Huyu wa diploma hana mkato ya NHIF na cwt?Hapana mkuu sio kweli
mwalimu mpya mwenye shahada anaanza na ngazi ya mshahara ya daraja D sawa na 716,000(basic). Baada ya deductions zote kuanzia cwt,nhif, heslb nakadhalika karibia nusu ya mshahara wote hurudi serikalini na hivyo kufanya mishahara yao kukaribiana kabisa na mishahara ya walimu wenye diploma. Kama ni kutofautiana wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana kisichozidi 50,000.
Sasa huo mshahara mkubwa unaosema ni upi mkuu?
Sio kweli mkuu labda kama unazungumzia basic salary. Take home ya mwl degree holder ni laki nne na points. Baada ya serikali kushusha paye ndo angalau wanachukua kilaki tano lakini bado hiachani sana na mshahara wa mwl mwenye diploma..Mshahara wa mwalimu wa degree unazidi kiasi ulichokitaja.
Unapozungumzia mshahara wa mtu unakuwa unazungumzia basic salary na siyo take home. Take home inategemea kati ya mtu na mtu kadiri ya makato yake na madeni aliyo nayo. Hata hivyo,basic salary inazidi 720,000/= uliyoitaja wewe.Sio kweli mkuu labda kama unazungumzia basic salary. Take home ya mwl degree holder ni laki nne na points. Baada ya serikali kushusha paye ndo angalau wanachukua kilaki tano lakini bado hiachani sana na mshahara wa mwl mwenye diploma..
Bado haupo sahihi Mkuu! Siyo vizuri kubahatisha mambo. Weka hiyo salary slip niione.Mkuu mbona unapinga ilikhali hujui kile unachopinga? Mshahara Wa Mwalimu Wa degree anayeanza kaxi kwa sasa ni D1 ambao ni almost 716,00O wakati huo D2 ni almost 740,000 na kuendelea,au unataka nikuwekee salary slip hapa ndo uamini?
We we utakuwa na lako jamboBado haupo sahihi Mkuu! Siyo vizuri kubahatisha mambo. Weka hiyo salary slip niione.
Mkuu, mwl mwenye degree anaandaliwa kufundisha wanafunzi wa ngazi zote kuanzia O'level, advance na vyuo vya kati kwahiyo kusema wanatakiwa kufundisha Advance tu sio kweli ni uongo na upotoshaji.Kuna shule ngapi za msingi- walimu wa cheti
Kuna shule ngapi za o-level- walimu wa diploma
Kuna shule ngapi za a-level- walimu wenye digrii.
Ndugu mwalimu mleta uzi hapa kinachoangaliwa ni allocation ya walimu kutokana na uhitaji. Equity not equality. Huwezi kuajiri walimu wenye degree wengi sawa na wenye cheti wakati shule za sekondari ya juu ni chache na wanafunzi ni wachache kuliko shule za msingi
Kwani mnajitoa ufahamu waziwazi.Da!!!!Eti eeeee....
Sawa,tufanye umeshinda.Kwani mnajitoa ufahamu waziwazi.Da!!!!
Nadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.We we utakuwa na lako jamboView attachment 1663945
Acha ubishi wewe , mshahara Wa D1 ni 7160,000 ukikataa naweka hapa salary slip,I think your are not fine in your headNadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.
Nikukumbushe tu kuwa wewe ulisema kwamba, mashahara hauzidi 720,000/= wakati hapo Kuna 733,000/=. Wakati mwingine kuwa makini Mkuu, hata hivyo nakutakia heri ya mwaka mpya Mwalimu, au rafiki wa Mwalimu.
mshaharaKuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.
Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.
Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.
Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).
Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.
Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?
Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?
Kwani hiyo mikopo wameambiwa walipe kabla ya kupata Ajira ?Kuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.
Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.
Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.
Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).
Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.
Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?
Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?
Walimu wa arts hawahitajikiHiyo ilikuwa zamani mkuu...
Kwa sasa wenye degree wapo wengi sana wanaweza kuwapita hata wenye diploma. Mf. Chuo kimoja tu cha Dar (udsm) kinazalisha zaidi ya walimu 2000 kwa mwaka lakini kati ya hao wanaopata fursa za ajira ni chini ya walimu 500 Wengine zaidi ya 1500 wanaachwa. Kwa muktadha kama huo huwezi kusema ratio iko sawa sawa ikiwa idadi ya waajiriwa ni ndogo mara dufu ya idadi ya wanaoachwa...
sio kweli mwajiriwa mpya ananza na D1Nadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.
Nikukumbushe tu kuwa wewe ulisema kwamba, mashahara hauzidi 720,000/= wakati hapo Kuna 733,000/=. Wakati mwingine kuwa makini Mkuu, hata hivyo nakutakia heri ya mwaka mpya Mwalimu, au rafiki wa Mwalimu.
Nani Amelipa ambaye hana Ajira rasmiNdivyo wanavyodai kwamba makubaliano ni kulipa hata kama huna ajira rasmi
Kwamba walimu wenye shahada hawaandaliwi vema au unataka kumaanisha nini hapa?Kitu ambacho hamjakigusa.
Sababu inaweza kuwa namna walimu hawa wanavyoandaliwa.
Namna wanavyoandaliwa walimu ngazi ya cheti na stashahada ni sawa. Lakini kwa ngazi ya shahada kuna utofauti mkubwa.