nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwajeWakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
Ajenda yao ipi?..halafu mwaka 1010 papa anatangaza vita vya msalaba dhidi ya waislam mashariki ya Kati!!nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwaje
Sasa hiyo 600AD kulikua na kanisa gani zaidi ya katoliki?..haya makanisa mengine si ni nyege tu ziliwazidi wakaona wajitoe wakaanzishe kanisa jingine wakiwa na wake zao!nani kakuambia wakatoliki waliunda uislam, cha ajabu nini wakiunda imani kinzani ili kutekeleza ajenda yao? Jitahidi kusoma ili ujue ukweli wa dini yako isije ukawa unalishwa matango pori na kushinda na njaa mchana kutwa kisa unaabudu dini usiyoilewa vema ilianzishwaje
Kasome historia,siwez kuwatafunia kila kitu ,kwanza hamna shukranFatima katika uislam ni nini?
Islam created by Roman Catholic churchWakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
Kabla ya 600AD ,hakuna hata ushahidi wa gazeti au kipande cha jiwe kuwa paliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu au Jengo kinaitwa MSIKITISasa hiyo 600AD kulikua na kanisa gani zaidi ya katoliki?..haya makanisa mengine si ni nyege tu ziliwazidi wakaona wajitoe wakaanzishe kanisa jingine wakiwa na wake zao!
Wewe kila kitu unataka ushahidi wa Quran na Hadith ,endelea kusubiri ushahidiUshahidi
Kwa nini niamini porojo tuWewe kila kitu unataka ushahidi wa Quran na Hadith ,endelea kusubiri ushahidi
Wewe hata Hadith zenu unasema porojoKwa nini niamini porojo tu
Sasa hapo kuna niniWewe hata Hadith zenu unasema porojoView attachment 3262937
mmmh aisee kazi ipo.Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-
“Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu”
Kwa nukuu hiyo hapo juu nawasikitikia jamaa zangu waislam ambao ni marafiki zangu leo nimegundua kumbe wanacheza makida makida tu Mungu wao ameshawakataa kitambo.
Kupambana nao kwa namna gani???Wakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga
Bagamoyo wamepewa jimbo Katoliki rasmiUislamu ni project ya Wakatoliki
KWAHIYO Saudia Arabia lazima awe KIBARAKA WA wazungu ,
Sababu Uislamu ni project Yao ,wanacheza na remote control tu