Kwanini reli ya Kusini ilisitishwa? Kuna jambo tunafichwa?

Ubarikiwe sana
 
Huoni kuwa umemuanika bibi wa watu bure, je wabaya wakitaka kwenda kumdhuru ili asifunue siri zaidi huoni kuwa we ndiye utamsababishia?
 
Yah ! Ni biological control system .
Nasikia hayo majoka waliyatoa Australia kuja kuyapandikiza hapo kudeal na tatizo la panya waharibifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…