Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Rais anapwaya mno jamani, kiti kimemlemea.
Kweli kabisa mkuu,itapendeza saana ikiwa yule gaidi akiachiwa na kupewa nchi au yule Mrs Robert Amsterdam akitoka huko aliko tujipange tumpe nchi

Naunga hoja!!
 
Kwa nini mtu uende msibani useme mimi sikumuua marehemu wakati haujaulizwa chochote juu ya marehemu? Halafu kwa nini ziara za kituo cha Mbezi ziwe mbili ndani ya muda mfupi yaani alifungua kile kituo na Rais wa Malawi na muda mfupi kurudi Dar akapangiwa kwenda police kuzindua majengo yao akaja Kuzindua Flyover ya Ubungo, akaja Mbezi kituo cha mabasi na kwa nini itokee hivo? Afya yake ilikuaje baada ya Ziara ya waziri wa mambo ya nje wa China pale Chato? Deal za uwekezaji na offer walizokuja nazo wachina kule zilikua zenyewe? Kwa nini miradi ile aliyoikataa haraka imeanza upya, Kwa nini haraka engineer Kakoko atolewe Bandari lakini baadae bandari upigaji ghafla unaendelea? Tunajibiwa majibu mepesi mepesi kwa nini team yake ipigwe vita ya wazi kabisa tena ya roho mbaya na bila aibu watu waliostaafu na mtani wake kwa nini wanaanza kurudi kwenye mfumo haraka?
Mimi swali langu moja kuu ni wale wachina wawili wa darajani (ubungo fly over) aliowaiita waje kupiga naye picha walikuwa mpango wa walinzi au ilikuaje? Maana walitokelezea kama vile kwenye presentation una chomekea point fulani hivi....Yaani kimkakati
 
COVID 19 deniar....

Na ikamchukua kweli...


Nyie tengenezeni theories nyiiiingii lakini huo ndiyo ukweli...

Mlipuko wa kwanza alifanya vizuri sana kwenda kujificha Chato mpaka hali ilipopoa... Hapa credits zote apewe Kipilimba & Ummy kwa kusimamia profesionalism, walijua japo COVID 19 machoni mwa jamii wameikana haipo lakini ukweli ni kwamba ilikuwepo na kwa usalama wa Rais haikuwa salama kumuexpose...

Mlipuko ule wa March akawepo Diwani na Gwaji Girl kwenye taasisi nyeti, na wote ni wachumia tumbo. Watafanya lolote ilimradi kulinda vibarua vyao. Wakammislead mwamba, wakamruhusu afanye ziara kuanzia Chato kuja mikoa yote ya mashariki. Alipita Tabora, Singida, Morogoro. Alipofika Dar akaenda kuzindua Kijazi Interchange, akazindua Magufuli Bus Terminal, akazindua Soko la Kisutu. Baada ya hapo akarudi ndani na HAKUTOKA TENA mpaka kifo kilipomfika.

Mpaka hapo mtakuwa mmeshajua wa kubebeshwa mzigo ni nani. Unapochaguliwa kuwa Waziri ina maana unatakiwa kumshauri Rais ukweli daima, unatakiwa umshauri na kumpa ukweli Rais hata kama hatakubaliana na wewe, lakini utakuwa umeshatimiza wajibu wako. Yani always unatakiwa usimamie ukweli hata kama utatumbuliwa, maana kuongopa kwako kunaweza kuicost nchi na wananchi wote.

Ningekuwa Rais, mtu wa kwanza kutumbuliwa angekuwa huyu Gwaji Girl, viongozi aina hii ni HATARI KWA TAIFA kwani hawasimamii profesionalism bali wanaenda na upepo wa Rais anavyotaka na wao wanafuata, hata kama Rais yuko wrong wanaogopa kumpa correct informations kwa kuogopa kuonekana wanampinga, mwisho wa siku wanamuingiza chaka Rais.

