Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

Hii hali inakatisha tamaa hata kuomba ajira! Labda kwakuwa utawala umebadilika ngoja tuone mama Atakuja na yapi!
 
Upo sahihi Mkuu.
 
Jibu lako ni hili hapa.

Walimu hao wenye degree ni wachache ukilinganisha na wenye certificate na ndio maana katika kuajiri utaona wao wachache kwa idadi ila kwenye ratio ni sawasawa tu...

Watu wanabwabwaja tu.
Mmhhh!!!, Sidhani
 
Unatugeuza fursa sasa

Tumepigwa na govt. na sasa unakuja na motivation speech zako

Mtuache jamani
 
Unatugeuza fursa sasa

Tumepigwa na govt. na sasa unakuja na motivation speech zako

Mtuache jamani
Mkuu BADO naendelea kuwaandalia.....chakula ya ubongo nyinyi vijana....

Kikubwa ni kuwapa experience jinsi unavyo weza na mimi nilivyo weza ku climb all the mountains & kicking the ODDS in my life.....
 
Unatugeuza fursa sasa

Tumepigwa na govt. na sasa unakuja na motivation speech zako

Mtuache jamani
Anaboa na hizo speech zake na usikute ni mwajiriwa wa serikali lakini kwakuwa yupo nyuma ya ID fake ana bwata kinoma
 
Sio kivileeeee!!!![emoji23][emoji23]
Kimsingi walimu wanatakiwa kuwa na degree, hao wenye certificate na diploma ni walimu wasaidizi na hii haijalishi shule ya msingi au sekondari.....sasa serikali badala ya kuajiri walimu, inakomaa kujaza walimu wasaidizi ili kukwepa kulipa mishahara mikubwa, jambo ambalo linadidimiza elimu...
 
Haya yalisababishwa na mwendazake lakini kikwete hadi anatoka madarakani aliacha akiwa ameweka mfumo mzuri wa kuajiri walimu wote bila ubaguzi wa kielimu au upendeleo
 
Elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili kuzalisha wataalam watakao tumia usomi wao kuendeleza miradi mikubwa ya nchi na kutumia raslimali zetu wenyewe badala ya kuzitapanya kwenda nje ya nchi. lakini yote haya yatabaki kuwa ndoto kama tutaendelea kukumbatia elimu na ualimu wa cheti ambao kimsingi hautambuliki duniani
 
Sina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?
 
Sina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?
Uwezo mkubwa upi unaoongelea, huo uwezo mkubwa ni kwenye ngazi yao ya elimu......vinginevyo degree, Masters na PhD zingeondolewa kwa sababu wenye certificate tayari wana uwezo mkubwa, acha kujifariji nenda shule...
 
Sina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?
Ulichosahau ni kwamba huo uwezo mkubwa walionao walimu wa cheti na diploma unatokana na kunolewa vyema vyuoni na walimu wenye degree
 
Uwezo mkubwa upi unaoongelea, huo uwezo mkubwa ni kwenye ngazi yao ya elimu......vinginevyo degree, Masters na PhD zingeondolewa kwa sababu wenye certificate tayari wana uwezo mkubwa, acha kujifariji nenda shule...
Mimi sio mwalimu
 
Serikali haitaki wasomi wazuri,Ili msiende kuwasumbua viongozi.
Inataka vilaza wenye Elimu ya kuunga unga,Ili iwaperekeshe kama bendela,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…