Kwanini sensa ya watu na hii ya majengo hazikufanywa sambamba?

!!!Et walipi kuweka vibao na kuandika namba kwenye nyumba .Sasa?
 
Moja ya maswali Niliulizwa nyumba Yako inavyumba vingapi vya kulala,namba ya anuani ya makazi ya nyumba,jina la barabara nyumba Yako ilipo,nyumba Yako Ina hati?umepanga au unamiliki eneo hili?na kama unamiliki mnamiliki wengi au peke Yako,Je eneo la nyumba Yako linatumika kwa kilimo au ufugaji?nyumba Yako inavigae au sakafu ya simenti?nyumba ni ya tofali?imeezekwa Kwa Nini? Maswali haya ni ya Nini kama sio sensa ya makazi
 
Leo nimepitiwa kwenye sensa ya makazi nimeulizwa jina la.mwenye nyumba, vyumba vingapi vya kula nk. Mwisho nimeulizwa namba ya mita ya LUKU hapo hapo nikapata jibu tozo nyingine inakuja si muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…