hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Endelea kusubiri andikoSasa hapo kuna nini
Mimi nataka ushahidi wa maandiko kuhusu dai lako la Uislamu kutokana na ukatoliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kusubiri andikoSasa hapo kuna nini
Mimi nataka ushahidi wa maandiko kuhusu dai lako la Uislamu kutokana na ukatoliki
Hauna hojaEndelea kusubiri andiko
Ndiyo maana akaja nabii kuweka mambo sawa baada ya kuvurugwa na wahuni kama PauloKabla ya 600AD ,hakuna hata ushahidi wa gazeti au kipande cha jiwe kuwa paliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu au Jengo kinaitwa MSIKITI
Hapo ndio utajua uislamu ni project ya wakatoliki
Toka nje ya box ,usisubiri uambiwe na sheikh ,
Lete hiyo research,nikuoneshe ujinga wakoIslam created by Roman Catholic church
Kafanye tafiti usisubiri uambiwe na MASHEIKH ,usiwe mjinga
Aipate wapi!!!Lete hiyo research,nikuoneshe ujinga wako
Hakuna historia hiyo,ni majuha tu mnadanganyana huko mkikutana jumamosiKasome historia,siwez kuwatafunia kila kitu ,kwanza hamna shukran
Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-
“Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu”
Kwa nukuu hiyo hapo juu nawasikitikia jamaa zangu waislam ambao ni marafiki zangu leo nimegundua kumbe wanacheza makida makida tu Mungu wao ameshawakataa kitambo.
Wewe endelea kudanganywa na kina Mazinge wauza mafuta na majiHakuna historia hiyo,ni majuha tu mnadanganyana huko mkikutana jumamosi
Tunaanzisha urafiki na watu kumbe maskini ya Mungu tunawanyima pepo kesho,na wengi tupo nao urafiki kinafiki au hiyo dini yao hawajaisoma wakaielewa.
Yupo mjinga mjinga mmoja hawa wavaa kanzu fupi nilimwamini nikampa kazi ya kusimamia vyombo vyangu akanichanganyia hesabu akafanya forgery kwenye signature akanipeleka mahakamani eti namdhulumu,kuna siku aliniambia live akila hela ya asiye muislam alahh hamuhesabii dhambi.Mungu saidia nilishinda but hiyo kauli yake mpaka kesho huwa naitafakari najiuliza huyo Mungu wa hivyo wao wamemtoa wapi?
Wakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
Alijua ukiwa unapanda angani,kifua hubana kwa kukosa hewa, Quran 6:125,bibi yako anajua hili?..alifundishwa?Mudi ni sawa na mwamposa tu
History zenu makafir za kujitunga haziwezi kuwasaidia chchte, uislam Ni unyenyekevu kwa MWENYEZI MUNGU, na muongozo wetu Ni Qur'an, AChana na mapungufu na kutazama saudia inafanya nini, Tazama Qur'an inasema nn... Wao kuifuata au kuiacha si juu ya uislam Ni juu ya nafsi zao WenyeweMgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w.
1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496
Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni Saudia Arabia, ni kibaraka mtiifu sana na mnafiki mkubwa katika mataifa ya Kiarabu. Huyo ndo alichochea sana USA kumvamia Sadam Hussein, na ndiye anashiriki propoganda za kumtoa Bashar al Sadri wa Syria, na ndiye ameivamia Yemen ila alikutana na kichapo cha wa Houth wanaofadhiriwa na Iran ikabidi aombe msaada kwa bwana wake yaani USA ndo akafanikiwa kuwarudisha nyuma. Ila kwa uchungu kasambaza kemikali uko Yemen ambazo zimesababisha magonjwa mabaya sana kwa Wayemen.
Na sasa(Saudia) ame sign mkataba wa dollar bilioni 100 na USA kwajili ya silaha za kijeshi, ni pesa nyingi sana ni kama Trilioni 250 za Tz, yaani ni budget ya miaka 8 na nusu ya Tanzania na ni budget ya miaka 125 ya Rwanda. Na ktk maongezi Saudia ameingiza chokochoko kuhusu Iran, maana anataka sana Iran ivamiwe na USA ili yeye abakie mwenye nguvu katika Waarabu.
Story kwa ufupi kuhusu Saudia Arabia
Nchi hiyo zama hizo iliitwa Araba yaani jangwa kwa Kiebrania, na neno Araba ndio chimbuko la jina Arabu au waarabu, na jina ilo yaani Araba likabeba jina la Arabuni, ila wakazi wa uko katika zama za mbele waliita Hijjaz yaani kizuizi maana ilikuwa nchi ya upweke sana kwasababu ya jangwa lake kali na jua kali sana. Uko waliishi sana Bedui ambao ndio waliomfundisha Muhamad vita na mashairi. Arabuni ilikuwa ni eneo lisilokuwa na watu wengi, ata leo Saudia ina wakazi milioni 31 kwa sensa ya 2015, ndo maana dolla za Kislam baada ya Ukalifa wa Rashidun(Abubakar, Umar, Uthuman, na Ally) warithi wao yaani Ummayid kaliphate walihamisha makao makuu madina kwenda Syria(Sham) na baada yao makao makuu yakahamia Iraq ktk zama za ukalifa wa Abbasid. Maana Sham na Iraq ndo kulikuwa na wakazi wengi sana.