NB: Kama kawaida juzi wametoa taarifa kwa umma kwamba mlipuko uliopo sasa ni mafua makali, hamna corona. Halafu likitokea la kutokea tunaanza kutafuta mchawi nani. Sisi hatuna shida, ila wakumbuke viongozi wengi huko juu ni wazee na wana magonjwa mengine sugu ambayo yakiungana na COVID 19 ni suala la muda tuu kukutoa roho, na haichukui round wataanza kudondoka very soon, hii yote inasababishwa na aina hii ya viongozi wanaojali matumbo yao zaidi. Sisi yetu macho na masikio.
Pointi yako ina mantiki....Ni hatari mno kutoa ushauri kauzu kwa mambo serious...Kuna kazi nimehusika this time najua kabisa mawaziri makini wanasikiliza na kutoa ushauri muafaka ila kuna wataalamu maslahi usipokuwa makini wanakuingiza chaka...Watanzania wengi wanasiasa kwa wataalamu siyo reliable na wanapenda sana intrigues
 
Angalia vizuri hii picha wala huwezi kusumbuka kujuwa kiburi chake ndio kimempa Corona.

View attachment 2050569
Yaani corona iwe systematic hivyo? Kwani hao ni quadrants? Hujui kuwa kuna random selections kwenye diseases kwakua binadamu hawafanani?

Kama wewe unahusika kuwapa watu facts unapwaya mno ki science...Kwanza ugonjwa wenyewe unaonyesha effect yake ipo random na based on individuals specificity....Hii hoja yako ipeleke kwingine...Haimanishi nina amini wanayosema...Nina reason na ku think critically...
 
Ni hivi ukiwa Mzalendo, kusimamamia haku za maskini, watu wengi kwenye nchi yako, ili kuwainua wengi inabidi upambane sana.

Uwe na mkono wa Chuma,tayari kufa. Mwisho utauliwa,wasaliti ni ndugu zako, wasaidizi wako.
Lakini speculations Mara nyingi zinakuwa hazina ukweli sana, Mwamba alikuwa ana matatizo ya kiafya ambayo yanajulikana ni makubwa, Ugonjwa wa moyo sio wa mchezo, ukichanganya na hii pandemic kwa kweli ilikuwa ni hatari sana kwake na kwa MTU yeyote mwenye maradhi kama hayo,
 
Gentamicin is an antibiotic au ? Then hii mada ilitakiwa iende Intelligence ni mada nzito sana.

Pamoja na yote, but JPM alikuwa anawakilisha hisia za Watanzania wengi sana and he was smart kwenye uongozi. Jamaa alikuwa ni RAIS wa maono na misimamo.

Waliokatisha uhai wa JPM ni wahuni. Ndani ya TISS kulikuwa na TISS ambayo ilijinasibisha loyal kwa JPM .humo humo wahuni wakatembea na kupitia viongozi wa karibu wa JPM .

Kumbuka kuna watu ndani ya TISS hadi leo hawamkubali diwani, na kuna watu ndani ya Jeshi hawamkubali Mabeyo. Hizi zote ni team JPM zisizokubalika ndani ya vitengo

Ni chain iliyozunguka ndani kwa ndani na ikafanikiwa. Wahuni hao walipokamilisha wakaanza kuua legacy ya JPM kwa kumtumia Kichere, wahuni walishindwa kutangaza hata kifo cha Rais kiheshima.

Wahuni hao hao wakasambaza hadi video za marehemu .

Worst enough, wahuni ambao wengine walikuwa kwenye highest position Kwenye utawala wake publicly anaongea kabjsa kuwa utawala uliopita ndio ulikuwa mmbaya, sio utawala wa awamu ya 6 ; ni aibu and it’s shame kwa manufaa ya nchi.

Kosa kubwa la JPM ni kuwekeza kwenye ulinzi wa gun badala ulinzi wa kisayansi na asilimia kubwa alikuwa amezungukwa na wanafiki.

Naamaanisha hadi VP wake wa kipindi hicho alikuwa ni snitch kwake na alipenyeza mambo mengi sana kwa wahuni ikiwa ni pamoja na weakness point za JPM.

Na ndio maana leo hii anajisahau na kumkana waziwazi na kuuponda utawala ambao yeye ndiyo alikuwa mshauri wake wa karibu sana . Usnitch ni dhambi mbaya na haijawahi kumuacha mtu salama.

Hawa ndio watu waliofanikisha matukio makubwa. Yaani JPM alitakiwa awamu ya pili atoe takataka zote.

Wahuni wameingia madarakani wakaona jamaa alikuwa na Project kubwa nchini na zote zilikuwa zinaenda, wapi alikuwa anapata fedha; hawakuwa na majibu , njia pekee ni tozo na takataka nyingi.

Na miradi ya barabara na mwendokasi inasua sua huku wahuni wanakula pipa na jopo lao , ukipiga cost inakwenda zaid ya B kila trip .

Tunahitaji JPM mwingine , huyu jamaa atakumbukwa tu , miaka 6 but alama ni kubwa za Maendeleo.

Ni suala la Muda , karma is bitch , they will never be happy !
Duh!!
 
Gentamicin is an antibiotic au ? Then hii mada ilitakiwa iende Intelligence ni mada nzito sana.

Pamoja na yote, but JPM alikuwa anawakilisha hisia za Watanzania wengi sana and he was smart kwenye uongozi. Jamaa alikuwa ni RAIS wa maono na misimamo.

Waliokatisha uhai wa JPM ni wahuni. Ndani ya TISS kulikuwa na TISS ambayo ilijinasibisha loyal kwa JPM .humo humo wahuni wakatembea na kupitia viongozi wa karibu wa JPM .

Kumbuka kuna watu ndani ya TISS hadi leo hawamkubali diwani, na kuna watu ndani ya Jeshi hawamkubali Mabeyo. Hizi zote ni team JPM zisizokubalika ndani ya vitengo

Ni chain iliyozunguka ndani kwa ndani na ikafanikiwa. Wahuni hao walipokamilisha wakaanza kuua legacy ya JPM kwa kumtumia Kichere, wahuni walishindwa kutangaza hata kifo cha Rais kiheshima.

Wahuni hao hao wakasambaza hadi video za marehemu .

Worst enough, wahuni ambao wengine walikuwa kwenye highest position Kwenye utawala wake publicly anaongea kabjsa kuwa utawala uliopita ndio ulikuwa mmbaya, sio utawala wa awamu ya 6 ; ni aibu and it’s shame kwa manufaa ya nchi.

Kosa kubwa la JPM ni kuwekeza kwenye ulinzi wa gun badala ulinzi wa kisayansi na asilimia kubwa alikuwa amezungukwa na wanafiki.

Naamaanisha hadi VP wake wa kipindi hicho alikuwa ni snitch kwake na alipenyeza mambo mengi sana kwa wahuni ikiwa ni pamoja na weakness point za JPM.

Na ndio maana leo hii anajisahau na kumkana waziwazi na kuuponda utawala ambao yeye ndiyo alikuwa mshauri wake wa karibu sana . Usnitch ni dhambi mbaya na haijawahi kumuacha mtu salama.

Hawa ndio watu waliofanikisha matukio makubwa. Yaani JPM alitakiwa awamu ya pili atoe takataka zote.

Wahuni wameingia madarakani wakaona jamaa alikuwa na Project kubwa nchini na zote zilikuwa zinaenda, wapi alikuwa anapata fedha; hawakuwa na majibu , njia pekee ni tozo na takataka nyingi.

Na miradi ya barabara na mwendokasi inasua sua huku wahuni wanakula pipa na jopo lao , ukipiga cost inakwenda zaid ya B kila trip .

Tunahitaji JPM mwingine , huyu jamaa atakumbukwa tu , miaka 6 but alama ni kubwa za Maendeleo.

Ni suala la Muda , karma is bitch , they will never be happy !
Smart words.
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Kwa sababu alipenda sana kusifiwa. Kukosolewa Kwake lilikuwa jambo baya.
Wananchi wangeambiwa kuhusu ugonjwa wake angekasirika sana.
Hongereni wana wa kusini hakika mlimalizana nae vyema kabisa!
Kusini kuchereeee!!!!
 
kuna sehemu nimeandika Rais aliuawa hadi aliyemuua atafutwe !!

