Kuna kimoja miaka ya 2007 nilishuhudia ugomvi mitaa ya sinza baba mtu na mtoto mtu mtoto mtu( binti) ana mtuhumu baba yake kwamba baada ya binti kujifungua baba kahamisha mapenzi kwa machangudoa
my dady you are so handsome, my strength and my super man of all men in the world i love you my dady let me sleep in your chest afu una kifua kizuri 🤣 (uzungu mwingi mwisho wa siku anawafumania mama mtu mamamaee)