Kwanini leo Arabuni(Hijjaz) inaitwa Saudi Arabia?
Kuna story ndefu hapo ila kifupi Arabuni ilishatawaliwa sana na dolla mbalimbali kiasi cha jiwe jeusi kuibiwa, baada ya dola nyingi kuitawala Arabuni mwisho iliangukia katika dola ya Ottoman ambayo iliitawala Arabuni mda mrefu na ku control msikiti wa Makka, baada ya dola ya Ottoman kuangushwa na British Empire mwaka 1914-1918 ktk vita ya kwanza, Uingereza ilitawala maeneo yote ya Ottoman, ndipo mwaka 1924-1925 Ibn Saudi akajitangaza mfalme wa Arabuni kwa msaada wa Muingereza, ila hakutawala eneo lote, mwaka 1932 ndipo akawa mfalme wa Arabuni yote baada ya dola ya Nejd kuungana naye, ndipo Arabuni ikaitwa Saudi Arabia. Kwaiyo Waislam wanavyodai kuwa Israel si Taifa bali jina la mtu, basi ata Saudia ni jina la mtu. Ukoo wa Ibn Saudi ni wa kitambo, huu ukoo uliungana na ukoo wa Abdul Wahab katika Karne ya 18 na kuunda ka dola kadogo kalikoitwa Saud Kingdom ila baadae kalisambaratishwa na Ottoman. Abdul Wahhab ndio mwanzilishi wa dhehebu la Wahhabist, dhehebu lenye msimamo mkali sana wa kissun, na baguzi kwa madhebu yote ya Kislam wakiwemo sunn wasio wahhabist, inasemekana magaid karibu wote wanatokea dhehebu ili. Abdul wahab inasadikiwa kuwa ana asili ya Kiyahud. Maana Wayahud ndio walikuwa wana control uchumi wa Arabuni hata zama za Muhamad, na Muhamad alivyowashinda aliwafukuza na kupora mali zao. Mji wa Medina na Khaybar ilikuwa ni miji ya Kiyahud ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa, kwaiyo inasemekana masalio yao yapo mpk leo ambao waliamini katika Uislam na miongoni mwao ni Abdul Wahab, na ukoo huu na ukoo wa Ibn Saud ndo koo ambazo zimeshika uchumi wa Saudia na utawala.
Muhamad aliwafukuza Wayahudi na Wakristo katika Rasi ya Arabuni na kukataza kufanya nao Urafiki kama hadithi hii inavyoshuhudia:-
1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496
Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Ukirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi na wako tayari kuwafukuza Wakristo na Wayahud ktk eneo lolote wanalolimiliki, ndio maana ktk nchi za Waislam hakuna makanisa hasa Saudia na ata wakiwa ktk nchi za Wakristo watakomaa tu kuingiza sharia zao. Swali la kujihoji, leo ktk nchi ya Muhamad, yaani Arabuni wamevunja aya hiyo kwa kufanya urafiki na Wakristo na Wayahudi kiasi cha kuwapa eneo la kijeshi katika rasi ya Saudia na kufanya ushirika kwa mengi sana. Je Uislam umeshajifia au unaenda kujifia kabisa?
Uchambuzi wa dhehebu la Wahabist uko jikoni.
Quran kitabu cha juzi tuAlijua ukiwa unapanda angani,kifua hubana kwa kukosa hewa, Quran 6:125,bibi yako anajua hili?..alifundishwa?
Hao ndio wenye hiyo dini ,wamekuletea weweHistory zenu makafir za kujitunga haziwezi kuwasaidia chchte, uislam Ni unyenyekevu kwa MWENYEZI MUNGU, na muongozo wetu Ni Qur'an, AChana na mapungufu na kutazama saudia inafanya nini, Tazama Qur'an inasema nn... Wao kuifuata au kuiacha si juu ya uislam Ni juu ya nafsi zao Wenyewe
Kumbe we jamaa ni Myahudi? Nilikuwa sijuiUkirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi
Quran yenu inawataka msiwe na urafiki na wayahudi na wakristoKumbe we jamaa ni Myahudi? Nilikuwa sijui
Kwahiyo wewe ni nani kati Ya hao wawili?Quran yenu inawataka msiwe na urafiki na wayahudi na wakristo
Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu