ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kahama ni lango la wapi kama Kigoma ni Lango la Rwanda? Bora hata ungesema lango la Burundi.Dundehead Kigoma ni lango la Rwanda na kule Mwanza ni pathway ya Uganda na Sudan Kusini.
Wanaweza kuunganisha hii reli hadi nchini kwao kama TAZARA mizigo ikawa inasafirishwa kwa ufanisi
Tanzania huwa haina utaratibu wa kuachia nyaraka za siri zinapofikia umri wa kueksipaya (Declassified)
Kuna mtu mmoja kutoka serikali ya Uingereza alinisimulia kashfa kubwa ambayo ingegharimu sana reputation ya Malkia wa Uingereza. Jambo lenyewe lipo hivi.
Baada ya Vita ya Pili ya dunia, Uingereza iliongeza makoloni yake ambapo Germany East Africa walipewa Uingereza kwa sababu majeshi yao (KAR) waliwafurusha majeshi ya Ujerumani..
Serikali ya Uingereza walibuni mpango wa kutengeneza na kusambaza Ulaya siagi ya karanga. Hivyo waliweka mkakati wa kuanzisha kilimo kikubwa cha karanga kwenye makoloni yake. Tanganyika ilikuwa miongoni mwa makoloni yaliyoteuliwa kuwemo kwenye mradi huo. Maeneo ya Kongwa Dodoma na Mikindani Mtwara yaliwekwa kwenye mkakati huo. Hiki ndo chanzo cha karanga kulimwa kwa wingi Dodoma na ushoroba wa Singida.
Maafisa wasimamizi wa mradi waliletwa nchini miaka ya 1950s. Aliyenisimulia hii issue ni mtoto wa mmoja wa maafisa wa mradi huu ulioitwa GROUNDNUTS SCHEME. Walikuja na kuishi kwenye quarters za gerezani Dar. Kota hizo zilikuja kufanywa makazi ya wafanyakazi wa reli na hatimaye sehemu ya nyumba ndogondogo eneo la Kamata limevunjwa na Serikali kupisha mradi wa BRT na SGR pamoja na Bandari Kavu.
Kongwa mradi ulienda vizuri, reli ya kati iliyokuwa imejengwa na Mjerumani ilisaidia sana kupeleka pembejeo za kilimo. Ikumbukwe serikali ya Uingereza ilifanya mazungumzo na Marekani ikachukua sehemu kubwa ya vifaru vilivyotumika kwenye vita ya pili ya dunia na ikavikarabati na kugeuza matrekta. Ndo ikawa mwanzo wa trekta zenye magurudumu reli (kama ya vifaru) kuwepo.
Kwa Tanzania ofisi za Groundnuts Scheme zilikuwa eneo ambalo kwa sasa ni Ubalozi wa Zambia Dar.
Makao makuu ya Mradi yalikuwa London. Msimuliaji anasema kuwa jengo la huo mradi sasa linamilikiwa na benki ya Standard Chatterd. Na hata wamiliki hawajui whereabouts za mradi huo. M16 imehusika kwa kiasi kikubwa kulifuta jambo hili kwenye vivid history
Mradi huu upande wa Mtwara, ulipelekea hitaji la kujenga reli ya kusini na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji ikiwemo mkakati wa kuijenga na kupanua bandari ya Mtwara kwa minajili ya usafirishajiwa karanga Uingereza.
Baada ya hatua za awali za kusafisha eneo la.kilimo kufanyika Mikindani. Ikumbukwe udongo wa maeneo yote ya mradi ulipimwa kitaalam kwenye maabara na kuthibitika unafaa. Eneo hilo likageuka kuwa ardhi ngumu ghafla. Hapo awali udobfo ulikuwa wenye rutubana kitifu safi. Uingereza iliyachukua maeneo hayo bila utaratibu kwani ilikuwa ndoyo mkoloni na ikajimilikisha bila kutafiti shughuli za kibinadamu eneo hilo.
Mikindani na Tandahimba ni maeneo ambayo wakazi wa asili wa maeneo hayo wanadumisha mila za miungu ya Kiafrika (Mshana Jr), hivyo matambiko na maombi kwa miungu na mizimu yalikuwa yanafanyika kwenye mapori ya eneo hilo. Msimuliaji aliniambia kuwa kumbe wazee wa eneo hilo walifikisha ujumbe kwa wanyapara kuwa mzungu asifanye lolote eneo hilo mpaka tambiko la ruhusa ya miungu lifanyike.
Baada ya ardhi kugeuka kuwa ngumu, na hili linatokea kabla hata hawajakamilisha clearance ya shamba hilo. Na zikaanza kutokea ajali za ajabu kama vile matekta kuangukiwa na miti mikubwa, majoka kujaa eneo hilo na kadhalika. Waingereza wakaongeza funding ya mradi kwa kusegment irrigation system ili kuhakikisha ardhi inakuwa tayari kwa kilimo. Lakini haikufaidia. Zilitumia fedha nyingi sana kutoka mfuko wa Malkia. Mamilion ya Pounds yaliteketea
Wakati hayo yanatokea, pale bonde la Rufiji ilianza kulimwa pamba. Pamba ile ilikuwa bora kuliko inayolimwa kanda ya ziwa.
Waingereza walipigwa butwaa na matokeo ya kumwama kuendeleza mradi kule Mikindani. Na mpaka leo mtu anayeenda kutembelea huko atakuta scapers za matrekta na zana za kilimo walizoziacha waingereza.madubwasha hayo yapo porini ndani kabisa. Kuna mzee mmoja (Saidi Chopeka) mpaka mwaka 2008 alikuwepo eneo hilo ambaye wazazi wake walikuwa walinzi wa kambi ya shamba hilo.
Serikali ya Uingereza iliamua kuficha hii failure ili kukwepa kuiingiza familia ya Kifalme kwenye kashfa ya aibu. Na hasa baada ya uhuru walifanya makubaliano na serikali ya Tanzania kww kuipatia (malipo?) Incentives za kuhakikisha kumbukumbu ya mradi wa Mikindani inafichwa. Hivyo baadaye hata kuondolewa kwa reli ya kusini ilisemekana ni katika kuficha ama kufunika kashfa hii.
Kwa nini nayasema.haya sasa.
Mama aliyenisimulia, alinionesha evidences nyingi za kuniridhisha zikiwemo picha na hata alipokuja hapa Tanzania na familia yao yeye alikuwa na umri wa miaka 8. Alikuja kusoma baadaye sekondari ya forodhani. Alinipeleka Kurasini kuonanana Sister (bibi haswaa) aliyekuwa Headmistress wa kwanza wa shule ya Forodhani (St. Joseph) iliyokuwa chini ya kanisa Katoliki.
Aliniomba kwamba endapo itatokea akaaga dunia basi nisimulie mkasa huu kwa jamii yangu wajue namna serikali yao inavyohusika kwa sehemu kwenye kukwamisha maendeleo ya kisekta hususan kuushawishi kufa kwa reli ya kusini.
HITIMISHO
Nimetimiza wajibu
Serikali ya Chadema ndo inajenga hiyo reli?Kahama ni lango la wapi kama Kigoma ni Lango la Rwanda? Bora hata ungesema lango la Burundi.
Hivi nyie Machadema mlisoma jografia?
Mkuu achana naye huyo umri wake ni mdogo kujua yote hayo unampa makubwa sanaHujui
Hutaki kujua
Hautupi shida.
Ishi mkuu
Usilete mada kama huna ufahamu,Mimi ndio nimekuwa wa kwanza kuhoji Kwa kulinganisha Wakoloni na sisi, wewe unaweka inputs za kindezi wakati hakuna unachojua.Serikali ya Chadema ndo inajenga hiyo reli?
Kahama hawahitaji reli ili mabasi ya Esther yaendelee kuwakandamiza kwenye nauli?
Hawwkuzingatia utu wa WaafrikaKitu ambacho mpaka leo huwa nashangaa ni kuhusu Straregies yao Ya Groundnut scheme ya Huko kongwa Dc..
Sijui walipata wapi mshauri wa hicho kitu maana Kiliumiza wananchi na bado kinaumiza wananchi mpaka leo na serkari huwa imekaa kimya..
