Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

Kwanini Saidoo hayupo kwenye orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri?

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Mwenye kujua sababu za Ntibazonkiza kutojumuishwa kwenye orodha ya wachezaji wa Simba wanaosafiri kwenda Guinea kuivaa Holoya atueleze.

It is said kwamba hayupo cup tied coz hajacheza mchezo wowote huko Geita gold alikotoka. Sasa kama hana majeraha yoyote kwann aachwe Dar wakati mchango wake kwa timu (in recent games) ni mkubwa?

Fodkt5qXEBofwkG
 
Back
Top Bottom