Kwanini sijapoteza muda wangu kuiangalia Fainali ya ASFC ya Azam FC na Yanga SC?

Kwanini sijapoteza muda wangu kuiangalia Fainali ya ASFC ya Azam FC na Yanga SC?

Kwa mbali nlikua najua huna akili ila nimekuona karibu ndio nimefahamu huna akili kabisa yani hata akili zero huna.
Lile shuti la Sopu lililogonga mwamba aliambiwa na Kally Sio agongeshe mwamba huna ulijualo kubwa jinga kabisa wewe
 
Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.

Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.

CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.

Kaimu Msemaji was Azam FC Hashim Ibwe night mwana Yanga SC lia lia.

Poleni sana wale mliokuwa mnadhani Azam FC inayomkomalia mno Simba SC leo itamfunga Yanga SC katika Fainali ya ASFC na kuwa Bingwa.

Yanga SC ndiyo Bingwa wa ASFC.
Sasa mbona timu yako iliruhusu kufungwa na Azam hiyo hiyo kwenye nusu fainali! Si ingekomaa, na hivyo kupata nafasi ya kucheza kwenye fainali ya leo!
 
Najaribu kulinganisha uzi na namna Azam walivyotukosakosa....haileti maana kabisa
 
Yanga iko bora saba msimu huu .....hata iweje .
- Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.

- Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.

- CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.

- Kaimu Msemaji was Azam FC Hashim Ibwe night mwana Yanga SC lia lia.

Poleni sana wale mliokuwa mnadhani Azam FC inayomkomalia mno Simba SC leo itamfunga Yanga SC katika Fainali ya ASFC na kuwa Bingwa.

Yanga SC ndiyo Bingwa wa ASFC.
..Yanga bora kabisa ....msimu huu hakuna doubt kabisa
 
Back
Top Bottom