau kadhaa wamekabidhi msaada kwa wahusika na wahusika ndio wanaogawa kadiri ya mahitaji. Shida ya wanasiasa Kwenye kila Kitu wanatafuta kiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Abood kagawa mwenyewe ingawa kuzuga kushirikiana na CCM kizushi waliopuliza dawa Dsm wachunguzwe nini wakati kila kitu kipo wazi acheni kupoteza pesa kumchunguza Daud Bashite wakati mnajua hamuwezi kumfanya chochote
 
Wanatafuta kusema barakoa zilikuwa na maambukizi ya corona baada ya uchunguzi.
Uchunguzi wa CCM kwa kitu cha chadema hauwezi kuwa uchunguzi wa haki hata siku moja lazima watawabambikia chochote waonekane wanagawa vitu feki
 
Kwani yamekuwa ni mashindano?? Mimi naona wote hao ni wapuuzi, huyo Mbunge pamoja na Mkuu wa mkoa..
Usimuonee mbunge ujue mbunge kaenda kwa nia njema lakini RC kajimwambafy kishamba, wewe peleka lawama zako kwa RC acha kumuonea mbunge
 
RC ndio yupo responsible zaidi na lolote just incase likitokea katika hizo barakoa hatukatai msaaada ni jambo zuri ila kama inteligency ya RC imemjuza kuwa zinahitaji kuchunguzwa n Kupata approve basi ndugu Minja (MB) akubali tu kama kweli nia yake nikufikia wananchi bila kutafuta cheap political popularity mana kwanza mi sijaona sababu ya izo barakoa kuwa named jina la MB, Ulinzi na usalama wa Taifa ni wa kwetu sote ila kwa inshu kama hio maamlaka tunazo wacha zitupe approve ya izo barakoa kabla hazitajatufikia sisi end users (consumers)
 
RC ndio yupo responsible zaidi na lolote just incase likitokea katika hizo barakoa hatukatai msaaada ni jambo zuri ila kama inteligency ya RC imemjuza kuwa zinahitaji kuchunguzwa n Kupata approve basi ndugu Minja (MB) akubali tu kama kweli nia yake nikufikia wananchi bila kutafuta cheap political popularity mana kwanza mi sijaona sababu ya izo barakoa kuwa named jina la MB, Ulinzi na usalama wa Taifa ni wa kwetu sote ila kwa inshu kama hio maamlaka tunazo wacha zitupe approve ya izo barakoa kabla hazitajatufikia sisi end users (consumers)
Toeni kauli kwamba ni marufuku mbunge wa chadema kugawa barakoa , msilete vijiporojo visivyo na maana
 
RC ndio yupo responsible zaidi na lolote just incase likitokea katika hizo barakoa hatukatai msaaada ni jambo zuri ila kama inteligency ya RC imemjuza kuwa zinahitaji kuchunguzwa n Kupata approve basi ndugu Minja (MB) akubali tu kama kweli nia yake nikufikia wananchi bila kutafuta cheap political popularity mana kwanza mi sijaona sababu ya izo barakoa kuwa named jina la MB, Ulinzi na usalama wa Taifa ni wa kwetu sote ila kwa inshu kama hio maamlaka tunazo wacha zitupe approve ya izo barakoa kabla hazitajatufikia sisi end users (consumers)
CCM hawawezi kuchunguza kitu cha chadema kisha waseme ni kizuri hujaona sababu ya barakoa kuwa na jina mbona za Abood na pia zile za Rostam Aziz zina majina yao? Ulinzi wa taifa ni kwetu sote Mbona barakoa za Abood hazikuchunguzwa? Mbona mliachia ndege toka china zikamimina wagonjwa wakati kenya uganda Rwanda walikuwa tayari wamezuia ndege?
 
Back
Top Bottom