Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Nadhani kama Wanasimba tujiulize, kama magoli ya Saido siyo ya mchongo au bahash, Kwanini huyu mwamba wetu mzee Saido alishindwa kutuokoa pale mjini CAF champions?
Point of reference: Mayele kaiokoa Yanga kubeba ubingwa na pale mjini CAF champions
NB: Unapiga bomu mochwari unajisifu umeua[emoji23]
Point of reference: Mayele kaiokoa Yanga kubeba ubingwa na pale mjini CAF champions
NB: Unapiga bomu mochwari unajisifu umeua[emoji23]