nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kwanini asichukue za abood akang'ang'nie za Devota, na kwanini asikamatwe abood pia!!!?Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Kwa maana hiyo abood amemvunjia heshima mkuu wa mkoa?Kila mahali kuna uraratibu wake,lazima RC aheshimiwe.
Kama mheshimiwa anavyoua?Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.
Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.
Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.
Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
Kwanini Abood aligawa yale masufuria na ndoo hakumpa huyo mkuu wa mkoa ? Ccm mnahangaika sana Barakoa tu zinawapotezea muda?Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Huyo ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa
Huyo minja akileta janja anaenda selo
Akili kama hizi ndizo zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu!!!!Devotha aache siasa kwenye jambo serious kama hili. Afya za watu ni issue sensitive sana.
Mkuu wa Mkoa akichukua asizigawe tu kiholela, akahakikishe zinakaguliwa tena kama hazifai zichomwe moto.
Abood hakuwa mjinga kukabidhi ambulance, ndoo za maji na sanitizers kwa mamlaka.
Mtaua watu kwa tamaa zenu za madaraka aisee!
View attachment 1431642
Taarifa kutoka Morogoro zinadokeza kwamba Mbunge wa Chadema Mh Devota Minja amekamatwa na jeshi la polisi kwa Amri haramu ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , kwa kosa la kufuata muongozo wa kuzuia Corona wa shirika la Afya la dunia ( WHO ) na kugawa Barakoa bora kabisa za viwango vya N 95 kwa Wakazi wa Morogoro ili kuwakinga na maambukizi ya virusi hivyo hatari .
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Mh Mbunge ametakiwa kusalimisha Baracoa zake kwa RC huyo ili ofisi ya RC izigawe kwa wananchi , sasa sisi wafuatiliaji wabishi tumejiuliza kisa cha RC kung'angania barakoa za Mh Mbunge ili azigawe yeye , kwanini Ofisi ya Mkoa isitafute barakoa zake na kuzigawa badala ya kutaka kuchukulia kiki kwenye barakoa za mbunge wa Chadema ?
Bali kinachofahamika ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kabla ya kuteuliwa kuwa RC alikuwa Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha .
Abood kagawa mwenyewe ingawa kuzuga kushirikiana na CCM kizushi waliopuliza dawa Dsm wachunguzwe nini wakati kila kitu kipo wazi acheni kupoteza pesa kumchunguza Daud Bashite wakati mnajua hamuwezi kumfanya chochoteKama waliopulizia dawa jijini Dar wanachunguzwa hawawezi kuachwa wagawa barakoa wagawe hovyo. Tusijesikia kesho watu Waliambukizwa kwa njia ya barakoa Za wanasiasa.
Wapelekewe wahusika wazigawe kadiri inavyofaa kuondoa Lawama mbeleni. Kikubwa nikutoa msaada, niliona wadau kadhaa wamekabidhi msaada kwa wahusika na wahusika ndio wanaogawa kadiri ya mahitaji. Shida ya wanasiasa Kwenye kila Kitu wanatafuta kiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchunguzi wa CCM kwa kitu cha chadema hauwezi kuwa uchunguzi wa haki hata siku moja lazima watawabambikia chochote waonekane wanagawa vitu fekiWanatafuta kusema barakoa zilikuwa na maambukizi ya corona baada ya uchunguzi.
Hata mama Rwakatare kafa kwa barakoa za chadema?Wakati Mangula analishwa sumu kwenye vikao vya ccm alipelekewa barakoa za Chadema ?
Usimuonee mbunge ujue mbunge kaenda kwa nia njema lakini RC kajimwambafy kishamba, wewe peleka lawama zako kwa RC acha kumuonea mbungeKwani yamekuwa ni mashindano?? Mimi naona wote hao ni wapuuzi, huyo Mbunge pamoja na Mkuu wa mkoa..
Naunga mkono hoja yakoMmasai kiongozi alikuwa Sokoine tu wengine wanachoweza ni Kuongoza Ngombe peke yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Toeni kauli kwamba ni marufuku mbunge wa chadema kugawa barakoa , msilete vijiporojo visivyo na maanaRC ndio yupo responsible zaidi na lolote just incase likitokea katika hizo barakoa hatukatai msaaada ni jambo zuri ila kama inteligency ya RC imemjuza kuwa zinahitaji kuchunguzwa n Kupata approve basi ndugu Minja (MB) akubali tu kama kweli nia yake nikufikia wananchi bila kutafuta cheap political popularity mana kwanza mi sijaona sababu ya izo barakoa kuwa named jina la MB, Ulinzi na usalama wa Taifa ni wa kwetu sote ila kwa inshu kama hio maamlaka tunazo wacha zitupe approve ya izo barakoa kabla hazitajatufikia sisi end users (consumers)
Tena hao wamasai wanavizazabina kama paka la mababaka la mjumbe wa fisiemu rejea kwa mtu kama Lengaya ole sabayaRC wa Moro sidhani anaroho ya kimasikini Mmasai yule.Japo kuwa cccm sijui kwanini inapelekea mtu kuwa na maamuzi ya ajabu nyakati fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM hawawezi kuchunguza kitu cha chadema kisha waseme ni kizuri hujaona sababu ya barakoa kuwa na jina mbona za Abood na pia zile za Rostam Aziz zina majina yao? Ulinzi wa taifa ni kwetu sote Mbona barakoa za Abood hazikuchunguzwa? Mbona mliachia ndege toka china zikamimina wagonjwa wakati kenya uganda Rwanda walikuwa tayari wamezuia ndege?RC ndio yupo responsible zaidi na lolote just incase likitokea katika hizo barakoa hatukatai msaaada ni jambo zuri ila kama inteligency ya RC imemjuza kuwa zinahitaji kuchunguzwa n Kupata approve basi ndugu Minja (MB) akubali tu kama kweli nia yake nikufikia wananchi bila kutafuta cheap political popularity mana kwanza mi sijaona sababu ya izo barakoa kuwa named jina la MB, Ulinzi na usalama wa Taifa ni wa kwetu sote ila kwa inshu kama hio maamlaka tunazo wacha zitupe approve ya izo barakoa kabla hazitajatufikia sisi end users (consumers)
Abood ana akili unafikiri kama mbunge wenu huyo wa Ufipa.Abood aliomba kibali.
Wamasai huwa ni wambea sana hata wamasai walinzi huchongeana sana kiumbea kwenye sehemu za za UlinziTena hao wamasai wanavizazabina kama paka la mababaka la mjumbe wa fisiemu rejea kwa mtu kama Lengaya ole sabaya
Sent using Jamii Forums mobile app