matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wamegundua kumbe ni uongo. Anayekwambia ukajilipue yeye hayuko tayari anaendelea kula maisha tu. Unajilipua sababu ya Watawala na familia zao.zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.
Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda
Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?
Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?
Je wamebuni njia mpya?
Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?
Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.
Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
Elimu inasaidia kweli. Maana hata kwenye vitabu vya dini hakuna hayo mambo ya mtu kujilipua akaenda peponi. Ni ujanjaujanja tu wa wanufaika na ugaidi.Wamegundua kumbe ni uongo. Anayekwambia ukajilipue yeye hayuko tayari anaendelea kula maisha tu. Unajilipua sababu ya Watawala na familia zao.
Hahaha ndioElimu inasaidia kweli. Maana hata kwenye vitabu vya dini hakuna hayo mambo ya mtu kujilipua akaenda peponi. Ni ujanjaujanja tu wa wanufaika na ugaidi.
Hayo mambo ya kujilipua ilikuwa ni visasi vya muda .Elimu inasaidia kweli. Maana hata kwenye vitabu vya dini hakuna hayo mambo ya mtu kujilipua akaenda peponi. Ni ujanjaujanja tu wa wanufaika na ugaidi.
Mtu wa kupanga mashambulizi ya hivyo siku hizi hakuna. Alikuwa Osama na Al Qaeda yakezamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.
Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda
Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?
Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?
Je wamebuni njia mpya?
Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?
Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.
Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
Wakiristo wa jf comments zao na thread zao ukisoma lazima uchekezamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.
Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda
Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?
Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?
Je wamebuni njia mpya?
Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?
Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.
Nini kimetokea wajuvi wa mambo?