Kwanini sijaonekana kwenye picha za Iftar ya Ikulu siku ya Jana. Nimechukia sana

Hata mimi roho imeniuma sana
Picha zote za jana sijaonekana kabisa.
Labda pozi nililokaa ndio lenye utata
 
Kwanza Twambie Yale Magari ulishapeleka Ripoti?
 
Mi pia nilikuwepo ila watu wote walikua hawanijui nikiwasogelea wananiona naharibu stori zao nikaenda kukaa karibu na jokoni
Harafu hii huwa inatokea ukienda Sherehe za watu wazito ukiamini na wewe unajulikana.

Maajabu sasa unaona watu hawakupi umuhimu wowote.
 
Wewe !!

Haukua mwaliko ule, Bali walikua na mambo yao ambayo uwepo wenu nyie ungesaidia plan kufanikiwa!

Shukuru mungu hukuonekana kwa video shukuru sana! hujui motive behind ya mwaliko wenyewe!!

Mialiko kama hii ndio huzua vilio vya kudumu Kwa baadhi ya watu!!

Nikuulize, Mzee wa kutabasamu alikuwepo!!?
 
Ukiona hivyo ujue huna umuhimu, huna "impact"!
 
Nimemuelewa mwandishi hasa ni paragraph ya mwisho ndio iliyobeba ujumbe , any way pengine hao watu ambao wengi tulitegemea kualikwa wakaalikwa mwisho bado siku 29
 
Hongera kwa mualiko ulioupata wa iftar ikulu....Nyinyi ni watoto wa mama kizimkazi ,na hapa ipo ,ukihitajika utaitwa tena.
 
🤣🤣🤣kwani we ni chawa wa mama?
Wameonekana mainfluenza 🤣wanaomuhakikishia kizmkaz kushinda uchaguz 2025
We walikuona kama maskini wengine ambao hawakualikwa AU
Walidhani umepewa kadi ya mwalikwa aliyepata udhuru🤣🤣
Ongeza kulamba maka.li.o utaonekana soon
 

😂😂
Daah! Walimwengu bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…