jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Huo ujinga ulioaminishwa na Mwendazake ni scam.
Tazara bei ni nafuu,wanayotumia huo usafiri vs Mabasi ni wangapi? Hakuna mtu atapanda treni za ubabaishaji za Bongo aache basi hayupo
Acha upuuzi,kati ya nauli ya treni na basi na ndege,wapi kuna nauli nafuu katika usafirishaji wa raia na mizigo??