Kwanini sijaonekana kwenye picha za Iftar ya Ikulu siku ya Jana. Nimechukia sana

Kwanini sijaonekana kwenye picha za Iftar ya Ikulu siku ya Jana. Nimechukia sana

Kwema Wakuu!

Sisi wengine ni Watu wa misifa, Watu wa mitandaoni, Watu wa kujionyesha, Watu wa kujimwambafai tukio kama la jana kwangu lingeniongezea Credit muhimu sana.

Kutokuonekana inamaamisha sikuwepo ama? Kutokuonekana kwenye picha yoyote au video yoyote ya tukio inamaanisha sikuhudhuria ama! Wachukua Kamera mnieleze kwa nini hamkunichukua kwenye Rekodi? Why? Kwamba hamkuniona Ama! Kwamba hamkutaka Watu ambao hawakuhudhuria wasijue nilialikwa Ama!

Kwa ambao hamkuwepo, nilivalia Kanzu yangu safi kabisa ambayo niliinunua Pale Magomeni, mahususi kwaajili ya mwaliko wa heshima wa Iftar. Ilikuwa Kanzu ya Kahawia yenye udarizi mweusi kwenye Kola na sehemu ya vifungo ingawaje haikuwa na vifungo.

Nilinunua pia Sendo nzuri ambazo muuzaji alinijuza zimetokea Uturuki. Kichwani nikanyoa vizuri. Ni kweli nilipendeza na nilifanania mwaliko wa Ikulu.

Nisingepanda Daladala kwa namna ile. Nilikuwa nimependeza na ninanukia marashi mazuri na manukato ya mafuta aghali. Nikachukua Bolt, huyo mpaka kwenye mwaliko.

Kukata Stori isiwe ndefu kwani bado nina Kwikwi za hasira. Vile nimependeza, vile nilivyokuwa natembea kitasha, vile nilivyokuwa nimebeba chakula na ninakula chakula kidizaini na kistaa hivi hakuna mchukua kamera yeyote aliyenibahatisha kuniona?

Humu mtandaoni Watu watahitaji ushahidi. Kule nako sikuruhusiwa kuchukua Kamera. Sasa nitatamba vipi ndugu zanguni? Inamaana hapa sina tofauti na mtu ambaye hakupata Mwaliko.

Mwenye picha yangu nikiwa kwenye mwaliko tafadhali ninaomba. Masuala ya kusema tulikutana wenye uwezo kwenye Iftar na iftar inatakiwa Watu wasio na uwezo hayo tuachane nayo kwanza.

Taikon wa Fasihi
Dar es Salaam
Nyie ndo mlienda kumaliza food tu ikulu😄😄😄
Kwani hujui hadi picha inataka connection
 
Kwema Wakuu!

Sisi wengine ni Watu wa misifa, Watu wa mitandaoni, Watu wa kujionyesha, Watu wa kujimwambafai tukio kama la jana kwangu lingeniongezea Credit muhimu sana.

Kutokuonekana inamaamisha sikuwepo ama? Kutokuonekana kwenye picha yoyote au video yoyote ya tukio inamaanisha sikuhudhuria ama! Wachukua Kamera mnieleze kwa nini hamkunichukua kwenye Rekodi? Why? Kwamba hamkuniona Ama! Kwamba hamkutaka Watu ambao hawakuhudhuria wasijue nilialikwa Ama!

Kwa ambao hamkuwepo, nilivalia Kanzu yangu safi kabisa ambayo niliinunua Pale Magomeni, mahususi kwaajili ya mwaliko wa heshima wa Iftar. Ilikuwa Kanzu ya Kahawia yenye udarizi mweusi kwenye Kola na sehemu ya vifungo ingawaje haikuwa na vifungo.

Nilinunua pia Sendo nzuri ambazo muuzaji alinijuza zimetokea Uturuki. Kichwani nikanyoa vizuri. Ni kweli nilipendeza na nilifanania mwaliko wa Ikulu.

Nisingepanda Daladala kwa namna ile. Nilikuwa nimependeza na ninanukia marashi mazuri na manukato ya mafuta aghali. Nikachukua Bolt, huyo mpaka kwenye mwaliko.

Kukata Stori isiwe ndefu kwani bado nina Kwikwi za hasira. Vile nimependeza, vile nilivyokuwa natembea kitasha, vile nilivyokuwa nimebeba chakula na ninakula chakula kidizaini na kistaa hivi hakuna mchukua kamera yeyote aliyenibahatisha kuniona?

Humu mtandaoni Watu watahitaji ushahidi. Kule nako sikuruhusiwa kuchukua Kamera. Sasa nitatamba vipi ndugu zanguni? Inamaana hapa sina tofauti na mtu ambaye hakupata Mwaliko.

Mwenye picha yangu nikiwa kwenye mwaliko tafadhali ninaomba. Masuala ya kusema tulikutana wenye uwezo kwenye Iftar na iftar inatakiwa Watu wasio na uwezo hayo tuachane nayo kwanza.

Taikon wa Fasihi
Dar es Salaam
Ulikaa karibu na njia ya kuelekea maliwato, nani angekuona?
 
Kwema Wakuu!

Sisi wengine ni Watu wa misifa, Watu wa mitandaoni, Watu wa kujionyesha, Watu wa kujimwambafai tukio kama la jana kwangu lingeniongezea Credit muhimu sana.

Kutokuonekana inamaamisha sikuwepo ama? Kutokuonekana kwenye picha yoyote au video yoyote ya tukio inamaanisha sikuhudhuria ama! Wachukua Kamera mnieleze kwa nini hamkunichukua kwenye Rekodi? Why? Kwamba hamkuniona Ama! Kwamba hamkutaka Watu ambao hawakuhudhuria wasijue nilialikwa Ama!