Hii ndio sababu naonelea Jf ibakie na tag ya "Where we dare to talk openly" maana hii inaruhusu watu kuongea ongea kama unavyotaka , ila ya "home of great thinkers" ishapwaya kama sensitive issue kama hii inajadiliwa bila hard facts kama udaku wa WCB
facts ndio kitu gani? usiishi kwenye misingi ya kihistoria, dunia imebadirika, yaani unataka kuzima fikra za watu kwenye kichaka cha facts?
 
Na GENTAMYCINE naomba Kumjua huyu Mtu ( Watu ) ambao walikubaliana kuwa 'Watufiche' Watanzania Kuugua Kwake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Kwani Watanzania tokea tu Kuanza Kuugua Kwake tungetangaziwa Kungeharibika nini hadi tukafichwa Kiasi kile?

Nina uhakika kwa Watanzania jinsi tulivyobarikiwa kuwa ni Watu wa Imani za Kimaombi kwa Mwenyezi Mungu huku na Sisi wengine akina GENTAMYCINE tukiwa ni Watu wa kuamini Mizimu yangu ya Kizanaki, Kisimbiti, Kimakuwa na Kiyao kwa pamoja tungemuombea na angepona ili aendelee Kupiga Kazi na kutuongozea vyema Tanzania yetu iliyokuwa inaanza kwenda vyema tofauti na inavyoanza kurudi nyuma tena sasa.

Tukielekea Kumaliza huu Mwaka wa 2021 GENTAMYCINE sitaki kuwa Mnafiki na kukaa nalo Moyoni hili na leo bila Uwoga nasema Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuondoka Mwenyewe bali Kalazimishwa kuondoka, ila naamini ipo Siku tu isiyo na Jina ukweli utajulikana.

Namalizia huu Uzi wangu kwa Kuuliza mara nyingine tena ni kwanini Watanzania tulifichwa Kuugua kwa Rais Hayati Dkt. Magufuli? Na lengo Kuu la Kutuficha lilikuwa ni nini? Kwani tungetangaziwa mapema kuhusu Kuugua Kwake tungeharibu Mpango gani uliokuwa Gizani dhidi yake hili Jembe la uhakika?

Nayasubiri tu majibu yenu ya uhakika!!!

Mora amagh’ana ghaho kumbe ole umisimbete…
 
Kifo cha Magufuri kilikuwa engineered na wamerakani kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa CCM na serikali na baadhi ya wapinzani..ndo maana wakati amelazwa wapinzani walianza kutoa taarifa
Inasemekana taarifa za kulazwa kwake ziliwafikia wazungu mapema mno ndani ya saa chache tu, huwenda alipigwa aerosol poisoining taratibu ilikuwa inammaliza hadi pale alipo collapse
 
Ndo mkakati wenu Bahima Empire sio?

Unadhani ni rahisi sana kutengeneza ya Rwanda Genocide hapa Tanzania kirahisi ivyo?

Mtaendelea sana kutunga huo upuuzi wenu ila hamtafika popote!

Hakuna aliyeidharau corona na akabaki salama! Deportivo la corunia inapenda sana wakorofi wa wabishi, na magufuli na Nkurunziza ni wamojawapo.

Hizo nadharia zako rudi nazo kwenu Rwanda Bahima Empire wewe
Hili genge ni la hatari sana,sijui kwanini tiss Inajifanya haioni kuwa CCM imetekwa na hao bahima .Mtu kama huyo GENT unamuona kabisa sio CCM wale wenye utii hata kwa mazuzu
 
Gentamicin is an antibiotic au ? Then hii mada ilitakiwa iende Intelligence ni mada nzito sana.

Pamoja na yote, but JPM alikuwa anawakilisha hisia za Watanzania wengi sana and he was smart kwenye uongozi. Jamaa alikuwa ni RAIS wa maono na misimamo.

Waliokatisha uhai wa JPM ni wahuni. Ndani ya TISS kulikuwa na TISS ambayo ilijinasibisha loyal kwa JPM .humo humo wahuni wakatembea na kupitia viongozi wa karibu wa JPM .

