Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

Kabla ya 600AD ,hakuna hata ushahidi wa gazeti au kipande cha jiwe kuwa paliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu au Jengo kinaitwa MSIKITI

Hapo ndio utajua uislamu ni project ya wakatoliki

Toka nje ya box ,usisubiri uambiwe na sheikh ,
Ndiyo maana akaja nabii kuweka mambo sawa baada ya kuvurugwa na wahuni kama Paulo
 

View: https://www.reddit.com/r/coolguides/comments/d19w5t/all_these_arabic_words_mean_friend_but_each_one/?rdt=49834
Kiarabu lugha pana,neno rafiki lina madaraja tofauti ambayo kwa kiswahili tafsiri yake ni rafiki tu,hiyo aya ukipitia tafsiri tofauti za Quran utakuta wametumia maneno tofauti
 
 
Saudia ni kibaraka wa Marekani coz Hana uwezo wa kujilinda na utawala wake wa kifalme hata Kwa nusu mwaka. Kuna upinzani mkubwa chini Kwa chini kutoka makundi mbalimbali ya kidini, kijeshi, na kidemokrasia yote yakiwa na malengo tofauti namna ya kuiendesha nchi hiyo. Madhali upinzani wowote dhidi ya serikali ya KSA ni shimo la tewa. Iwe Kwa kelele, maandishi nk adhabu yake ni kifo. Huko Saudia Kuna udictator mkubwa pengine kuliko ule usemwao Kule Iran na Russia.
Aibu nchi ya kidini kama Saudia Leo inahost makambi ya kijeshi ya Marekani, lakini ni ajabu vijana ambao husoma na kufadhiliwa na Saudia huja Afrika na kuilaani Marekani.
Aibu kwenu wasaudia
 
Wakatoliki hawawezi create uislam halafu wahahe kupambana nao baadae,acheni ujinga


Hayo ya wakatoliki kuanzisha uislam, siamini. Ila hilo la wakatoliki kupambana na uislam, huo ni uwongo mkubwa. Wakatoliki hawana uadui na wala hawapambani na dini yoyote, ndiyo maana hata kipindi hiki cha kwaresma, kwa upendo mkubwa, wakatoliki wanamwomba Mungu wa kweli awafunulie waislam ili wamrambue na kumpokea Mungu wa kweli na masiha Kristo, ambaye pasipo yeye, hakuna wokovu, maana ni yeye pekee ndiye ufufo na uzima, na hakuna amfikiaye Baba bila kupitia kwake.

Wakatoliki l, kwa kadiri ya mafundisho ya Yesu Kristo, hawawezi kumchukia yeyote, maana agizo kuu la Yesu ni UPENDO. Tena anahimiza kwa kuwaambia wanadamu wawapende hata maadui zao ili watofautiane na wale wasiomjua Mungu ambao huwachukia maadui zao.
 
History zenu makafir za kujitunga haziwezi kuwasaidia chchte, uislam Ni unyenyekevu kwa MWENYEZI MUNGU, na muongozo wetu Ni Qur'an, AChana na mapungufu na kutazama saudia inafanya nini, Tazama Qur'an inasema nn... Wao kuifuata au kuiacha si juu ya uislam Ni juu ya nafsi zao Wenyewe
 
Alijua ukiwa unapanda angani,kifua hubana kwa kukosa hewa, Quran 6:125,bibi yako anajua hili?..alifundishwa?
Quran kitabu cha juzi tu

Sayansi ipo kabla

Aristotle (384–322 KK) katika kazi yake Meteorology alieleza jinsi hewa inavyobadilika kwa kupanda juu, na kuhusu kubanwa kwa kifua.

Pliny the Elder (23–79 BK) katika kitabu chake Natural History alizungumzia jinsi hali ya hewa inavyobadilika unapopanda milima mirefu.
 
Hao ndio wenye hiyo dini ,wamekuletea wewe
 
Kumbe we jamaa ni Myahudi? Nilikuwa sijui
Quran yenu inawataka msiwe na urafiki na wayahudi na wakristo

Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Kwahiyo wewe ni nani kati Ya hao wawili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…