Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Na nyingine hazina namba kabisa
 

Attachments

  • IMG_20240928_104714_060.jpg
    IMG_20240928_104714_060.jpg
    447.4 KB · Views: 3
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Ni vile hamjui kuwa magaidi huogopa kufanyiwa ugaidi
 
Si kila cheo kina mamlaka ya kupeperusha bendera ndo maana plate no inatumika kuonyesha ni mtu gani aliyebebwa na ana mamlaka gani.

Refer tukio la Nape.
Alivyoenguliwa akiwa mlimani city gari ileilibidi usiku ule ule irudi wizarani dodoma lakini ikiwa na plate no za kawaida sababu hapakuwa na waziri tena
Pokeeni ushauri,acheni kuona ninyi ni vichwa,panapohitaji mabadiriko fanyeni mabadiriko.

Kwani magari ya serikali yakipokelewa yakapewa namba za serikali moja kwa moja kuna shida gani?
kama issue ni kutaka kujua nchi imeingiza au ina magari mangapi ni kuchukua idadi ya yanayomilikiwa na serikali ukaongeza uliyoyasajiri kwa namba za kawaida.
Ila kama ni ule mfumo wa mbuzi kula kwa kamba yake hapo nitaelewa,lakini kusema hili lipo kwa manufaa ya nchi nakataa mpaka kesho.
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Watakuambia acha unoko. Unafikiri watafanya vipi mambo yao ya chobingo.
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?

Kama ni mzoefu barabarani, hebu jiulize ni kwanini hao madereva wa magari ya serikali huwa hawaheshimu sheria. unakuta kuna foleni , taa zimewaka yeye anakuja anakatiza. Cha kushangaza traffic wala hawachukui hatua. Yaani ni kwamba jamaa wana sheria zao tofauti na raia.
Mimi ningekuwa Rais, yaani kuongozi, waziri ambaye gari yake inakiuka sheria za bara barani na yeye yumo ndani, basi hana kazi.
Hii iko mpaka kwa magari ya majaji wetu ambao ndio husimamia sheria, acha wabunge na mawaziri.
Yaani ni nuchafu mtupu.
Akikugonga au kufanya kosa lolote ana badirisha namba hujui ni nani.
 
Huw
1. Kwahiyo ukibadilisha plate namba unaruhusiwa kubaki na ya zaman ikiwa inasoma usajili?
2. Kwanini magari ya serikali yakipigwa mnada ukilinunua unapewa usajili mpya namba mpya?
Huwezi kupewa namba ile ya mwanzo... coz usajili wake ni wa kiserikali. Lazma tujue kila gari la serikali husajiliwa kwa namba mbili purposely
 
Huw

Huwezi kupewa namba ile ya mwanzo... coz usajili wake ni wa kiserikali. Lazma tujue kila gari la serikali husajiliwa kwa namba mbili purposely
Kwann namba hizo feki ukiangalia kwrnye usajili zinasoma majina ya watu binafsi ambao ni feki, yaani namba iko kwenye landcruser usajili unasoma toyota CAMI?
 
Kama ni mzoefu barabarani, hebu jiulize ni kwanini hao madereva wa magari ya serikali huwa hawaheshimu sheria. unakuta kuna foleni , taa zimewaka yeye anakuja anakatiza. Cha kushangaza traffic wala hawachukui hatua. Yaani ni kwamba jamaa wana sheria zao tofauti na raia.
Mimi ningekuwa Rais, yaani kuongozi, waziri ambaye gari yake inakiuka sheria za bara barani na yeye yumo ndani, basi hana kazi.
Hii iko mpaka kwa magari ya majaji wetu ambao ndio husimamia sheria, acha wabunge na mawaziri.
Yaani ni nuchafu mtupu.
Akikugonga au kufanya kosa lolote ana badirisha namba hujui ni nani.
Shangaa
 
Kweli. Likitokea tatizo mfano ajali, tutaanzia wapi kureport.

Kuna watu wanajiona miungu watu, bila huruma wala nn wanabandika kwa clippers flani izo number plate.

Usalama wa viongozi na mali za Serikali unalindwa na watu maalum.

Siyo lazima kujua kiongozi kapanda gari ipi, na siyo kazi ya kila mtu bali watu maalum.
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Ndio umejibu nini ? STL na etc maana yake nini kwanzi pale inapoanza kutuma
 
Elimu elimu elimu

Shida ya wabongo huwa hawana tabia ya kuuliza vitu yeye akishashiba ugali wake,mpe kichwa cha habari tu story nzima ataimaliza yeye.

Gari zote za serikali huja na namba za kiraia kupitia wizara ya ujenzi kisha namba hizo husajiliwa tena kwenye taasisi/wizara husika kwa namba husika.

Swala la kubadili namba limeruhusiwa kisheria endapo mhusika/mwenye cheo mfano mkuu wa mkoa hayumo ndani ya hyo gari hivyo dereva hutakiwa kubadili namba na kuweka namba iliyokuja na gari ama namba inayotambulika na ofisi.

Na pindi mhusika anapopanda plate namba yenye cheo chake huwekwa kwenye gari husika kutambulisha ni gari ambayo imembeba fulani.

Japo mfumo huo ni tofauti kidogo na jeshi au polisi ambako wao huwa hawaweki namba za kiraia bali za jeshi then mhusika anapopanda huwekwa initial kama nyota nk ili kutambulisha kwenye gari kuna fulani
Hichi kitu sio sahihi, ni uongo kwa 100%.
Kila gari (haijarishi ya binafsi, jeshi, serikali) huwa na usajiri wa namba moja tu katika wakati mmoja, gari moja haiwezi na haipaswi kuwa na namba mbili za usajiri kwa wakati mmoja.

Kama gari ilikuwa ya serikali halafu umiliki ukahamia binafsi, ile namba ya awali ya usajiri ya serikali hufa ili kuzaliwa namba mpya ya binafsi, na haitafufuka tena. Vice versa ni sawa.

Kinachoweza kubadilika katika gari za serikali ni vibao vya utambulisho ili kuficha vibao vya namba husika. Kwa mfano gari yoyote ya serikali inaweza kutolewa kibao cha namba ya asili (mfano STH 892) ili kuwekwa kibao chenye utambulisho wa ufupisho kwa viongozi wa juu mfano waziri, naibu waziri, makamu wa rais, waziri mkuu nk. Na wahusika wakiwa hawajabebwa kwenye hayo magari na hayo magari kwenda kutumika kwa shughuli zingine vibao vya utambulisho wa viongozi hung'olewa na namba halisi (asili) za serikali (STK, STJ, STH) kwa gari husika hurejeshwa. Lakini kamwe hauruhusiwi gari ya serikali kuwekwa namba binafsi. Ni uhalifu. Ni mchezo mchafu umeanza kuzoeleka katika jamii yetu. Haipaswi.
 
Back
Top Bottom