Kumbuka kuna watu ndani ya TISS hadi leo hawamkubali diwani, na kuna watu ndani ya Jeshi hawamkubali Mabeyo. Hizi zote ni team JPM zisizokubalika ndani ya vitengo

Ni chain iliyozunguka ndani kwa ndani na ikafanikiwa. Wahuni hao walipokamilisha wakaanza kuua legacy ya JPM kwa kumtumia Kichere, wahuni walishindwa kutangaza hata kifo cha Rais kiheshima.

Wahuni hao hao wakasambaza hadi video za marehemu .

Worst enough, wahuni ambao wengine walikuwa kwenye highest position Kwenye utawala wake publicly anaongea kabjsa kuwa utawala uliopita ndio ulikuwa mmbaya, sio utawala wa awamu ya 6 ; ni aibu and it’s shame kwa manufaa ya nchi.

Kosa kubwa la JPM ni kuwekeza kwenye ulinzi wa gun badala ulinzi wa kisayansi na asilimia kubwa alikuwa amezungukwa na wanafiki.

Naamaanisha hadi VP wake wa kipindi hicho alikuwa ni snitch kwake na alipenyeza mambo mengi sana kwa wahuni ikiwa ni pamoja na weakness point za JPM.

Na ndio maana leo hii anajisahau na kumkana waziwazi na kuuponda utawala ambao yeye ndiyo alikuwa mshauri wake wa karibu sana . Usnitch ni dhambi mbaya na haijawahi kumuacha mtu salama.

Hawa ndio watu waliofanikisha matukio makubwa. Yaani JPM alitakiwa awamu ya pili atoe takataka zote.

Wahuni wameingia madarakani wakaona jamaa alikuwa na Project kubwa nchini na zote zilikuwa zinaenda, wapi alikuwa anapata fedha; hawakuwa na majibu , njia pekee ni tozo na takataka nyingi.

Na miradi ya barabara na mwendokasi inasua sua huku wahuni wanakula pipa na jopo lao , ukipiga cost inakwenda zaid ya B kila trip .

Tunahitaji JPM mwingine , huyu jamaa atakumbukwa tu , miaka 6 but alama ni kubwa za Maendeleo.

Ni suala la Muda , karma is bitch , they will never be happy !
Pambaf wewe, aidha ulikuwa uko TRA au Task Force ya kupora wananchi pamoja na vile vitengo vya kutaifisha mali za wafanyabiashara.
Mlifaidika sana na uharamia wa Awamu ya 5.
Miradi ya SGR ilikuwa inasuasua hata kabka ya JPM kwenda alikokwenda.
Mishahara na increments zilikuwa shida.
Watu zaidi ya 4000 wamefukuzwa na hela yao kuchukuliwa, ati hawana vyeti.
Angekuwepo leo JPM, nchi ingekuwa imeshapiga magoti.
 
Acha unaa!

Aliyeficha kuugua kwa Magufuli ni Magufuli mwenyewe, na alikimbilia Chato.

Sasa ulitaka nani atangaze kuwa anaugua?

Magufuli alikuwa na faili Milembe, aliwahi kukutangazia?
Wewe ni mwehu, hope unafurahia Hayati kufariki maana unajua fika utalipwa fidia katika kiwanja chako cha bagamoyo kupisha upanuzi wa bandari. Ila ukweli ni kwamba mambo ndio kwanza yameanza..
 
Wewe ni mwehu, hope unafurahia Hayati kufariki maana unajua fika utalipwa fidia katika kiwanja chako cha bagamoyo kupisha upanuzi wa bandari. Ila ukweli ni kwamba mambo ndio kwanza yameanza..
Mliofaidika na uporaji wa Mwendazake mjue kuwa uharamia una mwisho.
Kwani mnafikiri hatufahamu mahekalu mlyojenga kwa kupora Bureu De Change, Akaunti za watu benki, Viwanja na majumba, upendeleo wa miradi, teuzi za ndugu.
Uuaji uliotekelezwa na wasiojulikana.
Utafika muda tutatajana tu kwa majina.
 
Back
Top Bottom