Kwanini serikali haifanyi uchunguzi na kuchukua hatua dhidi ya mila hizi potofu?

Kuelekea uchaguzi tutegemee ndugu zetu albina kuanza kupotezwa, inasikitisha sana. Kama mungu kweli yupo sidhani kama angeumba binaadamu mweusi na kumjazia kinyesi kichwani
Ni Kweli mkuu mkuu Mungu hayupo
 
Eti hiyo Tanganyika ni kisiwa cha amani ndivyo wanavyosema.
 
Kama hali ndiyo hiyo hatuji kuendelea kamwe, ndiyo maana tunashinda barabarani kushangaa na kushangilia mabasi ya hao wabunge
 
Kuelekea uchaguzi tutegemee ndugu zetu albina kuanza kupotezwa, inasikitisha sana. Kama mungu kweli yupo sidhani kama angeumba binaadamu mweusi na kumjazia kinyesi kichwani
Huwa naikubali sana comment yako ile ulisema ungekua mzungu ungewabagua watu weusi. Kila nikiikumbuka nacheka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…