Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
Mambo ya kisiasa yanashughulikiwa kisiasa ...abood hakuandika jina la kampuni kwenye barakoa... So hapati faida kisiasaMbona Abood anagawa barakowa & sanitaiza na hakamatwi? Huu uonevu utaisha lini? Hawa Ccm bila msaada wa polisi ni wepesi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uduni wake uko wapi kaka/dada? Devotha si amechaguliwa na Mbowe au.Andiko duni sana !
Lengo la kuandika jina lake nadhani ili kupata recognition na kudhibiti zisiuzwe. Kwenye hilo amefanya poa tu japo kisiasa pia inamsaidia.Sasa na yeye kwa nini aweke jina lake kwenye hizo barakoa??
Hakuna kitu ambacho sikipend kama kutoa msaada na kujianika...........!!!View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Una akili timamu wewe?? Ulimsikiliza mwenyekiti wako wa ccm Taifa akiwqhutubia wakuu wa vyombo vya dola?? Alisema Ni Bora watanzania wajishonee barakoa zao kuliko hizo unazozitaka wewe, acha roho ya kike ya wivu au wewe ni wema sepenga Nini?😜Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.
Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.
Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.
Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Tulishasema Devotha hakujua hata kama anapigwa picha , yeye alitoa tu ila sisi viherehere ndio tulioguswa na msaada wake tukauanikaHakuna kitu ambacho sikipend kama kutoa msaada na kujianika...........!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe ni mfuatiliaji mbishi! Alafu kama mkuu wa mkoa anataka kuzuia ugawaji ambao hauzingatii social distancing? Kuna tatizo gani? Sababu wewe ni mbishi basi muda wote ni kubisha tu!View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Acha ufala Wabunge wa CHADEMA wanaoogopa selo walishaunga juhudi kitamboHuyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Ila Devotha naye ndio nini kuzichorachora hizo barakoa kwa jina lake? Kwani angegawa ambazo hazina jina ingekuwaje? Siasa hizi, msaada na matangazo meeeengi!View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Shida ya Chadema huu ugonjwa wanaufanyia siasa. Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu..Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.
Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.
Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.
Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Mkuu wanasiasa wote ni wapuuzi na wajinga tu, sio CCM, CDM, CUF, ACT wote ni wabinafsi na wachoyo. Hata wanaopiga kelele za siasa humu kila siku nao wapuuzi hawana kazi za kufanya..Tatizo hili swala la Corona linachukuliwa kisiasa sana yaani mimi inafikia muda siamini kabisa wanasiasa hii inawahusu CCM, CHADEMA na wengine
Hivi hizi barakoa usipo print jina lako zinapungukiwa na nini hichi kitu kina kera sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona Lema alijipeleka jela acha woga wako.Kwani jela ni Nini ?Hakuna anayependa selo acha Siasa za maji taka
Siyo selo tu, hata risasi pigeni mashetani nyieHuyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
CHADEMA tunapenda sana selo na nyie mnapenda sana anasaHakuna anayependa selo acha Siasa za maji taka
Halafu ukizingatia alikuwa ni mwenyekiti wa mkoa chama cha kijani na njano kabla ya uteuzi .View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .