Kwanini siku hizi hakuna ugaidi wa kujitoa muhanga Middle East?

Kwanini siku hizi hakuna ugaidi wa kujitoa muhanga Middle East?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.

Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda


Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?

Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?

Je wamebuni njia mpya?

Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?

Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.

Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
 
zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.

Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda


Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?

Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?

Je wamebuni njia mpya?

Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?

Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.

Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
Wamegundua kumbe ni uongo. Anayekwambia ukajilipue yeye hayuko tayari anaendelea kula maisha tu. Unajilipua sababu ya Watawala na familia zao.
 
Wamegundua kumbe ni uongo. Anayekwambia ukajilipue yeye hayuko tayari anaendelea kula maisha tu. Unajilipua sababu ya Watawala na familia zao.
Elimu inasaidia kweli. Maana hata kwenye vitabu vya dini hakuna hayo mambo ya mtu kujilipua akaenda peponi. Ni ujanjaujanja tu wa wanufaika na ugaidi.
 
zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.

Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda


Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?

Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?

Je wamebuni njia mpya?

Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?

Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.

Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
Mtu wa kupanga mashambulizi ya hivyo siku hizi hakuna. Alikuwa Osama na Al Qaeda yake
 
Saiz ukivaa boma IDF wanakudaka kabla.mbona hata mlimani City dar huwez ingia naboma unatrackiwa kama simu wa traki je Israel inashindwa bomu
 
zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani.

Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda


Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua?

Je wamegundua ni kupoteza muda maana vitu wanavyoahidiwa havipo?

Je wamebuni njia mpya?

Je wanawahiwa hukohuko kabla hawajajipanga?

Zamani Israel akiua tu hata mtoto wa Palestina, haipiti wiki utasikia mtu kajilipua huko Jerusalem na kuua kama revenge.

Nini kimetokea wajuvi wa mambo?
Wakiristo wa jf comments zao na thread zao ukisoma lazima ucheke
 
Ukiwa na mtizamo wa upande mmoja huwezi Pata jibu,ila ukitaka kutafuta jibu halisi utalipata.maana iko wazi hiyo miaka unayosema hao hammas hawakuwa hata na uwezo wakuua mwanajeshi mmoja wa Israel,lakini sasahivi waulize waesrael wakupe takwimu za vifo kutoka 7/10/2023 hadi leo.kwahiyo utaona bila shaka wamekua katika medani za vita
 
Back
Top Bottom