Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

Wakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwaje
 
Kwanza Al Saud waliwekwa kwenye ufalme na mzungu, si kwamba Al Saud wamewakubali wazungu Leo, hapana bali ni Kwa miaka mingi sana toka wasaidiwe na hao hao (wazungu) kuwekwa kwenye kiti. Na MBS anakwenda kuifanya na kuipa uelekeo mpya nchi ya Saudi Arabia Kwa hatua au kiasi ambacho hakuna mwanasaudia yoyote angeweza kufikiria. Waajemi wanachukuliwa Kwa jicho la tofauti middle east yote, Iran na Israel ni mataifa yanayofanya Kila liwezekanalo Ili waendelee kuishi middle east, Hawa wawili hawana nchi rafiki za kudumu huko, uzuri ni kwamba waarabu wengi huko middle east hawana akili lakini siyo kama zetu za kwenda chooni wao wametuzidi, hivyo Bado Saudi Arabia anataka kujitahidi kufunika wote lakini Nina uhakika hawana smart peoples kama wenzao Iran na Israel.
 
nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwaje
Ajenda yao ipi?..halafu mwaka 1010 papa anatangaza vita vya msalaba dhidi ya waislam mashariki ya Kati!!
 
nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwaje
Sasa hiyo 600AD kulikua na kanisa gani zaidi ya katoliki?..haya makanisa mengine si ni nyege tu ziliwazidi wakaona wajitoe wakaanzishe kanisa jingine wakiwa na wake zao!
 
Wakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
Islam created by Roman Catholic church

Kafanye tafiti usisubiri uambiwe na MASHEIKH ,usiwe mjinga
 
Sasa hiyo 600AD kulikua na kanisa gani zaidi ya katoliki?..haya makanisa mengine si ni nyege tu ziliwazidi wakaona wajitoe wakaanzishe kanisa jingine wakiwa na wake zao!
Kabla ya 600AD ,hakuna hata ushahidi wa gazeti au kipande cha jiwe kuwa paliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu au Jengo kinaitwa MSIKITI

Hapo ndio utajua uislamu ni project ya wakatoliki

Toka nje ya box ,usisubiri uambiwe na sheikh ,
 
Naomba kuuliza kwann waarabu wanatudharau watu weusi hata km muislam
 
Kwa nini niamini porojo tu
Wewe hata Hadith zenu unasema porojo
FB_IMG_1741373253806.jpg
 
Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-


“Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu”


Kwa nukuu hiyo hapo juu nawasikitikia jamaa zangu waislam ambao ni marafiki zangu leo nimegundua kumbe wanacheza makida makida tu Mungu wao ameshawakataa kitambo.
 
Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-


“Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu”


Kwa nukuu hiyo hapo juu nawasikitikia jamaa zangu waislam ambao ni marafiki zangu leo nimegundua kumbe wanacheza makida makida tu Mungu wao ameshawakataa kitambo.
mmmh aisee kazi ipo.
 
Siku zote nchi ya Kiislamu itayochagua amani kuendesha nchi yake lazima itaitwa KIBARAKA.
 
Wamejenga Nchi yao vizuri sana na imekuwa kivutio kikuu..watu wanakula Maisha.

Unataka wasisheshimu na kuwa Vibaraka unafikli Makha itahamia mtaani kwako tuje kuhiji ee?

Kuna vitu watu wanafanya kutumia akili hapa duniani si matako.

Tunatumia matako kufikiri ndio sisi tuna umeme mwingi mpaka wa kuuza kwa majirank,huku umeme ukiwa wa mgao na wengine mpaka leo hawa umeme.
 
Back
Top Bottom