Kwanini sensa ya watu na hii ya majengo hazikufanywa sambamba?

Kwanini sensa ya watu na hii ya majengo hazikufanywa sambamba?

Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:

Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?

kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?

Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?

View attachment 2339509
Mimi jengo langu mpaka sasa nimetumia zaidi ya milioni 70! Ila kiukweli nitawaambia nimetumia kiasi kisichozidi milioni 40.

Maana tayari nafahamu mnachokitafuta. Mateso nipate mimi, halafu mnataka tugawane pasu kwa pasu. Hovyo kabisa.
 
Wake wenza,hawachi kulalamika,ukimuona mtu analalamika kila jambo mtilie mashaka kuwa yuko sawa na wanawake,waliolewa na mume mmoja.
 
Wake wenza,hawachi kulalamika,ukimuona mtu analalamika kila jambo mtilie mashaka kuwa yuko sawa na wanawake,waliolewa na mume mmoja.
Majizi na majambazi huwa hayaachi kushtuka shtuka Kila yasikiapo ukelele wa mwizi. Vipi wewe ni mlamba asali?
 
Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:

Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?

kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?

Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?

View attachment 2339509
Nchi hii inawezi Sana, hivi Hawa watumishi na walioajiliwa KAZI yao nini? KWa Sasa hawaibi bali wanakwapua, alafu wanatwambia tuamie Burundi, siku zao zinahesabika, Mungu yupo , hivi tumefikaje hapa? Alafu mtu nakuja apa na mapambio
 
Suala ni je kwanini haikufanyika kwa pamoja.? Karani wa sensa ni yule yule
Mpenzi Demi, usisahau watu walikuwa wanalalamika kuwa maswali ni mengi 100. Afterall hivi ni vitu viwili tofauti. Katika sensa kulikuwa na maswali ya makazi na sasa ni masuala ya majengo
 
Mpenzi Demi, usisahau watu walikuwa wanalalamika kuwa maswali ni mengi 100. Afterall hivi ni vitu viwili tofauti. Katika sensa kulikuwa na maswali ya makazi na sasa ni masuala ya majengo
Wamekuja hao watu wa majengo leo. Nimeulizwa maswali matatu tu. Wangeweza kuniuliza siku ile ya sensa ya watu.
Karani wa juzi ndo huyo wa leo.
 
Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:

Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?

kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?

Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?

View attachment 2339509
Kinachotafutwa ni namna ya kuweka tozo mpya tusubiri tuone nchi ngumu sana hii
 
Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:

Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?

kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?

Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?

View attachment 2339509
Bajeti ni moja
 
Mkuu wewe uliwahi kuona wapi mchezo usiokuwa na Halftime?
Tukimaliza sensa ya nyumba tunamalizia na sensa ya vyoo nchi nzima.
Kitaalamu kutumia kanuni ya finger(Chengi-Joka Makengeza money theft arithmetic method)haya mazoezi yanapaswa kutenganishwa ili tupate accurate data.
 
Wamekuja hao watu wa majengo leo. Nimeulizwa maswali matatu tu. Wangeweza kuniuliza siku ile ya sensa ya watu.
Karani wa juzi ndo huyo wa leo.
Ni kweli ni Wahesabuji hao hao. Ujue kila suala na utaalam wake. Ndo maana kwa upande wetu, Census ni module ambayo lazima uishinde wakati wa masters. I wish ungalishiriki katika mafunzo ya sensa ungalitambua kuwa si rahisi.

Tatizo la kuchukulia vitu juu juu ndo maana kulipatika kama hii picha ya kipuuzi
Upuuzi.jpeg

Mtu aliyefunzwa hawezi kukaa hivi na Respondent, maana atakuongoza badala ya kumuongoza. Atakupa majibu yasiyo sahihi kisa kutafuta K.
 
Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:

Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?

kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?

Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?

View attachment 2339509
Ki ukweli sijui ni upuuzi gani huu, au labda kuna upigaji umefichwa ndani yake.
Amepita kwangu Leo, kama dk 10 zilizopita. (ni karani yuleyule aliyepita siku ya kwanza-) Maswali ya zaidi aliyouliza 1) no. ya mita ya umeme 2) mita imessjiliwa Kwa jina gani 3) mna maji ja Bomba? 4) matofali yaliyojengea nyumba ni ya kawaida au kuchoma/ya udongo?
Swali jingine amerudia maana alishauliza siku ya kwanza- nyumba Ina vyumba vingapi, mmliliki ni nani?
Sasa siku Ile ya kwanza angeweza kufanya kazi yote aliyokuja kufanya Leo, muda uliotimika ukawa umeokolewa (muda ni mali), pesa aliyolipwa siku ya Leo ingefanya jambo jingine lenye tija, na usumbufu aliniletea haungkuwepo.
 
wasitarajie watu watakua wakweli kutaja majengo yao yote wanayomiliki
 
Back
Top Bottom