Baada ya panya kuzidi kula karanga sana mashambani Badala ya kuweka dawa wao walibalance ecosystem kwa kuweka mashambani Nyoka wa kutosha ...
walifanikiwa kwa kipindi hicho kwani nyoka walizaliana na Walikula panya hivyo mazao yao yalifanikiwa kuwa Salama....
ila walileta Janga la Nyoka Kongwa..Kongwa kuna nyoka wengi sana ambao Wameletwa Tangu kipindi hicho cha scheme...Ukienda ukasauliza wazee wa huko watakusimulia...
Usilete mada kama huna ufahamu,Mimi ndio nimekuwa wa kwanza kuhoji Kwa kulinganisha na Wakoloni na sisi wewe unaweza inputs za kindezi wakati hakuna unachojua.
Mwisho Sgr ya Kusini itajengwa Kwa Kushirikiana na private sector ndio mipango ya Serikali Kwa Sasa.
Hata hivyo hakuna haja ya kuharakisha kama Haina kitu Cha kubeba unless tuanze kuchimba chuma for exportsThis will remains on papers until death do us part
Nini?Kusini uchumi wao tu upo chini upeleke reli utasafirisha nini
Sio kwamba uchumi umefanyiwa Mambo??Kusini uchumi wao tu upo chini upeleke reli utasafirisha nini
Nadhan kubadilika kwa watawala kutoka waarabu kwenda waingereza na wajerumani inaweza ikawa chanzoSio kwamba uchumi umefanyiwa Mambo??
Si ndio hao walikuwa na sarafu yao??
Nin kiliwaengua kwenye mfumo??
Kule kuleta maendeleo ni kazi sana mkuuUchawi tu uliwaponza, uchawi na maendeleo ni vitu viwili mbalimbali kabisa, ona jinsi walivyokausha dongo la kilimo, ukumbuki almanusra wakaushe gesi wakati ule mpaka wakapigiwa magoti. 😁😁😁
Afya ya akili ina usumbufu sanaUsilete mada kama huna ufahamu,Mimi ndio nimekuwa wa kwanza kuhoji Kwa kulinganisha na Wakoloni na sisi wewe unaweza inputs za kindezi wakati hakuna unachojua.
Mwisho Sgr ya Kusini itajengwa Kwa Kushirikiana na private sector ndio mipango ya Serikali Kwa Sasa.
Unaelekea kupona kazana kuchekaAfya ya akili ina usumbufu sana
Siri imefichukaTanzania huwa haina utaratibu wa kuachia nyaraka za siri zinapofikia umri wa kueksipaya (Declassified)
Kuna mtu mmoja kutoka serikali ya Uingereza alinisimulia kashfa kubwa ambayo ingegharimu sana reputation ya Malkia wa Uingereza. Jambo lenyewe lipo hivi.
Baada ya Vita ya Pili ya dunia, Uingereza iliongeza makoloni yake ambapo Germany East Africa walipewa Uingereza kwa sababu majeshi yao (KAR) waliwafurusha majeshi ya Ujerumani..
Serikali ya Uingereza walibuni mpango wa kutengeneza na kusambaza Ulaya siagi ya karanga. Hivyo waliweka mkakati wa kuanzisha kilimo kikubwa cha karanga kwenye makoloni yake. Tanganyika ilikuwa miongoni mwa makoloni yaliyoteuliwa kuwemo kwenye mradi huo. Maeneo ya Kongwa Dodoma na Mikindani Mtwara yaliwekwa kwenye mkakati huo. Hiki ndo chanzo cha karanga kulimwa kwa wingi Dodoma na ushoroba wa Singida.
Maafisa wasimamizi wa mradi waliletwa nchini miaka ya 1950s. Aliyenisimulia hii issue ni mtoto wa mmoja wa maafisa wa mradi huu ulioitwa GROUNDNUTS SCHEME. Walikuja na kuishi kwenye quarters za gerezani Dar. Kota hizo zilikuja kufanywa makazi ya wafanyakazi wa reli na hatimaye sehemu ya nyumba ndogondogo eneo la Kamata limevunjwa na Serikali kupisha mradi wa BRT na SGR pamoja na Bandari Kavu.
