Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
!!!Et walipi kuweka vibao na kuandika namba kwenye nyumba .Sasa?Tumeambiwa zaidi ya 600bn/- zimetumika kwenye sensa tuliyoambiwa ni ya watu na makazi. Tungali tunajitafakari wanakuja na jipya:
Hili nalo ni zoezi la bilioni ngapi? Hivi makazi na majengo nini tofauti?
kwanini mawili haya kama ni tofauti na kama ni muhimu hayakuunganishwa ili kufanywa pamoja kupunguza gharama zake za utekelezaji?
Au ni kwa vile kuna tozo zisizokuwa na idadi ziko njiani? Si mtakamua hadi mafahali mkitegemea maziwa?
View attachment 2339509
Bila kusimama imara tutaendelea kupelekeshwa kama gari bovu.!!!Et walipi kuweka vibao na kuandika namba kwenye nyumba .Sasa?
Imeisha hiyo mwagito
Wanataka kuziboresha zaidi. Mtalipia hafi oxygen kutokana na ukubwa wa nyumba yakotozo za jengo si zinalipwa kila mwezi kwenye luku
Kufikiria kuwafurusha hawa watu kwa hakika haliwezi kuwa jukumu haramu.Wanataka kuziboresha zaidi. Mtalipia hafi oxygen kutokana na ukubwa wa nyumba yako
Nani atamfunga paka kengele?Kufikiria kuwafurusha hawa watu kwa hakika haliwezi kuwa jukumu haramu.
Wananchi washawachoka haowasitarajie watu watakua wakweli kutaja majengo yao yote wanayomiliki
As such the end isn't near !!!!Hakuna nchi nzuri kwa kuiba kama hii Tz imejaa wananchi wajinga sn
Leo nimepitiwa kwenye sensa ya makazi nimeulizwa jina la.mwenye nyumba, vyumba vingapi vya kula nk. Mwisho nimeulizwa namba ya mita ya LUKU hapo hapo nikapata jibu tozo nyingine inakuja si muda mrefuKunaandikwa Mwananchi:
"Wakati wananchi wanaandikishwa kwa ajili ya sensa, wengine wanaandikisha wakulima kwa ajili ya kupata mbolea ya ruzuku huku kukiwa na kampeni inayowataka wapangaji kulipa asilimia 10 ya kodi wanayotozwa na wamiliki wa nyumba."
Vikwazo tele sensa mikoani
Mambo lukumba lukumba.
Yanini kuandikia mate?Mtanikumbuka[emoji1498]