Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

Imenibidi niende kwa aristotle kuangalia madai yako,we jamaa muongo sana, Quran inasema chuma kilishushwa, palikua na big bang, universe (ulimwengu) unatanuka,ubongo wa mbele hutumika kudanganya, sensor za maumivu zipo' kwenye ngozi na vyote hivi sayansi ya leo imethibitisha
 
Uongo upi wa Aristotle?

Quran ni kitabu cha juzi, hakina jipya ,
 
Wewe unahusikaje na USA? acha kukimbia maswali ya msingi.
Swali lako halina msingi wowote ,

Aya inasema kuhusu waislamu msiwe marafiki na wayahudi na wakristo


Wewe unaleta habari za USA ,ndio Aya inachotaka au ni hoja?
 
Wenye Dini Yao wanazidi kuiboresha

Njoo kwa waarabu wa buza kwa lulenge sasa
 
😂😂😂😂😂 Wazungu washaishika makka nyie mmekaa kupayuka tuu
 
Uislamu ni project ya Wakatoliki

KWAHIYO Saudia Arabia lazima awe KIBARAKA WA wazungu ,

Sababu Uislamu ni project Yao ,wanacheza na remote control tu
Sababu hata Mohamed walimtengeneza wao kama vile Osama bin laden na USA walimtengeneza wao kisha wakageukana
 
Sababu hata Mohamed walimtengeneza wao kama vile Osama bin laden na USA walimtengeneza wao kisha wakageukana
Hivo hivo, wafia dini hawaamini project kama hizi ni vitu vya kawaida sana
 
Waislam wenyewe kutwa USA wataacha kusaini? Wanaogopa kutimuliwa na Trump!
 
Islam is not a religion ,is political movement where you must worship in Arabic with Sheria law there main goal is to change calture
 
Swali lako halina msingi wowote ,

Aya inasema kuhusu waislamu msiwe marafiki na wayahudi na wakristo


Wewe unaleta habari za USA ,ndio Aya inachotaka au ni hoja?
Wewe unahusikaje na USA? Jibu hili swali mbona tumetoka mbali nakuuliza maswali unajibu mpaka nimefahamu kuwa wewe ni christian baada Ya kukuuliza sasa swali hili unakwepa nini? Mbona huko mwanzo ulikuwa unajibu maswali yangu 'na hayahusiani na aya.
 
Saudia wana Import mpaka kanzu na vilemba mtu kama huyo hawezi kuleta ubabe inambidi awe kibaraka.
 
Uongo upi wa Aristotle?

Quran ni kitabu cha juzi, hakina jipya ,
Uwongo wako siyo aristotle,kile kitabu cha kale kinachodai Mungu alipigwa ngwala na yakobo ndiyo kina jipya!?.. kafiri una shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…