Kongwa mradi ulienda vizuri, reli ya kati iliyokuwa imejengwa na Mjerumani ilisaidia sana kupeleka pembejeo za kilimo. Ikumbukwe serikali ya Uingereza ilifanya mazungumzo na Marekani ikachukua sehemu kubwa ya vifaru vilivyotumika kwenye vita ya pili ya dunia na ikavikarabati na kugeuza matrekta. Ndo ikawa mwanzo wa trekta zenye magurudumu reli (kama ya vifaru) kuwepo.
Kwa Tanzania ofisi za Groundnuts Scheme zilikuwa eneo ambalo kwa sasa ni Ubalozi wa Zambia Dar.
Makao makuu ya Mradi yalikuwa London. Msimuliaji anasema kuwa jengo la huo mradi sasa linamilikiwa na benki ya Standard Chatterd. Na hata wamiliki hawajui whereabouts za mradi huo. M16 imehusika kwa kiasi kikubwa kulifuta jambo hili kwenye vivid history
Mradi huu upande wa Mtwara, ulipelekea hitaji la kujenga reli ya kusini na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji ikiwemo mkakati wa kuijenga na kupanua bandari ya Mtwara kwa minajili ya usafirishajiwa karanga Uingereza.
Baada ya hatua za awali za kusafisha eneo la.kilimo kufanyika Mikindani. Ikumbukwe udongo wa maeneo yote ya mradi ulipimwa kitaalam kwenye maabara na kuthibitika unafaa. Eneo hilo likageuka kuwa ardhi ngumu ghafla. Hapo awali udobfo ulikuwa wenye rutubana kitifu safi. Uingereza iliyachukua maeneo hayo bila utaratibu kwani ilikuwa ndoyo mkoloni na ikajimilikisha bila kutafiti shughuli za kibinadamu eneo hilo.
Mikindani na Tandahimba ni maeneo ambayo wakazi wa asili wa maeneo hayo wanadumisha mila za miungu ya Kiafrika (Mshana Jr), hivyo matambiko na maombi kwa miungu na mizimu yalikuwa yanafanyika kwenye mapori ya eneo hilo. Msimuliaji aliniambia kuwa kumbe wazee wa eneo hilo walifikisha ujumbe kwa wanyapara kuwa mzungu asifanye lolote eneo hilo mpaka tambiko la ruhusa ya miungu lifanyike.
Baada ya ardhi kugeuka kuwa ngumu, na hili linatokea kabla hata hawajakamilisha clearance ya shamba hilo. Na zikaanza kutokea ajali za ajabu kama vile matekta kuangukiwa na miti mikubwa, majoka kujaa eneo hilo na kadhalika. Waingereza wakaongeza funding ya mradi kwa kusegment irrigation system ili kuhakikisha ardhi inakuwa tayari kwa kilimo. Lakini haikufaidia. Zilitumia fedha nyingi sana kutoka mfuko wa Malkia. Mamilion ya Pounds yaliteketea
Wakati hayo yanatokea, pale bonde la Rufiji ilianza kulimwa pamba. Pamba ile ilikuwa bora kuliko inayolimwa kanda ya ziwa.
Waingereza walipigwa butwaa na matokeo ya kumwama kuendeleza mradi kule Mikindani. Na mpaka leo mtu anayeenda kutembelea huko atakuta scapers za matrekta na zana za kilimo walizoziacha waingereza.madubwasha hayo yapo porini ndani kabisa. Kuna mzee mmoja (Saidi Chopeka) mpaka mwaka 2008 alikuwepo eneo hilo ambaye wazazi wake walikuwa walinzi wa kambi ya shamba hilo.
Serikali ya Uingereza iliamua kuficha hii failure ili kukwepa kuiingiza familia ya Kifalme kwenye kashfa ya aibu. Na hasa baada ya uhuru walifanya makubaliano na serikali ya Tanzania kww kuipatia (malipo?) Incentives za kuhakikisha kumbukumbu ya mradi wa Mikindani inafichwa. Hivyo baadaye hata kuondolewa kwa reli ya kusini ilisemekana ni katika kuficha ama kufunika kashfa hii.
Kwa nini nayasema.haya sasa.
