Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Sio kweli..
Gari za Serikali husajiliwa direct kwa namba za Serikali (ST) kwa Serikali Kuu, (SM) kwa Local Gvt, (SU) kwa mashirika ya Umma, yale ya majeshi (JW, UT, PT, MT) na (DFP) kwa miradi/NGO zenye ubia na Serikali. Hakuna double registration. Hizo namba za kiraia zinapachikwa tu kuficha Identity kwa sababu maalum. Hata zile za W, NW, S nk.. zinakuwa ni ST then zinabatizwa tu pale zinapowabeba viongozi hao.
 
Hichi kitu sio sahihi, ni uongo kwa 100%.
Kila gari (haijarishi ya binafsi, jeshi, serikali) huwa na usajiri wa namba moja tu katika wakati mmoja, gari moja haiwezi na haipaswi kuwa na namba mbili za usajiri kwa wakati mmoja.

Kama gari ilikuwa ya serikali halafu umiliki ukahamia binafsi, ile namba ya awali ya usajiri ya serikali hufa ili kuzaliwa namba mpya ya binafsi, na haitafufuka tena. Vice versa ni sawa.

Kinachoweza kubadilika katika gari za serikali ni vibao vya utambulisho ili kuficha vibao vya namba husika. Kwa mfano gari yoyote ya serikali inaweza kutolewa kibao cha namba ya asili (mfano STH 892) ili kuwekwa kibao chenye utambulisho wa ufupisho kwa viongozi wa juu mfano waziri, naibu waziri, makamu wa rais, waziri mkuu nk. Na wahusika wakiwa hawajabebwa kwenye hayo magari na hayo magari kwenda kutumika kwa shughuli zingine vibao vya utambulisho wa viongozi hung'olewa na namba halisi (asili) za serikali (STK, STJ, STH) kwa gari husika hurejeshwa. Lakini kamwe hauruhusiwi gari ya serikali kuwekwa namba binafsi. Ni uhalifu. Ni mchezo mchafu umeanza kuzoeleka katika jamii yetu. Haipaswi.
Asante sana kwa maelezo yaliyonyoooka sana!
Sasa hili jambo polisi wa usalama barabarani mbona wamelifumbia macho?

Kamanda wa usalama barabarani bara na visiwani mbona hasemi chochote? Nani aliyebariki huo uharifu kuwa halali kila dereva kuwa na namba mbilimbili za mchongo
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Je zote zinatakiwa kutumika, au ikishanunuliwa na Serikali, ile ya usajili wa mwanzo hufa?
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Ungekuwa Mshauri wa Masuala ya Usalama kwa Viongozi wa Taifa unadhani hili ni sawa ama si sawa? Kwa upande wa mtazamo fulani unaona ni kitu kibaya lakini kwa upande wa mtazamo wa Nje hii ni SALAMA zaidi. Uwe na uhakika hata hapo kitaani kwako Baadhi ya gari zinazokuwa kwenye msafara wa viongozi wa kitaifa pengine zinapitaga na kupaki sana. Ila tuu huwezi zingatia kwa wakati huo kutokana na kubadilishiwa Number Plate.
 
Ungekuwa Mshauri wa Masuala ya Usalama kwa Viongozi wa Taifa unadhani hili ni sawa ama si sawa? Kwa upande wa mtazamo fulani unaona ni kitu kibaya lakini kwa upande wa mtazamo wa Nje hii ni SALAMA zaidi. Uwe na uhakika hata hapo kitaani kwako Baadhi ya gari zinazokuwa kwenye msafara wa viongozi wa kitaifa pengine zinapitaga na kupaki sana. Ila tuu huwezi zingatia kwa wakati huo kutokana na kubadilishiwa Number Plate.
Aliyekwambia viongozi hawako salama.nani? Ujuaji tu
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Unataka wakitoka kugawana mikopo uwakabe? Utakesha barabarani.
 
Aliyekwambia viongozi hawako salama.nani? Ujuaji tu
NIlishawahi kuona Magari matatu maeneo ya Mbande ambayo yanatumika kwenye msafara wa Rais yakiwa njiani kurejea Dsm. Lakini kwa wakati huo yalikuwa na Number Plates za kiraia na zilikuwa mwendo wa kawaida. Kiasi kwamba si rahisi mtu kuzizingatia na hii husaidia kuepusha njama ovu pindi yakiwa hayajabeba viongozi.
 
