Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona timu yako iliruhusu kufungwa na Azam hiyo hiyo kwenye nusu fainali! Si ingekomaa, na hivyo kupata nafasi ya kucheza kwenye fainali ya leo!Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.
Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.
CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.
Kaimu Msemaji was Azam FC Hashim Ibwe night mwana Yanga SC lia lia.
Poleni sana wale mliokuwa mnadhani Azam FC inayomkomalia mno Simba SC leo itamfunga Yanga SC katika Fainali ya ASFC na kuwa Bingwa.
Yanga SC ndiyo Bingwa wa ASFC.
Tate mkuu wewe ni mstaarabu sana ubarikiwe mnoooo mwananchi mwenzanguSasa mbona timu yako iliruhusu kufungwa na Azam hiyo hiyo kwenye nusu fainali! Si ingekomaa, na hivyo kupata nafasi ya kucheza kwenye fainali ya leo!
Huyo jamaa ni takataka trust meKwa mbali nlikua najua huna akili ila nimekuona karibu ndio nimefahamu huna akili kabisa yani hata akili zero huna.
Lile shuti la Sopu lililogonga mwamba aliambiwa na Kally Sio agongeshe mwamba huna ulijualo kubwa jinga kabisa wewe
Mpaka atakapoacha kupost ujingaMwacheni mwenzeu ,,mtamtukana mpaka lini?
Kulikoni leo hujanitukana Matusi yako ya Kunidhalilisha kama ambavyo umekuwa Ukifanya?Mwaka huu utaokota makopo wewe na makolo wenzio
..Yanga bora kabisa ....msimu huu hakuna doubt kabisa- Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.
- Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.
- CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.
- Kaimu Msemaji was Azam FC Hashim Ibwe night mwana Yanga SC lia lia.
Poleni sana wale mliokuwa mnadhani Azam FC inayomkomalia mno Simba SC leo itamfunga Yanga SC katika Fainali ya ASFC na kuwa Bingwa.
Yanga SC ndiyo Bingwa wa ASFC.
Sasa hivi makopo dili labda aokote kondomu zilizotumika afanye maputoKulikoni leo hujanitukana Matusi yako ya Kunidhalilisha kama ambavyo umekuwa Ukifanya?