Mama aliyenisimulia, alinionesha evidences nyingi za kuniridhisha zikiwemo picha na hata alipokuja hapa Tanzania na familia yao yeye alikuwa na umri wa miaka 8. Alikuja kusoma baadaye sekondari ya forodhani. Alinipeleka Kurasini kuonanana Sister (bibi haswaa) aliyekuwa Headmistress wa kwanza wa shule ya Forodhani (St. Joseph) iliyokuwa chini ya kanisa Katoliki.
Aliniomba kwamba endapo itatokea akaaga dunia basi nisimulie mkasa huu kwa jamii yangu wajue namna serikali yao inavyohusika kwa sehemu kwenye kukwamisha maendeleo ya kisekta hususan kuushawishi kufa kwa reli ya kusini.
HITIMISHO
Nimetimiza wajibu
Kwanini unapotosha historia kwa makusudi, ama kama ni kwa kutokujua kwanini hutaki kujifunza kwanza kabla haujaingia mitamboni?Tanzania huwa haina utaratibu wa kuachia nyaraka za siri zinapofikia umri wa kueksipaya (Declassified)
Kuna mtu mmoja kutoka serikali ya Uingereza alinisimulia kashfa kubwa ambayo ingegharimu sana reputation ya Malkia wa Uingereza. Jambo lenyewe lipo hivi.
Baada ya Vita ya Pili ya dunia, Uingereza iliongeza makoloni yake ambapo Germany East Africa walipewa Uingereza kwa sababu majeshi yao (KAR) waliwafurusha majeshi ya Ujerumani..
Serikali ya Uingereza walibuni mpango wa kutengeneza na kusambaza Ulaya siagi ya karanga. Hivyo waliweka mkakati wa kuanzisha kilimo kikubwa cha karanga kwenye makoloni yake. Tanganyika ilikuwa miongoni mwa makoloni yaliyoteuliwa kuwemo kwenye mradi huo. Maeneo ya Kongwa Dodoma na Mikindani Mtwara yaliwekwa kwenye mkakati huo. Hiki ndo chanzo cha karanga kulimwa kwa wingi Dodoma na ushoroba wa Singida.
Maafisa wasimamizi wa mradi waliletwa nchini miaka ya 1950s. Aliyenisimulia hii issue ni mtoto wa mmoja wa maafisa wa mradi huu ulioitwa GROUNDNUTS SCHEME. Walikuja na kuishi kwenye quarters za gerezani Dar. Kota hizo zilikuja kufanywa makazi ya wafanyakazi wa reli na hatimaye sehemu ya nyumba ndogondogo eneo la Kamata limevunjwa na Serikali kupisha mradi wa BRT na SGR pamoja na Bandari Kavu.
Kongwa mradi ulienda vizuri, reli ya kati iliyokuwa imejengwa na Mjerumani ilisaidia sana kupeleka pembejeo za kilimo. Ikumbukwe serikali ya Uingereza ilifanya mazungumzo na Marekani ikachukua sehemu kubwa ya vifaru vilivyotumika kwenye vita ya pili ya dunia na ikavikarabati na kugeuza matrekta. Ndo ikawa mwanzo wa trekta zenye magurudumu reli (kama ya vifaru) kuwepo.
Kwa Tanzania ofisi za Groundnuts Scheme zilikuwa eneo ambalo kwa sasa ni Ubalozi wa Zambia Dar.
Makao makuu ya Mradi yalikuwa London. Msimuliaji anasema kuwa jengo la huo mradi sasa linamilikiwa na benki ya Standard Chatterd. Na hata wamiliki hawajui whereabouts za mradi huo. M16 imehusika kwa kiasi kikubwa kulifuta jambo hili kwenye vivid history
Mradi huu upande wa Mtwara, ulipelekea hitaji la kujenga reli ya kusini na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji ikiwemo mkakati wa kuijenga na kupanua bandari ya Mtwara kwa minajili ya usafirishajiwa karanga Uingereza.
Baada ya hatua za awali za kusafisha eneo la.kilimo kufanyika Mikindani. Ikumbukwe udongo wa maeneo yote ya mradi ulipimwa kitaalam kwenye maabara na kuthibitika unafaa. Eneo hilo likageuka kuwa ardhi ngumu ghafla. Hapo awali udobfo ulikuwa wenye rutubana kitifu safi. Uingereza iliyachukua maeneo hayo bila utaratibu kwani ilikuwa ndoyo mkoloni na ikajimilikisha bila kutafiti shughuli za kibinadamu eneo hilo.
