Kwanini RC wa Morogoro anang'ang'ania kupewa Barakoa za Devota Minja ili azigawe yeye?

Abood ana akili unafikiri kama mbunge wenu huyo wa Ufipa.Abood aliomba kibali.
Ebu peleka ujinga wako huko kuomba kibali ndiyo Akili? Mbunge minja alifuata utaratibu wote lakini RC wako akataka apewe barakoa azigawe mwenyewe ndipo mbunge akaona ni ujinga mkubwa kufanya hivyo wakati Abood kagawa mwenyewe, acheni ubaguzi wa kishamba
 
CCM kwao kila jambo ni siasa, ni ujinga uliopitiliza kiwango lakini ni utamaduni wa kiafrika pia. Tazama alichofanya Mseven katika ugawaji wa vyakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…