Hili jambo liliwahi kuongelewa na Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi baada ya taasisi fulani fulani kuamua kusajili kwa namba binafsi(za kiraia) ndipo akaamuru gari zote za serikali lazima kwanza zisajiliwe kwa namba za serikali na baada ya hapo ndipo zile taasisi zinazohitaji kuficha utambulisho wa magari yao ili kurahisisha utendaji kazi/shughuli zao wanaweza kusajili namba za kiraia lakini namba halisi zinakuwa ni zile za serikali.
 
NIlishawahi kuona Magari matatu maeneo ya Mbande ambayo yanatumika kwenye msafara wa Rais yakiwa njiani kurejea Dsm. Lakini kwa wakati huo yalikuwa na Number Plates za kiraia na zilikuwa mwendo wa kawaida. Kiasi kwamba si rahisi mtu kuzizingatia na hii husaidia kuepusha njama ovu pindi yakiwa hayajabeba viongozi.
Ujuaji mwingi usiokuwa na tija
 
NIlishawahi kuona Magari matatu maeneo ya Mbande ambayo yanatumika kwenye msafara wa Rais yakiwa njiani kurejea Dsm. Lakini kwa wakati huo yalikuwa na Number Plates za kiraia na zilikuwa mwendo wa kawaida. Kiasi kwamba si rahisi mtu kuzizingatia na hii husaidia kuepusha njama ovu pindi yakiwa hayajabeba viongozi.
Gari za viongozi si rahisi kukosa pesa.
 
Hichi kitu sio sahihi, ni uongo kwa 100%.
Kila gari (haijarishi ya binafsi, jeshi, serikali) huwa na usajiri wa namba moja tu katika wakati mmoja, gari moja haiwezi na haipaswi kuwa na namba mbili za usajiri kwa wakati mmoja.

Kama gari ilikuwa ya serikali halafu umiliki ukahamia binafsi, ile namba ya awali ya usajiri ya serikali hufa ili kuzaliwa namba mpya ya binafsi, na haitafufuka tena. Vice versa ni sawa.

Kinachoweza kubadilika katika gari za serikali ni vibao vya utambulisho ili kuficha vibao vya namba husika. Kwa mfano gari yoyote ya serikali inaweza kutolewa kibao cha namba ya asili (mfano STH 892) ili kuwekwa kibao chenye utambulisho wa ufupisho kwa viongozi wa juu mfano waziri, naibu waziri, makamu wa rais, waziri mkuu nk. Na wahusika wakiwa hawajabebwa kwenye hayo magari na hayo magari kwenda kutumika kwa shughuli zingine vibao vya utambulisho wa viongozi hung'olewa na namba halisi (asili) za serikali (STK, STJ, STH) kwa gari husika hurejeshwa. Lakini kamwe hauruhusiwi gari ya serikali kuwekwa namba binafsi. Ni uhalifu. Ni mchezo mchafu umeanza kuzoeleka katika jamii yetu. Haipaswi.
Nimeambua kitu hapa
 
Asilimia 90 ya magari hasa mashangingi ya serikali yana namba mbili mbili?

Yaani ni hivi namba Moja utakuta inasoma vizuri tu STL/SU/W/NW/DFPA n.k lakini ukitazama kuna namba nyingine FEKI huwa inafichwa na kutumika kwenye gari ile ile ikisomeka kwa namba za kawaida kama magari mengine T ....AKZ / BPA/ CAG/DAF n.k

Serikali ituambie imebariki mambo hayo ya kihuni kwa faida gani?

Je sheria ya usalama barabarani inatambua matumizi ya namba mbili kwenye gari moja?

Katika mpango wa kupunguza utekaji na matumizi mabaya ya mafuta magari ya serikali; TAMISEMI haioni ni wakati sahihi kuyapaka rangi za taasisi kulingana na nembo zao?
Yanatumika pia Kutekea Wakosoaji
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Angalieni hii ng'ombe
 
Back
Top Bottom