Mikindani na Tandahimba ni maeneo ambayo wakazi wa asili wa maeneo hayo wanadumisha mila za miungu ya Kiafrika (Mshana Jr), hivyo matambiko na maombi kwa miungu na mizimu yalikuwa yanafanyika kwenye mapori ya eneo hilo. Msimuliaji aliniambia kuwa kumbe wazee wa eneo hilo walifikisha ujumbe kwa wanyapara kuwa mzungu asifanye lolote eneo hilo mpaka tambiko la ruhusa ya miungu lifanyike.
Baada ya ardhi kugeuka kuwa ngumu, na hili linatokea kabla hata hawajakamilisha clearance ya shamba hilo. Na zikaanza kutokea ajali za ajabu kama vile matekta kuangukiwa na miti mikubwa, majoka kujaa eneo hilo na kadhalika. Waingereza wakaongeza funding ya mradi kwa kusegment irrigation system ili kuhakikisha ardhi inakuwa tayari kwa kilimo. Lakini haikufaidia. Zilitumia fedha nyingi sana kutoka mfuko wa Malkia. Mamilion ya Pounds yaliteketea
Wakati hayo yanatokea, pale bonde la Rufiji ilianza kulimwa pamba. Pamba ile ilikuwa bora kuliko inayolimwa kanda ya ziwa.
Waingereza walipigwa butwaa na matokeo ya kumwama kuendeleza mradi kule Mikindani. Na mpaka leo mtu anayeenda kutembelea huko atakuta scapers za matrekta na zana za kilimo walizoziacha waingereza.madubwasha hayo yapo porini ndani kabisa. Kuna mzee mmoja (Saidi Chopeka) mpaka mwaka 2008 alikuwepo eneo hilo ambaye wazazi wake walikuwa walinzi wa kambi ya shamba hilo.
Serikali ya Uingereza iliamua kuficha hii failure ili kukwepa kuiingiza familia ya Kifalme kwenye kashfa ya aibu. Na hasa baada ya uhuru walifanya makubaliano na serikali ya Tanzania kww kuipatia (malipo?) Incentives za kuhakikisha kumbukumbu ya mradi wa Mikindani inafichwa. Hivyo baadaye hata kuondolewa kwa reli ya kusini ilisemekana ni katika kuficha ama kufunika kashfa hii.
Kwa nini nayasema.haya sasa.
Mama aliyenisimulia, alinionesha evidences nyingi za kuniridhisha zikiwemo picha na hata alipokuja hapa Tanzania na familia yao yeye alikuwa na umri wa miaka 8. Alikuja kusoma baadaye sekondari ya forodhani. Alinipeleka Kurasini kuonanana Sister (bibi haswaa) aliyekuwa Headmistress wa kwanza wa shule ya Forodhani (St. Joseph) iliyokuwa chini ya kanisa Katoliki.
Aliniomba kwamba endapo itatokea akaaga dunia basi nisimulie mkasa huu kwa jamii yangu wajue namna serikali yao inavyohusika kwa sehemu kwenye kukwamisha maendeleo ya kisekta hususan kuushawishi kufa kwa reli ya kusini.
HITIMISHO
Nimetimiza wajibu
Wazungu walikuwa strategic wanapojenga miradi kama reli,nyie mnajenga Sgr kwenda Mwanza na Kigoma ikasafirishe nini? Kuna project gani kubwa za kuhitaji Sgr? Upuuzi na ukurupukaji.
Huo ujinga ulioaminishwa na Mwendazake ni scam.Hata kama una chuki binafsi na JPM,ila tumia hata akili,reli ndio usafiri wa bei rahisi,pia usafirishaji wa reli unabeba mizigo mingi sana ukiachilia ule wa meli,kuna mizigo mingi sana inaenda mikoa ya kati na kanda ya ziwa kutoka bandari ya dsm.
Wenye maono huhakikisha miundombinu ya nishati na usafrishaji inakua imara na ya uhakika ili kuwezesha nchi ipate maendeleo ya haraka.
Acha chuki za kike,jpm alikua na maono kuliko wewe mpuuzi.