Hii nchi viongozi wetu wanatuona sie wananchi wao kama misukule vileTumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:
Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?
kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?
Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?
View attachment 2339509
Ya sensa ni ya kununulia kiwanja ya majengo ni kumalizia kupaua
Haahaahaa
Ukiona hivyo ujue zinatafutwa hela za kuendesha kampeni ya 2025. Demokrasia ni Ghali!Juzi tu hapo walikuwa na igizo la anuani za makazi wakapiga sahivi wanarudi kwa mgongo mwingine wapige
Ukiona hivyo ujue zinatafutwa hela za kuendesha kampeni ya 2025. Demokrasia ni Ghali!
Nchi imejaa walalamikaji hii Yani Kila kitu kulalamika ebu tuacha taaluma za watu zifanye kazi wanajua kwanini havikufanyika pamoja
Suala ni je kwanini haikufanyika kwa pamoja.? Karani wa sensa ni yule yuleKuna tofauti kati ya makazi na majengo. Makazi yanaweza kuwa katika majengo ila si kila jengo ni makazi ukumbuke
Inafahamika kuwepo kwa walamba asali, vibaraka na chawa wao. Wewe ni yupi katika hayo maburungutu?Jamhuri ya malalamiko
Kumekucha tena tulalaimike