Kwa ambao hamkuwepo, nilivalia Kanzu yangu safi kabisa ambayo niliinunua Pale Magomeni, mahususi kwaajili ya mwaliko wa heshima wa Iftar. Ilikuwa Kanzu ya Kahawia yenye udarizi mweusi kwenye Kola na sehemu ya vifungo ingawaje haikuwa na vifungo.

Nilinunua pia Sendo nzuri ambazo muuzaji alinijuza zimetokea Uturuki. Kichwani nikanyoa vizuri. Ni kweli nilipendeza na nilifanania mwaliko wa Ikulu.

Nisingepanda Daladala kwa namna ile. Nilikuwa nimependeza na ninanukia marashi mazuri na manukato ya mafuta aghali. Nikachukua Bolt, huyo mpaka kwenye mwaliko.

Kukata Stori isiwe ndefu kwani bado nina Kwikwi za hasira. Vile nimependeza, vile nilivyokuwa natembea kitasha, vile nilivyokuwa nimebeba chakula na ninakula chakula kidizaini na kistaa hivi hakuna mchukua kamera yeyote aliyenibahatisha kuniona?

Humu mtandaoni Watu watahitaji ushahidi. Kule nako sikuruhusiwa kuchukua Kamera. Sasa nitatamba vipi ndugu zanguni? Inamaana hapa sina tofauti na mtu ambaye hakupata Mwaliko.

Mwenye picha yangu nikiwa kwenye mwaliko tafadhali ninaomba. Masuala ya kusema tulikutana wenye uwezo kwenye Iftar na iftar inatakiwa Watu wasio na uwezo hayo tuachane nayo kwanza.

Taikon wa Fasihi
Dar es Salaam
Wenzio wanamuona camera man mapema, we unajua kuwa unapenda sifa na unataka uonekane alafu ukaenda kujikalia tu bila kumpa taarifa kaka mpiga picha ulitegemea Nini?

Au itakuwa wewe ndo muuza madafu,
 
Kwema Wakuu!

Sisi wengine ni Watu wa misifa, Watu wa mitandaoni, Watu wa kujionyesha, Watu wa kujimwambafai tukio kama la jana kwangu lingeniongezea Credit muhimu sana.

Kutokuonekana inamaamisha sikuwepo ama? Kutokuonekana kwenye picha yoyote au video yoyote ya tukio inamaanisha sikuhudhuria ama! Wachukua Kamera mnieleze kwa nini hamkunichukua kwenye Rekodi? Why? Kwamba hamkuniona Ama! Kwamba hamkutaka Watu ambao hawakuhudhuria wasijue nilialikwa Ama!

Kwa ambao hamkuwepo, nilivalia Kanzu yangu safi kabisa ambayo niliinunua Pale Magomeni, mahususi kwaajili ya mwaliko wa heshima wa Iftar. Ilikuwa Kanzu ya Kahawia yenye udarizi mweusi kwenye Kola na sehemu ya vifungo ingawaje haikuwa na vifungo.

Nilinunua pia Sendo nzuri ambazo muuzaji alinijuza zimetokea Uturuki. Kichwani nikanyoa vizuri. Ni kweli nilipendeza na nilifanania mwaliko wa Ikulu.

Nisingepanda Daladala kwa namna ile. Nilikuwa nimependeza na ninanukia marashi mazuri na manukato ya mafuta aghali. Nikachukua Bolt, huyo mpaka kwenye mwaliko.

Kukata Stori isiwe ndefu kwani bado nina Kwikwi za hasira. Vile nimependeza, vile nilivyokuwa natembea kitasha, vile nilivyokuwa nimebeba chakula na ninakula chakula kidizaini na kistaa hivi hakuna mchukua kamera yeyote aliyenibahatisha kuniona?

Humu mtandaoni Watu watahitaji ushahidi. Kule nako sikuruhusiwa kuchukua Kamera. Sasa nitatamba vipi ndugu zanguni? Inamaana hapa sina tofauti na mtu ambaye hakupata Mwaliko.

Mwenye picha yangu nikiwa kwenye mwaliko tafadhali ninaomba. Masuala ya kusema tulikutana wenye uwezo kwenye Iftar na iftar inatakiwa Watu wasio na uwezo hayo tuachane nayo kwanza.

Taikon wa Fasihi
Dar es Salaam
Wenzio wanamuona camera man mapema, we unajua kuwa unapenda sifa na unataka uonekane alafu ukaenda kujikalia tu bila kumpa taarifa kaka mpiga picha ulitegemea Nini?

Au itakuwa wewe ndo muuza madafu,
 
Kuna hafla nyingine itafanyika Dodoma kabla ya mwezi kukamilika. Usijali. Wakati huo utapata picha nyingi
 
Wenzio wanamuona camera man mapema, we unajua kuwa unapenda sifa na unataka uonekane alafu ukaenda kujikalia tu bila kumpa taarifa kaka mpiga picha ulitegemea Nini?

Au itakuwa wewe ndo muuza madafu,
Au wengine tukienda kwenye sherehe huwa tunawatumia wale wanaopiga picha Kwa kulipia elfu 2 au 5 Kwa Ile kubwa ilowekwa kwenye frame.
 
Wenzio wanamuona camera man mapema, we unajua kuwa unapenda sifa na unataka uonekane alafu ukaenda kujikalia tu bila kumpa taarifa kaka mpiga picha ulitegemea Nini?

Au itakuwa wewe ndo muuza madafu,

Aiseeh! Umenipa somo kubwa sana
 
Back
Top Bottom